Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,221
- 85,359
Kwa kiswahili BawasirHiyo inaitwa hemorrhoids. Inatibika
By: Mfamasia
Kwa kiswahili BawasirHiyo inaitwa hemorrhoids. Inatibika
By: Mfamasia
Hauumwi weweSitaki operation naogopa mkuu aibuu
Pole sana Mkuu.Jaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
Hahahaha umesomeka doktare bingwa wa magonjwa ya njia ya haja kubwaPole sana Mkuu.
Chukua kitunguu swaumu menya, ponda hadi ikue laini.
Kisha chukua kiasi na weka sehem husika baada ya kusafisha vizuri, na iwe kila siku kabla ya kulala.
Iache hapo hadi asubuhi, na kisha toa na usafishe tena.
Hakikisha haukui na mizunguko mingi wakati umeanza matumizi ya dawa hiyo.
Baada ya siku 3 za tiba, usiache kuleta mrejesho kwa manufaa ya wengi wengine
Mficha maradhi,kifo humuumbuaSitaki operation naogopa mkuu aibuu
Ohoooooo.....Hahahaha umesomeka doktare bingwa wa magonjwa ya njia ya haja kubwa
Aiseeee......Hauumwi wewe
Kimbilia hospital upesi sana kabla hazijapasuka! Usifanye mchezo! Pole sana na Mola akutangulie!My friend, this is a medical case.. Mficha maradhi mauti humuumbua.. Hapo juu unaona imeelezwa sababu zake hivyo si kitu cha aibu.. kumbuka mwisho wa siku ugonjwa wa mtu ni kati yake na daktari wake.. sasa sijui unamuonea aibu nani? Kwenye ugonjwa hakuna aibu hata kidogo.. Nadhani unachosubiri ni hadi hali iwe mbaya kizidi kukua hadi wakubebe kukupeleka hospital...
Hahahahahaaaaa... nimeipenda dawa yako dokta... Vipi hiyo tangawizi hachanganyi na pilipili na ndimu kidogo??Ohoooooo.....
Mzee mwenzangu, naona unanivua nguo mbele ya wanangu......
Mzee mwenzangu, naona hapo unataka vijana wajisaidie kwenye matandiko.....Hahahahahaaaaa... nimeipenda dawa yako dokta... Vipi hiyo tangawizi hachanganyi na pilipili na ndimu kidogo??
Hahahahaa haya mzee mwenzangu, ngoja nikuache uendelee kuwatibu vijana wanaoogopa kwenda hospitali ili kukwepa aibu.Mzee mwenzangu, naona hapo unataka vijana wajisaidie kwenye matandiko.....
Unanjama mbaya sana wewe...
Kuna vidonge vinaitwa "Anuso sappostories ". Unaviingiza huko viwili. Then kinapotea. Hivyo vidonge vyauza pharmacyJaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia
Kwa daktari, sorryNenda kwa saktari
Kula mbogamboga na matunda utai control. Tatizo ni diet mkuu try utaona sio tatizo tenaJaman wana jf habar za kaz
Msaad wenu tafadhal nkiend choon mpk nchome ganzi naumia