Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.
umeisha angalia rank ya vyuo vikuu duniani hivi karibuni?hiyo ni sawa na secondary ya kata
 
Mbali ya majengo KIINIMACHO, hakuna kitu UDOM!

Naita majengo KIINIMACHO kwa sababu ni majengo ambayo ni mabovu sana kiasi kwamba miaka miatano ijayo yatahitaji matengenezo makubwa sana. Mlacha na Kikula wameiingizia nchi hasara kubwa sana.

Jicomment jakubumba
 
I am happy to be father of ------ of whom you are the first born. Again, why don't you substantiate your assertion in lieu of dispatching insults. If you are the crop of UDOM and this is the way you can defend your assertion you truly have shown how awkward everything is. Why defending your beloved UDOM by insults and ballyhoos? Methinks the ball is still in your court.
You are a father a real one...your son must keep on playing the ball...
 
Time will tell..... mi niko udom na ni mwana IT.... Ubora wangu unakuja pale ninapokutana na watu wa IFM and UDSM... bado wako nyuma..... Ukitaka kuprove take examinations , practicals and assigniment za wanafunzi husika... utaona tofauti... Udom wanajitahidi kupandisha sifa ya chuo kwa hali na mali...... Alafu mi nashangaa kuwa udom hakuna malecture wazuri wakati hao hao ndo wanafundisha nzumbe na udsm....

Kuna mwanafunzi mmoja amehitimu hapo UDOM mwaka juzi...ameniomba nimuelekeze namna ya kuandika barua ya kuomba kazi...bad enough nilidhani anataka walau format ya barua ..kumbe na maneno ya kiingereza pia ameishiwa ..niliogopa.Coz pamoja na Kiinglishi changu kibovu yeye(Graduate )anaomba msaada kwenye tuta...nikaogopa..
 
"Inafahamika kuwa UDOM ni chuo kikubwa na sio chuo kikuu"
Pole mtoa thread kwa machungu uliyonayo baada ya kutemwa UDSM,SUA,MZUMBE,SAUT n.k
 
udom bado ni chuo kchanga sana....mwalimu mmoja nafundisha wanafunz 2000....mfano somo kama code MS or QM
 
udom bado ni chuo kchanga sana....mwalimu mmoja nafundisha wanafunz 2000....mfano somo kama code MS or QM
 
Time will tell..... mi niko udom na ni mwana IT.... Ubora wangu unakuja pale ninapokutana na watu wa IFM and UDSM... bado wako nyuma..... Ukitaka kuprove take examinations , practicals and assigniment za wanafunzi husika... utaona tofauti... Udom wanajitahidi kupandisha sifa ya chuo kwa hali na mali...... Alafu mi nashangaa kuwa udom hakuna malecture wazuri wakati hao hao ndo wanafundisha nzumbe na udsm....

Heheh umeona eeh? 'Nzumbe' oyeee!!! Wasalimie Mtwara Mikindani mkuu
 
udom wanaweza wakachangia watoto wetu kufeli kwa sababu mara nyingi wengi wanaodailiwa ni div 2 na 3 zilizochoka kwanza mnanuka ccm pumbaaf

Una uhakika kuwa wanaodahiliwa udom wana div.2 na 3 tu?Ur nosense! Think thrice
 
HUYO JAmaa hana lolote hiyo organisation behavior anayosema amesoma mbona hainalolote, kuna manguri tumepiga social pschology na kukuona kuwa umekuwa afected psychologicaly kusoma chuo usichotarajia(udom) sasa unataka kupoonda kingne ili uweze kubalance your self esteem au kujiridhisha. huwezzi kusema prof akimbie udsm aje udom bila utaratibu maana vyote ni vyuo vya umma na yy ni muajiriwa tu.UDOM bado sana hata kuoga hamjajua mjini hamuendi ha ha haaaaaa

non sense! Think logically before you speak out! You lack philosophical aspect of your mind
 
Mbona kuna vijana mnapinga hii thread bila hoja za maana ila kwa kumshambulia Mtoa post kwa maneno makali as if amefungua ukurasa wa malumbano bila logic? Onesheni usomi wenu hapa ki uchambuzi na sio hasira bana ebooo!
 
hao madogo wa Udom wanajuta TCU kuwapeleka huko Dodoma wanayoyaandika ni namna tu ya kupunguza machungu vp boom mmepewa kweli msije mkawa mna njaa ndio maana blablaa nyingi!
 
source please. no data no right to speak. how?????????? if you are talking on the basis of quantitative turnover well Udom is leading however you shall be disappointed when you learn that this quantitave turnover is meaningless. udom graduates are not as competitive as counterparts from Udsm and SUA. Surely if you go to an interview with Sua and Udsm graduates alongside, you shall be disappointed because you stand to be a looser at any rate in all aspects of expertise and self skills. remember at one time interview panels held banners stating clearly that interviewers should recruit all candidates except those from Udom and one reserved college. what does it mean; NO FEAR FROM UDOM AS YOUA RE TRYING TO IMPLICATE HERE. THIS MAY TELL US WHETHER THERE IS ANY FEAR UDOM EXISTENCE IN THIS REGARD AND PROBABLY WHAT YOU ARE SAYING IS TRUE OR NOT. UDOM MUST CHANGE TO REFLECT THE TRUE APPROACH TO HANDLING AND ADMINISTERING UNIVERSITY EDUCATION WHATSOEVER.
 
This is a fantastic scenario. How on earth can it happen. What does a tutorial assistant attend in a master degree class. This state of affairs is academically so demanding.
 
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.
Shule za kata products at work
 
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.
ukiwa na 1500 unapata mademu watatu,mmoja jero tu! kwa hiyo lazima muizidi udsm
 
Mbona kuna vijana mnapinga hii thread bila hoja za maana ila kwa kumshambulia Mtoa post kwa maneno makali as if amefungua ukurasa wa malumbano bila logic? Onesheni usomi wenu hapa ki uchambuzi na sio hasira bana ebooo!
Hii hoja haina haja ya kuonesha usomi wowote kwa sababu haisaidii chochote.Foolish question always deserves foolish answer.
 
umetoa mifano mingi sana inayohusu chuo kikuu cha dodoma kwa kulejea organizational behaviour katika hili mimi sipingani na wewe ila tu ninachokiona ni kuwa ulichokisoma huko udom au kwingineko ni kitu kimoja na uhalisia wa jambo ni kitu kingine
 
Back
Top Bottom