mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,101
- 36,063
Kama hujasafiri utasema Tanzajia ina maisha mazuri.ndio.ina maisha bora kwa kulinganisha na nchi zilizotuzunguka ila ukienda duniani huko sisi hatuishi bali tunadumu.
Ili kuboresha uchumi wa familia nivema serikali ikalegeza masharri ya passport vijana wakatafute maisha huko ughaibuni.
Kila familia ikiwana kijana katika nchi zilizoendelea mwisho wa mwezi vijana hutuma reminttences nyumbani mambo huwa safi,somalia,kenya na wrst africa countries wanafanya hivyo.
Kwa Tanzania bara ni Tanga pekee yenye diaspora wengi pamoja na zanzibar ndio maana utakuta hizo sehemu watu husema ni wavivu lakini wanaishi standard life kuliko mikoa wanayoshinda mashambani.
Serikali haina ajira za kutosha kwa vijana wetu,huko kwa wenzetu unskilled labor ni nyingi na zinatafuta Vijana,pili vijana wakienda nje wanapata exposure na ujuzi fulani wakirudi nchini,mwisho serikali nayo inafaidika kupitia kodi inayotumwa kama remittence,mfano kundi la ramadhan brother baada yakushinda serikaliimekata income taxi yake bila kutoa jasho.
NB.huwezi kuelewa uzi huu mpaka uwe umesafiri au ujue kuwa serikali inafanya makusudi vijana wasisafiri nje wasije kuamka usingizini wakawatoa madarakani,ukiishi ulaya utawachukia tu watawala wetu kwa nin hawajali maisha ya raia wao,labda na wewe uwe sehemu ya system.
Ili kuboresha uchumi wa familia nivema serikali ikalegeza masharri ya passport vijana wakatafute maisha huko ughaibuni.
Kila familia ikiwana kijana katika nchi zilizoendelea mwisho wa mwezi vijana hutuma reminttences nyumbani mambo huwa safi,somalia,kenya na wrst africa countries wanafanya hivyo.
Kwa Tanzania bara ni Tanga pekee yenye diaspora wengi pamoja na zanzibar ndio maana utakuta hizo sehemu watu husema ni wavivu lakini wanaishi standard life kuliko mikoa wanayoshinda mashambani.
Serikali haina ajira za kutosha kwa vijana wetu,huko kwa wenzetu unskilled labor ni nyingi na zinatafuta Vijana,pili vijana wakienda nje wanapata exposure na ujuzi fulani wakirudi nchini,mwisho serikali nayo inafaidika kupitia kodi inayotumwa kama remittence,mfano kundi la ramadhan brother baada yakushinda serikaliimekata income taxi yake bila kutoa jasho.
NB.huwezi kuelewa uzi huu mpaka uwe umesafiri au ujue kuwa serikali inafanya makusudi vijana wasisafiri nje wasije kuamka usingizini wakawatoa madarakani,ukiishi ulaya utawachukia tu watawala wetu kwa nin hawajali maisha ya raia wao,labda na wewe uwe sehemu ya system.