Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,624
- 28,613
asante baby so upo tayari tuanzishe uhusiano?
Msinisahau kwenye mualiko...If you stay ready you don't have to get ready.
Just holla at me when you are ready baby.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante baby so upo tayari tuanzishe uhusiano?
Msinisahau kwenye mualiko...If you stay ready you don't have to get ready.
Just holla at me when you are ready baby.
Msinisahau kwenye mualiko...
Ménage à trois baby....
Huu ni uchochezi sasa!!Believe me ukimpata mwanaume anaekupenda hata umwambie kichwa kinakuuma kila siku hujisikii ku sex ataelewa na atakupeleka kwa dr, lakini ni pale akigundua kuwa unamzingua hasira zake sasa. Mwanaume akikupenda hata usipojua kupika, wageni wakija atakwambia mkatie vitunguu na nyanya yeye atapika na mnakaa wote jikoni kuuwa soo. Mwanaume akikupenda hata CCM utaona ni chama bora.
Mamaa.. we tafuta wa kufananae nae,,, hakuna alie kamili ila wachagua ambae ataweza ishi na kasoro zako na utaweza ishi na kasoro zake,, ila tu cha msingi kuwe na 'LOVE' kati yenu,, maana mengine yote yatatokea na kupita na kubishana na kugombana ila LOVE ndo kitakachowaungamisha pamoja milele yan..Baada ya kujiwekea malengo yangu flani na kuweka mapenzi pembeni
sasa nataka niingie katika mahusiano rasmi.
Msiniulize huyo mwanaume nitampata wapi naombeni ushauri wa ukweli jinsi ya kuishi na mwanaume bila kumuudhi maana mimi hapa nina old style ambazo humu naona wengi hamzipendi japo kwangu sioni zina shida mfano kuomba hela, kupenda offer n.k.
Anyway naweza kuacha kuomba hela japo sio fair lakini ila haya niashaurini nibehave vipi nisije kupeperusha ndege wangu bure.
Utani na matusi tuweke pembeni!
Kuwa muelewa na kumsoma kiundani na ujue nini anapenda na nini hapendi.akitaka chochote ww mpeeeee ata hela hutoomba utaona unawekewa tu kwa meza.tahadhari usije mpatia 0710Baada ya kujiwekea malengo yangu flani na kuweka mapenzi pembeni
sasa nataka niingie katika mahusiano rasmi.
Msiniulize huyo mwanaume nitampata wapi naombeni ushauri wa ukweli jinsi ya kuishi na mwanaume bila kumuudhi maana mimi hapa nina old style ambazo humu naona wengi hamzipendi japo kwangu sioni zina shida mfano kuomba hela, kupenda offer n.k.
Anyway naweza kuacha kuomba hela japo sio fair lakini ila haya niashaurini nibehave vipi nisije kupeperusha ndege wangu bure.
Utani na matusi tuweke pembeni!
Kesi yako iliishia wapi na lahazizi wako?
hata kama anaongea pumba usikilize tu? kujaliwa unamaanisha nini? isije ikawa ni kumnunulia boxer na kumlipia bill
Wasukuma kasoro yao ni moja tu HAWANA MAHABA, HAWAJUI KUMUANDAA MWANAMKE, YAANI YEYE IKISIMAMA TAYARI ANAHOMEKA