Unaibiwa?? chukua dawa

Ukimchunguza kuku hutamla. ya nini nikose utamu kwa kuplay upelelezi ambao utaniumiza roho yangu.
 
mbona mkuu tumeshaPM lakin hatuoni kinacheendelea maana hapa presha zimeshaanza kupanda na kushuka.
 
Wakuu hii Program ilishafeli toka mwezi wa sita nashangaa hii thread imefufuliwa tena na ishu ilikuwa kwenye Code za hiyo Program maana ukiitumia baada ya muda simu zilikuwa zinaharibika kabisa na information zako zote kuhusu simu zilikuwa zinatumwa kwa Hackers.
Poleni mimi ninayo lakini ni lazima hiyo Program iwe installed kwenye simu ya Mwenzi wako.. na itarekodi kila kitu sauti, message, na namba za simu pamoja muda simu ilipopigwa au kupokelewa..
if you need just PM
 
Hapa bongo hata ukianzisha kampuni manual, siyo digital ya kufuatilia mienendo ya watu kwa kweli utakuwa tajiri. Utapata wateja wengi sana hasa wanawake! Yaani nakupa ela wewe kazi yako kufuatilia baba nanii anaendaga wapi akitoka kazini au week end. Alafu unanipa mchoro mzima naenda kufumania. Aaah Wajasiria mali mpo!

Then baada ya kufumania? Wanaachana na huyo mwizi mwenzio? N then u unamuacha? Why kuishi na kutembea na moyo wa mtu mzima si mtoto! Eti kapita wapi, kakatisha wapi na nani? Unless u want a divorce then unatafuta ushahidi! maisha hayo yalinishinda bana. U loose urself badala ya kuwa na maisha yako unaishi kwa hofu ya binadamu mwingine. Ladies we can be smarter than that.
 
Hii program imeishia wapi?.Clemmy jitokeze utoe ufafanuzi kampuni imeshasajiriwa.

Hello,
Baada ya purukushani za takribani mwaka mzima
tumeweza kusajili kampuni na kwakua ulimwengu wa sayansi
hauna limit,...tunaangalia uwezekano wa kui release soon.
Stay in touch.
 
Wakuu hii Program ilishafeli toka mwezi wa sita nashangaa hii thread imefufuliwa tena na ishu ilikuwa kwenye Code za hiyo Program maana ukiitumia baada ya muda simu zilikuwa zinaharibika kabisa na information zako zote kuhusu simu zilikuwa zinatumwa kwa Hackers.
Poleni mimi ninayo lakini ni lazima hiyo Program iwe installed kwenye simu ya Mwenzi wako.. na itarekodi kila kitu sauti, message, na namba za simu pamoja muda simu ilipopigwa au kupokelewa..
if you need just PM

Manyanza habari za siku.
Ni show time now,watu wako kazini sasa.
 
Back
Top Bottom