Mbna umeweza kutupa habari nzuri bure,sasa ingekua vizuri uweke vitu hazarani ili watu wajue jinsi ya kujilinda,ili ni jamvi la MMU,sasa kama utataka utoze gharama utakua iyo "U" umeiondoa,mana urafiki haununuliwi kwa pesa!Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...
unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!
Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!
Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!
Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:
Kazi itakua nzito mno, natuma maombi kua assistant....
hata wanaume wanafuatilia,mi kuna mtu nilikua nachat nae tu kawaida japo nilikua sijawah kumwona, cku moja akani invite lunch ili tufahamiane,sikwenda. Mr akaiona ile sms alichofanya alimfatilia yule jamaa mpaka akajua anaishi na kufanya kazi wapi. Baadae akajua kua ni kweli niliyomwambia. So nadhani wangu nae angeinunua. Mi ctaki presha kabisa.
Hatutaki aweke hadharani coz italeta madhara makubwa. wengine tuna presha ni bora kutokujuaMbna umeweza kutupa habari nzuri bure,sasa ingekua vizuri uweke vitu hazarani ili watu wajue jinsi ya kujilinda,ili ni jamvi la MMU,sasa kama utataka utoze gharama utakua iyo "U" umeiondoa,mana urafiki haununuliwi kwa pesa!
nahitaji hiyo kitu mzee my number is 068371092
Hapana,ya kwako tu ndo inatakiwa kuwa powerful (with GPS)
Kwa maana hiyo,kama mwenzako hana simu ya GPS yeye hawezi kuku-track wewe
ila wewe uta mchungulia kila siku!
I can't wait to see how it works! Watu mboni watatia nidhamu.
Haha,Asha kweli kazi ni nzito sana!
Hii kitu kwa sasa tuna tengeneza documentation yake ili tukianza kuitoa iwe ki-professional zaidi!
hadi sasa tuna trial version na so far inafanya kazi vyema,ila tuna malizia mambo madogo sana!
Shortly,ina dondoka!
Naona watu wana itaka kweli maana hizo PM si mchezo,asanteni sana kwa kuni(kutu)tia moyo,tuna harakisha mzigo
as fast as we can!