mimi wangu najua ni kicheche ila namnyamazia tu..sina jinsi.
Hapa bongo hata ukianzisha kampuni manual, siyo digital ya kufuatilia mienendo ya watu kwa kweli utakuwa tajiri. Utapata wateja wengi sana hasa wanawake! Yaani nakupa ela wewe kazi yako kufuatilia baba nanii anaendaga wapi akitoka kazini au week end. Alafu unanipa mchoro mzima naenda kufumania. Aaah Wajasiria mali mpo!
Hii program imeishia wapi?.Clemmy jitokeze utoe ufafanuzi kampuni imeshasajiriwa.
Wakuu hii Program ilishafeli toka mwezi wa sita nashangaa hii thread imefufuliwa tena na ishu ilikuwa kwenye Code za hiyo Program maana ukiitumia baada ya muda simu zilikuwa zinaharibika kabisa na information zako zote kuhusu simu zilikuwa zinatumwa kwa Hackers.
Poleni mimi ninayo lakini ni lazima hiyo Program iwe installed kwenye simu ya Mwenzi wako.. na itarekodi kila kitu sauti, message, na namba za simu pamoja muda simu ilipopigwa au kupokelewa..
if you need just PM