MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Turudi ktk swali la msingi,je waarabu waliacha athari hiyo ya uvivu kila walikopita? Kuna ukweli kwa kiwango fulani.Tukiliangalia suala kwa upenzi wa imani zetu hatutapata jibu.
Swali gumu. Hapa hakuna 1+1=2. Kila mtu ataongea kwa kudhani na their own personal experience na waarabu. Unless mtu anaweza kuja na kitu concrete mjadala hautaisha.