Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,827
- Thread starter
- #121
ahahaaa mkuu umenichekesha sana kuna mama kakopa huko kaweka rehani nyumba yao na wakati wamepangisha mume hana taarifa ndo kaja kusthuka juzi inataka kuuzwa mwenye nyumba kawapeleka polisi ni kesi imekuwa shidaUSIWE
Msiri kwake
Mjeuri
Unamlinganisha na wengine
Unajikopea tu huko kwenye vikoba vyenu
Unahusisha sana familia ya ulikotoka na hii unayoishi.