Ungependa uzalishwe na kidume mwenye sifa zipi? LADIES ONLY

Ndahani ni vyema tukapashana khabari hata tujue silaha za kubeba vitani.....lol

No doubt, everyone goes for the best...kama isingekuwa uoga wa kuchanga mbegu, watu wengine wangekuwa na full time job ya ku fertilize desperate people, keen to get the right person to father the kids. Na hili tatizo naliona zaidi as we evolve and mature...chaguzi zetu za kwanza zaweza kukosa mshiko kama atatokea mtu anayeonekana ku meet zaidi mahitaji ya mioyo yetu.
 
Kiwango cha elimu ya mtu hakipimi IQ au uwezo wa ubongo wake.

Kuna wengi hata darasa la saba wana uwezo mkubwa sana wa kiakili lakini hawakupata fursa ya kukaa darasani.

Na kuna wengine hata maprof unaona kabisa aliupata tu sababu aliwezeshwa sana lakini ni kiazi wa kawaida kabisa.

Hapo chacha..........wengi utazama kiwango cha elimu.............lol
 
Kiwango cha elimu ya mtu hakipimi IQ au uwezo wa ubongo wake.

Kuna wengi hata darasa la saba wana uwezo mkubwa sana wa kiakili lakini hawakupata fursa ya kukaa darasani.

Na kuna wengine hata maprof unaona kabisa aliupata tu sababu aliwezeshwa sana lakini ni kiazi wa kawaida kabisa.

Mi mwenyewe nina mifano hai lakini naogopa kuitaja yaani matokeo ni opposite kabisa
 
[COLOR=#ff0000 said:
Elizabeth Dominic[/COLOR];4021785]Rutashubanyuma mimi ningeelekeza kwenye mwonekano na brains lakini tukija kwenye reality sidhani kama wanawake wengi wanapanga uzazi kwa matokeo uwa tunasukumwa tu na hisia na mapenzi yetu yameangukia kwa nani

Lemonade.....mara nyingi huwa hatutafakari maamuzi yetu tunayoyafanya lakini kuna sababu za survial of the species ambazo hutuongoza bila ya kujua yule unayempenda mara nyingi ni kwa sababu unaona wewe na uzao wako utakuw salama kwa maana ya ana uwezo wa kuwajibika na kuitunza familia yake au ana maumbile ambayo wewe unaona yana afya tele..................na hili la brain power ni nguzo ya kuishi raha mustarehe..................kwa lugha nyingine penzi huongozwa na nia ya kuona kizazi chako kinaendelea bila ya mushkeli wowote ule.................sasa swali mwenye akili utamjuaje.........................???????

Kaizer Kaizer.........................kuna nini na kulikoni mbona sikuelewi.........nimekusaidia kivipi?


Hopefully umenisoma Rutashubanyuma, Hapo ndo nilikuwa najiuliza huyu mtu tumeonana wapi? kabla sijaenda direct nikaona ume do ze nidiful Senk u sir. Elizabeth Dominic, check ur PM...
 
Last edited by a moderator:
Kiwango cha elimu ya mtu hakipimi IQ au uwezo wa ubongo wake.

Kuna wengi hata darasa la saba wana uwezo mkubwa sana wa kiakili lakini hawakupata fursa ya kukaa darasani.

Na kuna wengine hata maprof unaona kabisa aliupata tu sababu aliwezeshwa sana lakini ni kiazi wa kawaida kabisa.

And how I love this post Kongosho...you owe me a beer today
 
Last edited by a moderator:
No doubt, everyone goes for the best...kama isingekuwa uoga wa kuchanga mbegu, watu wengine wangekuwa na full time job ya ku fertilize desperate people, keen to get the right person to father the kids. Na hili tatizo naliona zaidi as we evolve and mature...chaguzi zetu za kwanza zaweza kukosa mshiko kama atatokea mtu anayeonekana ku meet zaidi mahitaji ya mioyo yetu.

Ndahani wacha majibu ya kiujumla nipe what is the best for you ina sifa zipi?
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe nina mifano hai lakini naogopa kuitaja yaani matokeo ni opposite kabisa

[MENTION]Lemonade[/MENTION] kwa hiyo kesha kushawishi uone not necessarily so..................it is all presumably an educated guess
 
Tatizo you can for go someone mwenye miakili darasani but still unapata mtoto bogus.....bado nataka kujua kipimo cha akili ni nini?

[MENTION]lemonade[/MENTION] kipimo cha akili ni kumjua Mungu na hivyo kujua upo hapa duniani kumfurahisha mwanadamu au kumfurahisha aliyekuazima roho yake ujidai nayo kwa siku kadha wa kadha hapa ugenini

kwa lugha nyingine akili lazima ziwe ni busara na busara ni kuwa karibu na Muumba tu hakuna namna nyingine utaipata.....................
 
Back
Top Bottom