Waarabu-chanzo cha uvivu na umasikini kila walikopita?

Status
Not open for further replies.
.

pamoja na mengi yaliyoandikwa na kubainisha wazi katika Tanganyika Mkoloni wa mwisho kutawala hakuwa Mwaarabu bali alikuwa Mwingereza. sasa mimi nafikiri ungesema nchi zilizokuwa zinarawaliwa na waarabu katika Afrika ambazo simply ni zile zinazoongea kiarabu kama Egypt, Algeria, Sudan, Tunisia nk na pa kuongezea kama ZANZIBAR ufanye ulinganifu.

Mimi na hilo limejionyesha vyema huko Tanganyika kuwa maeneo waliokaa waarabu yalikuwa mazuri sana na yalijengwa vizuri na watu wake kuwa waungwana na wastaarabu na watu walikuwa waislam.

sasa wakoloni walipoona hivyo na kutaka kuuwa uislam na JKR aliliendeleza hilo na KUUA UISLAMU HAWAKUTAKA KUENDELEZA MAENEO HAYO baada ya UHURU.

MIMI KAMA MCHUMI sikubaliani kabisa na TANGA kufa kiuchumi wakati Tanganyika inapata uhuru miji iliyokuwa maarufu na yenye maendeleo makubwa ni DAR, MORO wakati huo iliitwa MKOA WA PWANI na TANGA.

Umaskini wa Tanganyika ukiiangalia kisawasawa ulisababishwa na UDINI yaani KUCHUKIA MAENEO YA WAISLAMU, yaani kupuuza bandari za Tanga, Mtwara, pangani, Bwagamoyo.

Angalia kenya pamoja na kuwa majority ni wakristo lakin hawakuwa waDINI hivyo waliendeleza bandari ya Mombasa

msitafute mchawi wa maendeleo duni sehemu za walizokaa waarabu huko Tanganyika NI UDINI ULIOSABABISHA YOOOTE HAYO YAANI KUCHUKIA UISLAMU NA WAISLAMU

Thank you

hilo ndilo jibu lakini kuna watu watataka kulipinga
 
na ndio maana walifanikiwa kuijenga mikoa ya Tanga, na dar na kuiacha kwa wajerumani, na baada aya uhuru kudiddimizwa na kubaki na magofu, majumba ya yanayotumika kama history sites bagamoyo, znz pia ni product ya uvivu wa waarabu


Correct

Maendeleo yaliachwa yalipotetwa na nani kama sio Bwana Huyumu uchumi?
 
Swali: Kwa nini sehemu zote za Tanzania ambazo waharabu walipita sehemu hizo ni masikini sana na watu wake ni wavivu, sana kufanya kazi, Omba omba, kazi zao sana sana ni kunywa kahawa, na kuwa na wanawake wengi.
Mfano: Pwani ya Tanzania, Dar, Tanga, Lindi, Ruvuma, Tabora, Kigoma, na Zanzibar.

"waharabu" walipita na mpaka leo wapo kote katika Tanzania na si huko ulipotaja tu.

Wanaoongoza kwa kuomba omba Tanzania ni serikali yetu, Jee na yenyewe ni ya ki "kiharabu"?

Mibunge yetu nayo kwa kuomba kura, au hujaisikia wakati wa kampeni? nayo ni mi "harabu"

Kama huna hoja bora ukae kimya tu.
 
Hey all.

Are these places any different from other poor urban area? How do they compare to say South Central L.A, south side of Chicago, West side of Chicago and related poor urban area?
Is lack of employment a factor? What about the availability of land to farm? I know for example people in Lindi have to travel to Ngongo or Mitwero to farm, can we introduce the question of transport cost? If you do not have employment in Lindi or Dar. what are your alternatives? What about the cost of land.

Can our colleagues who study urban sociology give us some light?
 
ni kabila gani au mkoa gani hakuna imani hizi za kichawi tanzania hii? hata makabila ya maporini ambako dini hazijapita kabisa wana uchawi,

ushetani kila mahali duniani upo, kama uchawi ni wawaislam na waarabu tu hii concept ya wachawi wazungu wanaipata wapi, tunaona katika movies za ulaya mambo ya kichawi je uchawi je wale nao amepata toka kwa waarabu, haya mambo ni too tradition with time kutokana na civilization yataondoka na kubaki ni historia tu na ndio maana sasa uchawi ulaya unaonekana kwenye movies tu,
na sherehe zao wanazo, mfano nchi kama sweden hadi leo miongoni mwa siku maalum katika kipindi cha pasaka ni wit
ches day!



Easter (påsk) is celebrated in Sweden. The belief in witches travelling to Blåkulla on Maundy Thursday (originally for a sabbath with the Devil) is honoured by children dressing up as witches (påskkärring), knocking the doors in the neighbourhoods requesting treats (much like the trick or treat during Halloween in many English-speaking countries). Good Friday used to be an extraordinarily calm day when all businesses were closed down to commemorate the passion of Christ, but today it is more of an ordinary holiday.
It is customary to eat boiled eggs as well as chocolate eggs and other sweets, and to hand out simple gifts in paper eggs. Easter decorations in the shape of chickens, easter bunnies and witches are popular, and also feathers in bright colours (source wikipedia)

kwahiyo sioni sababu ya kuiandama dini fulani eti ni source ya uchawi au uvivu, so far katika uislam shirk "uchawi" unakatazwa na amelaaniwa kwa kila mwenye kushiriki katika hilo!

Majini yanafunguliwa na kutolewa pia kwa kupitia QURANI pana vifungu maalum kwa ajili ya kukemea na kutoa pepo hawa wabaya katika Qurani na hii inafanyika sana, redio imani wanatangaza sana kuelekeza watu wapi watapata tiba sahihi kwa ajili ya mapepo na si kudanganywa na watu wanaotumia Qurani vibaya na kudanganya watu!



Majuva,
Majini ni ndugu zenu yaani ni maislamu kwa nini mnayatoa? Ufalme wa dini yenu umefitinika?

Ki-ukweli ni kuwa waislamu hamutoi majini bali huyabembeleza yatulie tu pale yanapoonekana kumsumbua mtu maana hamna uwezo wa kuyatoa kwababau hata qurani yenu inasema hamyaoni japo mnasali nayo misikitini. Mwingine anasema kwenye thread nyingine kuwa na menyewe ni sawa na binadamu, yanakula na kunywa, yanaoa na kuolewa. Kama ni hivyo je chakula chao ni nini? Wanaenda dukani kununua chakula na kupika? mlishawahi kuhudhuria sherehe ya harusi yao hata moja?
 
Wewe kweli mrugaruga kama ni hivyo basi waarabu walitapakaa nchi nzima,kwa sababu umaskini uko nchi nzima.mbona sehemu nyingi ya tanzania waarabu ndio matajiri na ndio wanatembelea magari ya kifahari.
 
we mrugaruga unaonesha ubinafsi na hizo sehemu tu,lakini mbona hata kilimanjaro kuna vijana hawapendi kufanya kazi wao wanakunywa banana beer na mademu kwa sana au huko nako waarabu walipitia,acha kashfa ndg yangu.
 
Uko sahihi kabisa na tena zaidi ya uvivu ni wachawi kupita kawaida na ndo maana hakuna maendeleo. Sehemu zote zinazoendekeza uchawi hakuna maendeleo. Ukikuta kuna aina fulani ya maendeleo basi ufahamu kuna wakuja sehemu hiyo (yyani si wazaliwa wa eneo husika. Mojawapo ya mambo yanayoifanya Afrika isiendelee ni uchawi.

Always the truth will stand and justified itself.Brethren you have spoken the TRUTH!
''Ndikupasya buno malafyale anganie kangi ambokie''
 
Thomas Jefferson insisted in 1781, blacks were "inferior to the whites in the endownments both of body and mind" There followed the beliefs that blacks were congenitally lazy and disoderly. Do you believe those accusations from white peoples?


I don't. We have an African American President. Does that supports TJ wishful thoughts?
 
Labda una maana kwamba watu na sehemu hizo ulizozitaja hawaonekani kuwa wenye kuendelea sana kama labda wachaga na wabara wengine. Lakini kuwa ni wavivu la hasha !!!

Maendeleo yanakuja kutokana na elimu. Na unapomnyima mtu au jamii elimu, ndio basi umeifunga.

Sasa sijui kama unajua kwamba wengi wa waliosoma baada ya uhuru mpaka miaka ya juzi juzi tu wana majina mawili mawili. Wana majina yao waliyopewa na wazazi wao kama vile Agostino, David, Veronica, Paulina, nk, nk. Vile vile kwa sisi wachahe kutoka hizo sehemu ulizozitaja tulikumbana nao kwenye vyuo mbalimbali wana majina mengine kama vile Daudi, Hassan, Abdu, Juma, Halima, Safia, nk, nk. Ukimuuambia huyu mwenye jina la Juma kwa kufikiria kwamba ni mmoja kati wenzio hao wanaoitwa wavivu kwamba basi shehe twenzetu japo ijumaa basi!!! anakwambia la hasha!!! mimi sio mvivu mwenzio bwana, hilo ni jina langu la shule tu.
Je bwana unajua waliyapataje yale majina ya shule? kama sio wizi wa nafasi za kina wavivu? Unategemea nini kutoka kwa mtu au jamii iliyofanyiwa haya japo kwa kizazi kimoja tu (generation)?

Bahati nzuri ni kuwa usije hata siku moja ukafikiria kwamba kuna kinyongo cha aina yeyote kutoka kwa hawa unaowakejeli, huu tunauchukulia ni kama utani tu. Kumbuka tu kwamba hawa unaowakejeli Mwenyezi Mungu kawapa "resilience" ya hali ya juu, na wataibuka tu
 
Majuva,
Majini ni ndugu zenu yaani ni maislamu kwa nini mnayatoa? Ufalme wa dini yenu umefitinika?

Ki-ukweli ni kuwa waislamu hamutoi majini bali huyabembeleza yatulie tu pale yanapoonekana kumsumbua mtu maana hamna uwezo wa kuyatoa kwababau hata qurani yenu inasema hamyaoni japo mnasali nayo misikitini. Mwingine anasema kwenye thread nyingine kuwa na menyewe ni sawa na binadamu, yanakula na kunywa, yanaoa na kuolewa. Kama ni hivyo je chakula chao ni nini? Wanaenda dukani kununua chakula na kupika? mlishawahi kuhudhuria sherehe ya harusi yao hata moja?



najua lengo lako wala hunipati, kazi yangu hapa si kubishana kibubusa, nimekupa msimamo wa dini yangu, huo ndio ukweli, whether you like or not, otherwise hayo mengine ni ww na wenzio wajuzi wa mambo, waliopo hapa kwa ajili ya kuendeleza kashfa na malumbano yasiyokuwa na msingi,

huko unakolazimisha mie wala sipo, inaonekana ww unayajua zaidi hayo majini, mie sio fani yangu na wala dini yangu hainifundishi hivyo uislam uujuao si ule niujuae mie, so keep on going na kejeli zako za kidini, usiojifunza dini yako ukaielewa unachojifunza ni kashfa za kukejeli dini nyingine,

SHAME ON YOU na wafuasi wako!!
 
HApa kidogo tumeacah mada pembeni, maana suala sio dini bali swali la awali la uarabu na uvivu./
Kwa ujumla Watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri pia wa kufanya kazi.
Tujaribu kubaki kwenye mada na siyo kuleta habari iliyo nje na mjadala
 
Na kule Amerika watu weusi wanaonekana wavivu, masikini sana, Hivi na huko Waarabu walipita?

Brixton, Hackney pale UK wanapoishi watu weusi kunaumasikini mwingi sana, hawataki kufanya kazi nakowaarabu walipita?

South Sudan, kul nimasikini sana, wanakufa na njaa, kulewazungu waliishi sana, lakini bado kuna umaskini kuliko kwa waarabu north

Ethiopia, wanakufa na njaa, wanategemea misaada, nakule waarabu au wazungu ndo waliopita?

Spain walipita waarabu kule, maisha yao ni mazuri.


Sidhani kama waarabu nichanzo cha uvivu au umasikini, kwanini nchi za Africa ni masikini kuliko za kiarabu, angalia subsahara afrika wako halimbaya kimaisha kuliko waarabNorth africa.

Nilisema tangu mwanzo kuwa, hii thread ni Baseless, no statistic sounds.
 
HApa kidogo tumeacah mada pembeni, maana suala sio dini bali swali la awali la uarabu na uvivu./
Kwa ujumla Watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri pia wa kufanya kazi.
Tujaribu kubaki kwenye mada na siyo kuleta habari iliyo nje na mjadala

Uvivu wa kufikiri na kufanya research wa hali ya juu umeonyeshwa na mtoa maada iliyowashutumu waarabu mwenyewe kwa kutoa mada yenye mashtaka ya hali ya juu kabisa bila kutoa ushahidi wa maana.

Na hata wewe unayesema Watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri unarudi huko huko, kutoa matamko makubwa yasiyofuatiwa na vielelezo murua vya kuthibitishika.

Labda maneno yako yana ukweli ndiyo maana wewe na huyo mtoa maada iliyowashambulia waarabu kama vielelezo mmeshindwa kutoa vielelezo, lakini hili haliwapi waarabu moja kwa moja mzigo wa kuwa chanzo cha uvivu huu.
 
Last edited:
Tunavyoona "waharabu" ndiyo wazungu wanavyo tuona sisi. It is a shame a people like as who have been subject to stereotyping a doing the same thing. Anyway sishangai maana hata wamarekani weusi nao of all people wapo wabaguzi.
 
Waarabu wamechangia maendeleo duniani, na sio uvivu kama unavyotaka kupotosha jamii, sasa soma baadhi michango ya waarabu

Arab/Muslims have contributed a great deal to the technological evolution of the world, it's language and knowledge, it's culture, architecture and especially in Science.


Famous Arab Scientists

Jabir Ibn Haiyan = Geber
Al-Khawarizmi Algorism, = Algorithm
Al-Kindi = Alkindus
Al-Battani = Albategnius


Did you know that most of the Names of Stars in European languages have an Arabic origin

Achernar = Akhir al-Nahr
Acrab = Aqrab (Scorpion)
Phurked = farqad (calf)
Altair = Nasr al-Tair


Mathematical Vocabulary

Algebra = al-Jabr
Algorism, =Algorithm Al-Khawarizmi
Zenith = Cenit
Nadir Nadir, = Nazir
Atlas = Atlas
Azimuth = Al-sumut

Medical Terms

Elixir = al-Aksir
Alcohol = al-kohl
Alchemy = Al-kimiya
Antimonio, = Antimony, Antimun Antimun, Ithmid
Alcanfor,= camphor Kafur


Names in Chemistry and Other Frequently Used Words

Admiral = Amir-ul Bahr
Earth Ardh, = Earz
Alembic = Alembic
Adobe = Al-tub
Alkali = Alkali
Alcove = Al-qubba
Alum = Alum
Aludel = Aludel

Anatomical Terms

Aorta = Avarta
Pancreas = Bankras
Colon = Colon
Cornea = Cornea
Corn = Corn
Basilie = Baslik
 
Swali: Kwa nini sehemu zote za Tanzania ambazo waharabu walipita sehemu hizo ni masikini sana na watu wake ni wavivu, sana kufanya kazi, Omba omba, kazi zao sana sana ni kunywa kahawa, na kuwa na wanawake wengi.
Mfano: Pwani ya Tanzania, Dar, Tanga, Lindi, Ruvuma, Tabora, Kigoma, na Zanzibar.

Dar Sio maskini!!! Usisahau kuwa Dar ni mji mkubwa kuliko miji yote tanzania na kuna matajiri kibao, na mji ulio endelea zaidi tanzania.

Wazanzibari ni waastaarabu kuliko sisi, pia ukimwi kwao hakuna. (Hata kwa lugha ya kiswahili na kizungu na kiarabu wao ni mastadi zaidi yetu)

Umesahau Mwanza na Bukoba kuna waarabu wengi pia.
 
Swali: Kwa nini sehemu zote za Tanzania ambazo waharabu walipita sehemu hizo ni masikini sana na watu wake ni wavivu, sana kufanya kazi, Omba omba, kazi zao sana sana ni kunywa kahawa, na kuwa na wanawake wengi.
Mfano: Pwani ya Tanzania, Dar, Tanga, Lindi, Ruvuma, Tabora, Kigoma, na Zanzibar.

Dodoma ndio inasifika kwa kuwa na ombaomba, je nako walipita Waarabu? Iringa inaongoza kwa ku-export wafanyakazi wa ndani (dalili ya uvivu kwavile wameshindwa kujiajiri huko kwao), je nako walipita waarabu? Ukulyani ndiko wanaongoza kwa kuwa na wanawake wengi, nako walipita waarabu? Kunywa kahawa has nothing to do with umaskini wa hizo sehemu!!! Hebu kajipange uwasilishe mada yako vizuri coz' haina mantiki!!
 
hawa wazungu walioko kwa huyo anayemuabudu PAPA huko Rome

http://www.youtube.com/watch?v=ltCz6yLHfsA&feature=related
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom