Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
Rutashubanyuma ungeandika kichwa cha habari kisicho na utata.
Kichwa cha habari ndio kinakufanya eitha uyasome ya ndani au usiyasome
Kwani utata uko wapi? Mwanamke hazalishwi na anayemzalisha si ana lake la kulonga pia? Bujibuji.............hili nimeliweka wazi pale niliposema yafuatayo
michango ya vidume naona ni ya hisia lakini rukhsa nao walonge wanahisi ni kipi kilimfanya mwandani wake kusema IT IS HIM.......and no one else................
Last edited by a moderator: