Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
.........:a s 41:
mimi ni it technician
mimi ni it technician
Lol.....
Aiseeee....
Ngoja niongee na Kongosho na Bagah tuje na jibu moja ila jibu la kwanza sisi ni MODS....
utakaa sana......
hivi kuwa JF 24/7 inawaharibia wengine moods eeh.....
sasa kwa kukujulisha ni kwamba....we are there to stay...8765.81277/366.....na bado taifa linapata kipato tena mpaka kinatosha kuibiwa na mafisadi.......
Mi ni Bwana shamba. It's either i'm in the farm or at Jf. Face book nilipigwa BAN
Mi nataka nimle wali nazi Kavu kavu....nikimaliza namwomba. Bagah aniletee maji nikate kiu
Mi nataka nimle wali nazi Kavu kavu....nikimaliza namwomba. Bagah aniletee maji nikate kiu
Tukimaliza tumle na bagah.
haya mama,niambie upo street gan nije nikuungishe ugali samak?
Unamuulizia mama nani
Hahahahahahahaaa
Hata Bagah naye ntamla kavu kama qali nazi....
Lol nikimaliza naahushushia Juisi ya Azam ya tropical...
Baada ya kumla Bagah..anayefuata kuliwa nani???
hahahahahahaaa Kongosho jiandae....tena wewe ntakukula siku tano..lol
U
Labda uwe wa kuku ila kama wa ng'0mbe lol
Ntakomaaaa tumie kongosho ya chatu, inameng'enya hadi vyuma.
Ntakumengenya wewe.
mie kongosho ya chatu, inameng'enya hadi vyuma.
Ntakumengenya wewe.