Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
 
Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.
 
You are a courageous man/woman Most people dont talk about such issues to public.

Hata hivyo tukianza kutoa maswali elekevu wakati mwingine yanasound Rather peculiar ,...au unaweza kujiona abused psychologically. Cha kufanya kama uko abroad Nenda kamuone Daktari anayeitwa Proctologist,...au endoscopist,...

Kama upo bongo basi nenda kamuone surgeon na ukifika mwambie ukweli na uombe kipimo cha Endoscopy AU proctoscopy kwanza. Halafu baadaye utayapata majibu.

ANYWAY KABIBU JFFFFFFFFF,..........Tunasubiri post zako siku zijazo
 
You are a courageous man/woman Most people dont talk about such issues to public. Hata hivyo tukianza kutoa maswali elekevu wakati mwingine yanasound Rather peculiar ,...au unaweza kujiona abused psychologically. Cha kufanya kama uko abroad Nenda kamuone Daktari anayeitwa Proctologist,...au endoscopist,...

Kama upo bongo basi nenda kamuone surgeon na ukifika mwambie ukweli na uombe kipimo cha Endoscopy AU proctoscopy kwanza ,..halafu baadaye utayapata majibu
ANYWAY KABIBU JFFFFFFFFF,..........Tunasubiri post zako siku zijazo

Tumia kipimo alichosema Bawa.
 
Je, tatizo ili limekupata baada ya kuwa na 'loose motion' yaani kuendesha? Kama ndiyo, loose motion uleta michubuko kwenye rim ya njia ya haja kubwa, choo kigumu pia uleta michubuko; hivyo basi jisafishe kila baada ya kutumia choo kwa maji safi, fanya 'sit-bath (sitting in the warm water in the water dish/ basin for at least five minutes twice a day after a shower - don't mix that water with dettol)', kula matunda hasa mapapai, mboga za majani na mikate aina ya 'brown', pia usiache kunywa maji ya kutosha kila siku, halafu anagalia baada ya wiki hivi kama bado inaendelea muone Dk na uombe kipimo cha 'endoscopy' kitaonyesha kila kitu kunanzia kwenye rim ya njia ya haja kubwa mpaka kwenye mlango wa tumbo - hapo utapata majibu ya uhakika kama ni hemorrhoids au minyoo au fissures nk.
 
Kutafuta njia ya Cure Hemorrhoids?

Maelfu ya watu kutafuta njia ya tiba hemorrhoids, ingawa ni aibu pia kipaji kuuliza daktari wao. Baada ya yote, dhana ya kuwa na familia yako na daktari poke prod "chini kuna" ni wa kutosha kuwafanya shudder. Hivyo wengi kwenda katika kutafuta dawa nyumbani hemorrhoids ambayo kuwapa unafuu Wanahitaji katika siri ya nyumba zao wenyewe.
Zaidi ya dawa kwa hemorrhoids kwamba kuona kwenye TV ni kutumika kutibu dalili tu, na sio tiba yao. Hii ni kwa nini watu wengi kutafuta dawa ambayo tiba yake badala ya relieving tu ya Ikiwachwa, moto, na kwamba wao kusababisha maumivu.​
Hemorrhoids ni pia hujulikana piles "" muda misimu ambayo inahusu kuonekana unsettling ya advanced hemorrhoids Ni kuangalia kama mwili piled juu ya mwili. Kwa hiyo dawa ya piles itakuwa kitu Same kama tiba ya hemorrhoids. Nilidhani I'd kutupa tidbit katika pale ili usipate kuchanganyikiwa wakati kutafuta jibu la tatizo lako chungu.​
Watu wengi kutafuta om korrigerande åtgärder yao nyumbani kwa hemorrhoids badala ya kuruka haki katika upasuaji. Baadhi ya sababu ni uwezo wao ama hawezi au tu wala 'wanataka upasuaji au matibabu Je, hupendelea zaidi ya asili badala ya boriti laser Kulenga saa nyuma yao.​
Hemorrhoids kutafuta dawa ya kuokoa nyumba Maelfu Njia ya dola katika bili ya matibabu. Hata kwa bima ya afya, mara tu takwimu katika deductible na asilimia 20 ya kawaida na subira ina kulipa, wewe ni kuangalia muswada sizable. Na kama huna bima ya afya, kusahau kuhusu hilo. Kama wewe ni kama watu wengi hemorrhoids utapata dawa ambazo zitakusaidia kuishi na hemorrhoids yako na kuweka kwenye mfuko wako pesa yako.​
Unaweza kutibu hemorrhoids na dawa leo. na ni Pia Uwezekano wa kufanya hivyo kwa dawa Home ambayo inaweza Urahisi Found kwenye wavuti. Unaweza kupata unafuu wa kudumu kutoka hemorrhoids bila kutumia tani ya fedha na bila aibu ya. Pamoja nanyi na kwamba taarifa aibu katika faili yako ya matibabu. Unaweza kupata matibabu kwa hemorrhoids yako kutoka kwa faraja ya nyumba yako mwenyewe.​
tarehe ya kuanza kwa njia yako ya kutibu hemorrhoids wako kwa ajili ya mema, wala kuishi pamoja na maumivu tena. Je, kuendelea kutumia dawa za juu-ya kukabiliana na kwamba kwa kufanya kazi. Kufanya utafiti wako dawa ya nyumbani na kuanza maisha maumivu bure.​


KAKA naomba usitumie hiyo translator kweli imetuchanganya. Jaribu kuisummarize au ipost katika lugha ya Kingereza walau tunaweza kuambulia ila hiyo translator inaharibu.
 
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.

Nakubalia nawe Abdulhalim. Ila kumbuka kuwa nimeshaenda hospital already kwa daktari mzuri sana lakini si bingwa. Nikapewa flagyls ambazo hazijasaidia. hapa JF kuna mabingwa wengi tu ambao wanaweza kutoa ushauri appropriately wa namna ya ku-approach hii issue. Kwa mfano, kuna mtu kaniambia jaribu Endoscopy AU proctoscopy. Saa hii nisingeweza fikiria hata siku moja kwani sijui. Then kutokana na ushauri wao na mimi pia nachanganya na za kwangu then naamua.
 
Pole sana mgeni wetu kwa kuumwa na hayo maumivu makali.

Sasa kama umefuatilia vizuri niliwahi kuleta mada kama hii kuhusiana na tatizo la mshikaji wangu. Kupitia hapa JF alipata ushauri na alielekezwa kwenda zahanati moja ipo maeneo ya Banana eneo linaloitwa Bonanza ambayo wanatumia dawa za mitishamba. Jamaa yangu huyo kwasasa aanaendelea na matibabu na kuna maendeleo makubwa sana tofauti na mwanzoni. Jitahidi kufuatilia tiba hii nawe kama vipi. Jina la hospitali yenyewe silikumbuki ila nitamuuliza mshikaji na nitalipoti hapa.
 
Jaribu pia kuacha kula vyakula vya nafaka zilizokobolewa yaani kila siku badala yake ongeza kula nafaka ambazo hazijakobolewa, maji kwa wingi, matunda na pia tumia Juisi ya Ukwaju nzito glass mbili mara tatu kwa siku kwa muda wa siku tatu utaona mabadiliko.
 
jaribu pia kuacha kula vyakula vya nafaka zilizokobolewa yaani kila siku badala yake ongeza kula nafaka ambazo hazijakobolewa, maji kwa wingi, matunda na pia tumia Juisi ya Ukwaju nzito glass mbili mara tatu kwa siku kwa muda wa siku tatu utaona mabadiliko.

SCABULA UNAMSHAURI MSHIKAJI KUHUSU UKWAJU,,..MATE YAMENITOKA,..huku hamna mzeee,,..namiss na ubuyu pia,..du bora nikanywe bia,...ina uchachu,...mzee
 
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.
Unaona wivu akitaka ushauri wangu? wewe Abdulhalim unaleta ubishi hata huku?
 
Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
Kinachotakiwa uende kwa doctor Mtaalamu wa haya Maradhi ya Hemorrhoids akufanyie Uchunguzi na hata ikiwezekana ufanyiwe Operation ndogo kwa kuikata hicho kinyama kilichotoka sehemu yako ya siri. Huo ndio ni ushauri wangu.
 
Unaona wivu akitaka ushauri wangu? wewe Abdulhalim unaleta ubishi hata huku?
Wewe ni mngoni au mtu wa Kigoma nini? lol

Yaani unaweka post ya google translator ambayo hata sentensi moja haileti mantiki halaf ukiambiwa unaanza kubisha na kuleta visingizio !
 
Wewe ni mngoni au mtu wa Kigoma nini? lol

Yaani unaweka post ya google translator ambayo hata sentensi moja haileti mantiki halaf ukiambiwa unaanza kubisha na kuleta visingizio !
Naona wewe utakuwa ni Mzanzibar tena mtu wa CUF kama ni Mtu wa Bara utakuwa ni Mchaga wewe. kila Mahali upo tulia Mkuu
 
Je, tatizo ili limekupata baada ya kuwa na 'loose motion' yaani kuendesha? Kama ndiyo, loose motion uleta michubuko kwenye rim ya njia ya haja kubwa, choo kigumu pia uleta michubuko; hivyo basi jisafishe kila baada ya kutumia choo kwa maji safi, fanya 'sit-bath (sitting in the warm water in the water dish/ basin for at least five minutes twice a day after a shower - don't mix that water with dettol)', kula matunda hasa mapapai, mboga za majani na mikate aina ya 'brown', pia usiache kunywa maji ya kutosha kila siku, halafu anagalia baada ya wiki hivi kama bado inaendelea muone Dk na uombe kipimo cha 'endoscopy' kitaonyesha kila kitu kunanzia kwenye rim ya njia ya haja kubwa mpaka kwenye mlango wa tumbo - hapo utapata majibu ya uhakika kama ni hemorrhoids au minyoo au fissures nk.


Mkuu, hata minyoo inaweza leta hii kero? Sasa inakuwa inafanya nini huku chini badala ya ku-concentrate kwenye food kwenye utumbo wa juu? Sijanywa dawa za minyoo miaka kadhaa!
 
Mara ya kwanza kuregister na nimeanza kimatatizo.

Mwana JF mwenzenu kwa kipindi cha miezi kama miwili hivi, nimekuwa nikipata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa. Maumivu haya yanakuja nikiwa na choo kigumu au chepesi. Huwa ni maumivu kama kuna kitu kinakwanguliwa au kuna kidonda hivi. Lakini pindi nikimaliza haja kubwa sisikii tena na wala sihisi kama kuna maumivu! Hivi karibuni nilipata vurugu tumboni baada ya food poisoning, ile combination ya maumivu kwa kweli hailezeki. sehemu inayouma ni kwenye outlet (anus) pale pale na si kwingine. Maana ningekuwa nayasikia hata kwente rectum ningeweza sema, ila ni juu kabisa wakati wa defacation.

Nilikwenda mwona Doctor, yeye aliniandikia flagyls ambazo nilizinywa wala sijapata nafuu. Alihisi kuna infection au inflammation. Sasa niko njia panda, nifanyeje? Sijui hata huko hospital nielezeje hasa hali yangu?!

Naomba mawazo pa kuanzia. Asanteni.

Ndugu KN,pole sana kwa maradhi.

I like and enjoy the science of diagnosis..maana sometimes huwa inaleta wonders,inaweza kupelekea kugundua kitu ambacho was once not in mind of anyone.Na ndio maana daktari mzuri ni yule mwenye kipaji cha diagnosis..maana hapo ndio mwanzo wa tiba.

Binafsi ningependa kujua:

Jinsia,una umri gani,unaishi maeneo gani,your health status,(hii ni general history)

Present illness:Maumivu wakati kujisaidia haja kubwa;je inaambatana na damu(u can think of hemorrhoid,rupture etc),umesema ulipata food poisoning(severeness,the consequence thereof,wht relieved the poisoning etc),wht aggravate the illness,wht alleviate the symptoms.Umetaja kuhara na choo kigumu vyote vinatoa maumivu;je wahara mara ngapi a day,umesha observe chakula gani ukila au usipokunywa maji kwa muda ya kutosha unapata choo kigumu.

Past medical history:Una historia yoyote ya physical trauma maeneo husika or any,una historia yoyote ya Hepatitis or any liver disease(hapa tunataka ku relate na varicose in the portal-systemic anastomoses especially anal-rectal anastomosis which may lead to hemorrhoid),any history of Colitis(idea hii naipata kwa kuwa daktari alikupa flagyls),kama ni mwanamke:ushazaa mtoto,na una historia yoyote ya vagino-rectal fistula.Ulipata infection yoyote in the lower large intestine in any time in your life.

Personal life:Umeoa/kuolewa,umeshazaa(kama ni she)-if yes,watoto wangapi,any delivery complications,sexual habit:anal sex,toy sex etc,occupation-je ni kazi ambayo inakulazimu ukae kitako kwa muda mrefu,any hazardous work enviroment.

Family history:health status ya wazazi,ndugu wa karibu,watoto,spouse.Je wana matatizo yanayo fanana na ya kwako?

In short ndugu,nenda katafute a thorough medical attention kwa mtaalam wa hiyo kitu,kama uko Bongo,ma dakatri wetu wengi hawana muda ya kumsikiliza mgonjwa kwa kila kitu,kwa hiyo tafuta means ya kuhakikisha daktari anafuatilia hiyo issue kwa ukamilifu ili kujua hasa tatizo ni nini.

Get well soon

Qadhi
 
Naona wewe utakuwa ni Mzanzibar tena mtu wa CUF kama ni Mtu wa Bara utakuwa ni Mchaga wewe. kila Mahali upo tulia Mkuu
Inaelekea mkuu una damu ya Sheikh Yahya Hussein...... unatabiri kwa kuhisia. Atakuwa mzanzibari tena mtu wa CUF au wa Bara tena mchagga (hujasema kama atakuwa CHADEMA au CCJ). Sisi wafuasi wa utabiri tuchukue lipi kati ya hayo mawili?
 
Mara ya kwanza kuregister na nimeanza kimatatizo.

Mwana JF mwenzenu kwa kipindi cha miezi kama miwili hivi, nimekuwa nikipata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa. Maumivu haya yanakuja nikiwa na choo kigumu au chepesi. Huwa ni maumivu kama kuna kitu kinakwanguliwa au kuna kidonda hivi. Lakini pindi nikimaliza haja kubwa sisikii tena na wala sihisi kama kuna maumivu! Hivi karibuni nilipata vurugu tumboni baada ya food poisoning, ile combination ya maumivu kwa kweli hailezeki. sehemu inayouma ni kwenye outlet (anus) pale pale na si kwingine. Maana ningekuwa nayasikia hata kwente rectum ningeweza sema, ila ni juu kabisa wakati wa defacation.

Nilikwenda mwona Doctor, yeye aliniandikia flagyls ambazo nilizinywa wala sijapata nafuu. Alihisi kuna infection au inflammation. Sasa niko njia panda, nifanyeje? Sijui hata huko hospital nielezeje hasa hali yangu?!

Naomba mawazo pa kuanzia. Asanteni.

Leo nimerudi tena. Zamu hii ni kuwashukuru wote waliotoa ushauri mwema kuhusu maradhi yangu. Kabla ya kwenda kumwona daktari, niliona kwamba labda nifanye trouble shootings kwangu mwenyewe badala ya kujiweka katika wakati mgumu wa kujaribu jaribu madawa, kitu ambacho kwa hakika huwa sikipendi kabisa. Mpasa sasa sijatumia dawa yoyote bali ni kubadilisha menu na kula sana matunda pamoja na vitu vya maji maji kwa wingi. Muda mwingi baada ya chakula nilikuwa nakunywa maji sana. Mpaka leo nayanywa sana. Awali nilikuwa nakunywa maji nikisikia kiu tu. Sasa hivi niko safi kabisa kama nilivyokuwa awali. Asanteni sana.
 
Inaelekea mkuu una damu ya Sheikh Yahya Hussein, unatabiri kwa kuhisia. Atakuwa mzanzibari tena mtu wa CUF au wa Bara tena mchagga (hujasema kama atakuwa CHADEMA au CCJ). Sisi wafuasi wa utabiri tuchukue lipi kati ya hayo mawili?
Utajaza wewe mwenyewe kama ni Mtu wa Chadema au CCM. lakini mimi namuona Mkuu Abdulhalim Ni Mlokole sio Mzanzibar
 
Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.

Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.

Inshallah huenda dawa hizi 2 zikakusaidia na Inshallah tunamuomba Allah S.W awaondoshee maradhi wagonjwa wote inshallah.
 
Back
Top Bottom