lengo la hicho kitu nikubomoa tuu mahusiano ya watu maana 99% yawatakao hitaji hiyo mbinu wataishia kuachana, mie sioni sababu ya hicho kisoftweya cha uchonganishi
Speaker unataka watu waanze ku confess humu humu! Naona amani za watu zimefifia ghafla
mkuu apo kweli technolgy imekua
naomba tuwasiliane nami ni nunue nimpe wife coz haniamini kabisa, siruhusiwi ata kutoka home. ukiomba kutoka tuuu tayari kelele ;;;malaya zako washakupigia simu sasa unaenda kuonana nao.....bora nikampa ili awe anantarack na akawa na amani
silence plz genius at work
Ndg yangu hatari kaka,mie ninavyompenda my wife wangu naweza nikazirai nikijua ya kuwa wanam do huko nje.Ila unaweza kupona na magonjwa kibao ukijua ana wadudu kiasi gani mwilini mwake kwa
uchafu anao jijazia kila siku!
Ndg yangu hatari kaka,mie ninavyompenda my wife wangu naweza nikazirai nikijua ya kuwa wanam do huko nje.
Ni kweli tupu ndg yanguKama una roho nyepesi hii kitu hushauriwi kutest aisee. Tuachie sie akina NK wenye roho za Paka.
Kabisa mie akinitrace dakika mbili tu anadondoka chinilengo la hicho kitu nikubomoa tuu mahusiano ya watu maana 99% yawatakao hitaji hiyo mbinu wataishia kuachana, mie sioni sababu ya hicho kisoftweya cha uchonganishi
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...
unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!
Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!
Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!
Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:
Utakuwa unaingilia uhuru wa mtu sio sahii na sheria za mawasiliano hazirusu.
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...
unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!
Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!
Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!
Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:
hapo ndio utam kolea mna ana yy atatuma namba yeke apewe muongozo wa kukuchunguza so itakua ka wasakana wakutanawee speaker wee.....utatufanya wenzio tufe mwili na roho.......mi usinifundishe kabisaaa....maisha bado matamu........tatizo sasa na huyo mwenzangu akisoma hii thread