Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Afu dingi hapa mtaani kuna mmama wa kimakonde yuko boomba! Anapika vitumbua na kupika wanzuki, atakufaa kuwa small house banaa!
Dah....like faza like dota!! Hahahahah full kupinda kama kona ya kiazi, loh....kweli wazazi wazae!