Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,878
- Thread starter
- #101
tatizo mnaudhi mkuu hamtaki kuelewaJitahidi kuepuka mwenzio asichopenda na jitahidi kumsikiliza na kumheshimu! Mi huwa siamini kama kuna mwanaume mkorofi kama mwanamke akibehave inavyotakiwa tu! Tatizo sie wadada tunataka kuwa sawa na wanaume ndio shida!