FIDIVIN
Senior Member
- Aug 4, 2010
- 187
- 41
na umasaini nako walipita waarabu na kulowea ndio maana jamii yao ipo nyuma kimaendeleo na kielimu. Matokeo yake kundi la vijana wanaishia kwenda kumpa "company" mmoja wao kulinda eneo dar, all day wakati aliyeajiriwa ni mmoja tu.
Na dont forget haiti ilikua koloni la saudi arabia.
sasa kama unayajua haya mbona mkianza kulalamika kuwa mlinyimwa haki za maendeleo huwa hamkumbuki kutaja hao wengine? Huwa mnaona ni waislamu tu wako nyuma. Leo unakataa. Basi acheni kulalamika kama ninyi tu.