Kwema wandugu, kama kuna mwalimu aliyependa kuja kanda ya ziwa RORYA -MARA yeye aje Tanga wilaya ya HANDENI, KOROGWE AU KILINDI idara ya secondary tuwasiliane kwa 0762802437.
 
habari walimu....anayetaka kuja harmashauri ya NEWALA (mtwara) mi nije wilaya yeyote ya mkoa wa morogoro.....au wilaya yeyote ya mkoa wa njombe na iringa au wilaya yeyote mwanza...karibuni 0752 59 90 66 tuwasiliane ndugu
 
NJOO NEWALA(MTWARA) mi nije MUSOMA....0752 599066 au nije Dodoma manispaa au singida manispaa
 
njoo tanga kilindi tanga mwalim aje iringa mbeya songea mbinga morogoro bagamoyo kibaha mkuranga idara sec wasiliana nae kwa 0768 766 457
 
Natafuta mwl wa kubadilishanane yeye aje mwanza ilemela muncipal na mm niece geita vijijini yaani awe anatoka halimashauri ya geita vijjini mawasiliano 0752752916
Mtahalifu ndugu ,jamaa na marafiki upatapo ujumbe huu
 
Mwalimu Toka Wilaya ya Kongwa Dodoma anataka mwalimu wa kubadilishana naye kutoka Njombe, Makambako, Wanging'ombe, au Mbeya idara sekondari awasiliane nami kupitia 0766849205
Mwalimu Toka Tandahimba Mtwara anataka mwalimu wa kubadilishana naye kutoka Iringa, Njombe, au Mbeya Rungwe, idara sekondari kwa mawasiliano ni 0766849205
Kwa anayetaka kuja Maswa Simiyu na mwenzie aende Mtwara Mjini au vijijini idara sekondari piga 0766849205.
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Mimi ni mwalimu wa sekondari mkoa wa arusha wilaya ya monduli. Natafuta mtu anaefundisha mbeya ili tubadilishane yeye aje arusha na mimi niende mbeya.
 
Mwl nipo Rukwa ninatafuta wa kubadilishana idara msingi ninahitaji kwenda wilaya yoyote ktk mikoa ya
Mbeya
Njombe
Iringa
Morogoro
Pwani
Dar
0689976850
 
Back
Top Bottom