Black Butterfly
Member
- Aug 31, 2022
- 54
- 99
Huu ni ujumbe wa Mdau kutoka Instagram huko.
"Nina miaka 25 nataman sana kuoa lakin naumiza kichwa sana kuangalia mwanamke wakunifaa kulingana na wanawake wa siku hizi.
Sasa kuna Dada nafanya nae kazi mimi ni kama boss wake nimemuajiri ananiuzia Mitumba, yeye anamiaka 26 ana mtoto mmoja, nishalalaga nae sasa ni ananipenda kupita kiasi sjui kama anaigiza lakini ananipenda sana na anatama nimtamkie kumuoa.
Mimi sihitaji kumuoa maana tayari kashazalishwa lakin kiukweli anafaa sana kuwa mke wa MTU na anatamani apate mwanaume alie serious amuoe, sometime roho inanisukuma kumuoa lakin daaah nahisi kuna kitu tu kinanizuia lakin yeye ni mwaminifu sana hacheat, hadangi, hajui kuomba omba hela na kiufupi tu namdrive navotaka.
sasa nifanyeje na ukingatia kashazalishwa na mimi napenda ambae ni hajazaa tuanze nae upya, hata Nyumban nikiwambia mke wangu anamtoto wa pemben hawawez kufurahi
"Nina miaka 25 nataman sana kuoa lakin naumiza kichwa sana kuangalia mwanamke wakunifaa kulingana na wanawake wa siku hizi.
Sasa kuna Dada nafanya nae kazi mimi ni kama boss wake nimemuajiri ananiuzia Mitumba, yeye anamiaka 26 ana mtoto mmoja, nishalalaga nae sasa ni ananipenda kupita kiasi sjui kama anaigiza lakini ananipenda sana na anatama nimtamkie kumuoa.
Mimi sihitaji kumuoa maana tayari kashazalishwa lakin kiukweli anafaa sana kuwa mke wa MTU na anatamani apate mwanaume alie serious amuoe, sometime roho inanisukuma kumuoa lakin daaah nahisi kuna kitu tu kinanizuia lakin yeye ni mwaminifu sana hacheat, hadangi, hajui kuomba omba hela na kiufupi tu namdrive navotaka.
sasa nifanyeje na ukingatia kashazalishwa na mimi napenda ambae ni hajazaa tuanze nae upya, hata Nyumban nikiwambia mke wangu anamtoto wa pemben hawawez kufurahi