Ndoa za sasa ni hasara kubwa kwa mwanaume na hakuna kitu utafanya

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.

Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.

Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.

Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe

Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.

Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.

Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.

Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .

Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa

Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.

Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.

Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.

Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.

Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.

2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..

3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.

4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi

5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto

6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako

7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.


Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.

NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI
 
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.

Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.

Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.

Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe

Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.

Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.

Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.

Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .

Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa

Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.

Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.

Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.

Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.

Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.

2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..

3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.

4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi

5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto

6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako

7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.


Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.

NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI
Habari wajameni nimepatwa Mimi nimepatwa Mimi 🤸🤸🤸
 
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.

Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.

Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.

Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe

Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.

Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.

Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.

Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .

Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa

Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.

Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.

Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.

Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.

Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.

2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..

3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.

4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi

5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto

6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako

7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.


Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.

NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI


Ushauri wa bure: Ukioa puuza mwanamke, otherwise utakuja kuua au kuzuru mtoto wa watu.
 
Kwa masikitiko makubwa.

Ndugu zangu sina haja ya kusalimia maana najua kabisa ndoa ni mateso na mlio oa mnateseka sana ila hamtaki kusema mnayabeba moyoni kama wanaume poleni kwa kweli.

Kweli kabisa ndoa ni mateso japo kwa upande mwingine ni baraka na heshima mbele za jamii na mbele ya Mwenyezi Mungu.

Mimi natarajia kuja kuoa na ninatafuta mke , ila simshauri kabisa mwanaume mwezangu kuoa kwani mimi nimekubaliana kubeba msalaba wangu mwenyewe na sitaki kusaidiwa kabisa.

Nikimuonea huruma mwanaume mwezangu nitamwambia kama huwezi kuishi mwenyewe basi ishi na mwanamke au kuwa mlevi wa pombe kali sana maisha yaende na siyo kuoa japo mimi nimejitoa kujakuoa, msalaba wangu nitaubeba na sitaki kusaidia kamwe

Kwa kweli wazazi wetu mmetukosea sana sisi vijana wenu na inapaswa mtuombe radhi, wazazi mmeshindwa kuchunga mabinti zenu mnawaacha wanazurura huku na huko, wakidanga sana na hata kulala na baba zao , kwa kweli inauma sana sasa sisi waoaji tufanyaje.

Baba zetu bila aibu mnatukosea zaidi sana, mnatuchukulia mabinti wadogo ambao ni wake zetu kabisa wa baadae mnalala nao na kuwazubaisha kwa hela ili watukatae sisi vijana chipukizi.

Baba na mama zetu mnashindwa kutunza mabinti zenu ili tuje tuwapose na kuwaoa bali kwa kusingizia eti ugumu wa maisha, mara utandawazi, mara sijui ana mapepo sijui mpeleke kwenye maombi au kalogwa huku mkidanganywa na mitume na manabii wa uongo kuwa anapepo ataombewa badala yakumchapa binti viboko anyooke.

Binti wako anamiliki simubya thamani sana, anasuka kwa gharama kubwa, viatu na nguo za gharama kubwa humuoji hela anapata wapi upo tu umezubaa zubaa kwa kuhofia eti binti yako atakuchukia, kweli Wazazi wetu hapo mmetukosea sana sisi vijana wenu wa kiume .

Wamama mmekua pia chanzo kikuu cha kuharibu mabinti zenu mkiwa fundisha kupenda hela na kumkalia mwanaume, kiburi, ujeuri na malumbano , ubishi usio na faida na mwishowe hata kumwambia bora azae tuu mjukuu hatukatai kuliko akateseke kwenye ndoa

Wazazi mnadiriki kuwaambia mabinti zenu hapa hujafukuzwa ,nenda kwa mumeo ukimshindwa rudi nyumbani tutakupokea huo ni ujinga mnaoufanya. Mmefanya mabinti zenu kuwa jeuri sana kwa kweli sisi vijana wenu tunajikuta tunabaki katikati nioe au nisioe, nipige mimba nipate mtoto au nifanyaje. Kwa kweli inasikitisha sana.

Ndugu zangu kadiri unavyo zunguka mitaani , mijini , vijijini na mikoa mbali mbali mabinti wamezagaa huku na huko waliojawa tamaa sana za hela na maisha mazuri mazuri na wanaogawa sana kweli kweli nyuchi zao bila kujali lolote.

Pia wapo wale mabinti wanaojificha kwenye nyumba za ibada ,wakijifanya mitume , manabii, wanakwaya, wahudumu wa nyumba za ibada ila nako hakuna kitu kabisa . Wanafanya tuu hivyo ili tusiwaone kirahisi kuwa na wao hawafai kuolewa.

Inasikitisha sana kuona binti wa darasa la tatu kapigwa pipe za kutosha na kawa sugu mno, sasa unafikiria huyo atakaye kuja kumuoa atawezana naye kweli.

Kwa kweli kwanini nasema haya naenda mbele na kurudi nyuma ..

1: Mwanaume ukitaka kuoa lazima ukubali kuoa sikrepa litakalo kuendesha huko mbeleni na baadaye kuvunja ndoa mwenyewe huku wewe ukiachwa na umasikini wako na yeye akifaidi mali zako kilaini sana.

2: Mwanaume ukikubali kuoa kubali huyo mwanamke wako alikua danga huko nyuma hivyo lazima anakucompare na hao maex wake wa utotoni na akifanikiwa kukutana nao lazima awape waoshe rungu tena..

3: Mwanaume ukikubali kuoa katika kizazi hiki ,hakikisha upoteyari kunyanyasika haijalishi mkeo analipwa milioni tatu na wewe elfu 50 kaa posho ya kibaruani kwa mwezi ila jua wazi kabisa hatauanguke uugue hatotoa hela yake kukupa wewe , atataka itumike hiyo elfu 50 yako na ikiisha ni ugomvi mtupu.

4: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kabisa kwamba umeoa mwanamke aliyeshindikana kwao , hivyo wewe umewasaidia wazazi wake kubeba mzigo mzito maisha yako yote na daima laani wazazi wake kwa kushindwa kulea binti yao, tena mahari usitoe ikibidi

5: Mwanaume ukikubali kuoa, jua wazi kabisa mkeo utachapiwa na atakuletea watoto wa nje huko na huna cha kumfanya, na ukifurukuta atakupeleka huko wanako tupelekaga na wewe utagandamizwa tuu kutoa matunzo ya mtoto

6: Mwanaume ukikubali kuoa jua wazi wewe hutofaidika na ndoa tofauti na mkeo, utakachopata tuu ni ndugu ambao ni wanao na ukikaa vibaya wataungana na mkeo kukuangamiza kabisa uhai wako

7: Mwanaume ukikubali kuoa kubali kua mvumilivu mpaka kufa na siyo vinginevyo ukikataa kuwa mvumilivu utaua mkeo na hatimaye utaishia jela.


Mimi najua yote haya ila nitaoa, WAKATAA NDOA WAPO SAHIHI KABISA NA NAJUA KWANINI WANAKATAA NDOA, ila mimi nitaoa japo sitakaa ni mshauri mwanaume mwenzangu aoe, sipo teyari kuona mwanaume mwezangu anateketea kizembe sana.

NDOA NI HASARA KWA MWANAUME , MABINTI WA SASA HAWAFAI KUOLEWA .

TAFUTA UNAYE WEZANA NAYE ISHI NAYE ILA SIYO KUOA. UKISHINDWA KABISA OA ILA SIKUSHAURI MIMI
Unachokosea unatafuta mke au mapenzi. Mke au mapenzi hayatafutwi na mwanaume. Inabidi ujiongezee thamani. Ukifocus na maisha yako watakusumbua wewe utabaki kuchagua anayekufaa.
 
Back
Top Bottom