ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Lakini haimaanishi ukiwa na maisha mazuri hapa huko kwa mungu utakosaMi sio muislamu lakini maisha yajayo ni muhimu kuliko haya ya duniani, hata uwe nazo kama bilget at last wote tutazikwa chini.
Chance ni ndogo ukiwa tajiri hata biblia inalisema hiloLakini haimaanishi ukiwa na maisha mazuri hapa huko kwa mungu utakosa
Sent using Jamii Forums mobile app