Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Akina mama waumini wa kanisa Katoliki wilayani Songea waamepinga vitendo vya wanasiasa walafi wa madaraka wanaotaka kuiingiza nchi ktk machafuko. Wameahidi kufunga ili pepo mchafu aweze kupita pembeni. Wanasiasa hawa wanaohubiri machafuko wamejaa pepo mchafu. TO HELL CDM
Asanteni kina mama. Kwani ktk machafuko wanaaoumia ni akina mama na watoto.
yaani kabisa na akili zako unaungana na hao kina mama?