Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

Hapo unaposema intake ya udom inameza vyuo kumi unanipa tabu. Hebu toa data nikuelewe vizuri.


Sisi wa SUA tu mashabiki wa huu mchuano udsm vs udom
 
UDOM inadhalisha watu wa ajabu sana

Ndugu yangu umeshahudhuria interviews za kazi ngapi? Ukikutana na wanafunzi wa vyuo vingine utacheka ana first class degree hata kutunga sentensi moja kwa kiswahili hawezi hicho kidhungu ndo usiseme
 
HUYO JAmaa hana lolote hiyo organisation behavior anayosema amesoma mbona hainalolote, kuna manguri tumepiga social pschology na kukuona kuwa umekuwa afected psychologicaly kusoma chuo usichotarajia(udom) sasa unataka kupoonda kingne ili uweze kubalance your self esteem au kujiridhisha. huwezzi kusema prof akimbie udsm aje udom bila utaratibu maana vyote ni vyuo vya umma na yy ni muajiriwa tu.UDOM bado sana hata kuoga hamjajua mjini hamuendi ha ha haaaaaa
 
Mi hapa ni ADMIN wa UDOM ndio Home,nadhani huelewi unachokisema kaka.
Kwanza lile so kundi,ile ni page.
Habari ya wastaarabu wachache ndo naiskia kwako mayb unieleze kvp?
Na cdhan kwa tuhuma zako hzo km tungeweza kuwa na idadi kubwa ya LIkes km zile.
wise up bro.
 
kweli we ndo father of all idiot. Leo hii tukisema serengeti ni moja ya maajabu saba ya dunia kesho asubuh unataka wawe wamesha iweka kwenye guiness book of records. That is the matter of time.

serengeti ni moja ya maajabu saba africa na si dunia. Kajipange
 
Dogo soma acha kutumia masaburi kuchambua mambo!Hiyo UDOM haiwezi hata kulinganishwa na St Augustine achilia mbali UDSM.Hiyo pambanisha na Eckenford

hakika huo ndio ukweli, UDOM ni level za eckernforde
 
Sio muumini sana wa kugombania ubora wa Vyuo kwa sababu kesho naweza kwenda kusoma au kufanya kazi kwenye Chuo hicho hicho ninachokiponda.....Hata hivyo, mimi nimesoma UDSM....Ninao ndugu, jamaa na marafiki wanaosoma na waliosoma UDOM na wengine wanafanya kazi UDOM. Sijafika UDOM, siijui vizuri sana kiasi cha kulinganisha na UDSM. Hata hivyo naamini kwa dhati kabisa, mtoto wa miaka Mitano (2007-2013) hawezi kwa namna yoyote ile kulinganishwa na Mtu mzima wa miaka 52 (1961-2013) labda sura tu na kwamba wote ni binadamu i.e Vyote ni Vyuo Vikuu.

Tuipe muda UDOM ijipange, izalishe Walimu wake (leo inategemea products za UDSM, SUA,ARU,MUHAS na MZUMBE)... Sidhani kama UDOM ilijengwa ili kushindana na UDSM. ALiyebuni wazo la kujenga UDOM (awe Kikwete au Mtu mwingine) hakulenga kushindanisha UDOM na UDSM...UDOM ilikuja kucomplement mapungufu ya UDSM (Naamini yapo mengi sana) ikiwemo kuchukua idadi ndogo ya wanafunzi. Sidhani kama JK (M UDSM), Dkt Bilal (M UDSM). Prof Kikula, Mlacha, Mwamfupe na wengine wapo pale kushindanisha UDOM na UDSM...kwenye hayo mashindano wao watakuwa upande gani?

Ni akili za watu wenye uelewa mdogo wa "Organizations Behaviour" ndio wanaoweza kujadili kulinganisha mtoto anayekuwa kwa kasi na Mzee mwenye Uzoefu kazini. Tuaiche UDOM ikue, tutakuja kutoa maoni labda baada ya miaka 15 au 20 hivi pale ambapo Chuo kitakuwa na Walimu wa kutosha n.k.................

.MImi huwa sipendi sana haya mambo ya ushabiki wa Vyuo kama wa Simba na Yanga. Unapolinganisha UDOM na UDSM, vyuo vikongwe kama SUA, ARU, MZUMBE, na MUHAS unaviweka kundi gani? Uobra wa Chuo hausaidii chochote kwenye mafanikioa ya mtu binafsi, kama ubongo wako umekuwa reduced kwenye kulinganisha Vyuo na kuchambua kwa kutumia tu "Organizations Behaviours" hata Usome UCLA, Stanford, Harvard, Yale,Bekerley, Massachussets, Southampton, Oslo, Twente au Oxford utabaiki kuwa bogus tu

sisi UDOM kuifikia UDSM majengo yetu yatakuwa yameanza kuanguka maana saa hizi cracks kibao. Tujipange labda baadae sana
 
Binafsi nimesoma UDOM lakini huwa naamini na nitaendelea kuamini kwamba hata usome Oxford University kama huna upembuzi wa fikra na muktadha(critical discourse analysis) ktk utendaji wako we ni kilaza tu! kwa sisi pioneers tuliosoma UDOM mazingira ya kusomea yalikua magumu lakn tulipata msaada kutoka UDSM mwenye akili hawezi kubisha hili!!!!
ushauri wa bure huwezi kulinganisha chuo kwa sababu za kikuda kama hizo hapo!!!! Jipangeni kwa hoja
 
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.

Ungekuwa umesoma na kuelewa organizational behaviour,usingeandika ulichoandika hapo. Yaani umekaa chini na kuibuka na changamoto za uongo kuhusu UDOM. Hébu jibu haya,
1. Hebu tuambie UDOM ina uwezo wa kudahili wanafunzi wangapi kwa mwaka mmoja wa masomo. Chuo gani kimewahi kulalamika kuwa hakijapata wanafunzi wa kutosha na mwaka gani since 2007 to date?
2. Toa uthibitisho wa kashfa iliyotolewa na vyuo vingine dhidi ya UDOM. Kama chuo hakina wahadhiri wa kutosha,huwa kinaazima kutoka vyuo vingine(VISITING LECTURERS na wengine PARTY TIME LECTURERS) (sio lectures kama ulivyoandika,ni lecturers). Dr. Mwamfupe alikuwa Duce but alipekwa UDOM. Kumbuka waajiriwa wa UDOM na UDSM wote ni watumishi wa uma,ni sawa kumtoa mwalimu Azania Sec na kumpeleka Mwanza Sec.
3. Sifa gani hizo unazoongelea?wakati UDOM kinaanza ulikuwa darasa la ngapi?
NB.
UDOM haikuanzishwa ili kuleta ushindani na vyuo vingine. Kasome na kuelewa organizational behaviour,sio unakurupuka tu hapa kuleta mada usizozielewa. Then,kajifunze kuandika vyema na kingereza pia.
 
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.

Ulivyo andika,ulicho andika na kiinglish chako cha hovyo....ni ushahidi tosha kuwa UDOM inatoa product mbovu sana....so to speak
 
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?

Kwasababu vyuo vilivyokuwepo vilikua havitofautiani katika sifa na competition kati yao ilikua ndogo. Kama umesoma organization behaviors utakubali hili.

Baada ya kuzaliwa kwa udom malumbano yakaanza,je unajua ni kwanini?

Udom ilikuja na changamoto zifuatazo kwa vyuo vingine ikiwepo mlimani

1.changamoto ya idad ya kupata wanafunz wakutosha kwa vyuo vingine hasa ukitegemea intake ya udom ni kubwa ya kuweza kumeza vyuo kumi na kisijae
so what they did here ili wasikose wanafunz ni kuanza kutengeneza sifa mbovu kuhusu udom ili waendelee kupata intake ileile kwenye vyuo vyao
2. Kufunguliwa kwa udom kulileta changamoto ya uwezekano wa lectures kwenda udom na kuhama baadh ya vyuo, so what measure they took ni kuamua kuikashifu udom na kuongeza maslah kwa ma lecture katika vyuo vyao wasikimbie. Kama una ndugu yako lecture hapo ud au mzumbe wanalifaham ili.
3. changamoto nyingine ni kutaka kuendelea kubaki na sifa ya vyuo vyao kwa kupinga na kuponda the emerged one which is udom
hizo ndo sababu mabishano ya vyuo yameanza pale udom ilipoanza. IZO NI ORGANIZATION BEHAVIOUS KATIKA KU FACE COMPETATION. Kaa darasan uzisome utajua the in and out.

Ni kweli kwamba uzur wa majengo na intake havitumiki ku determine ubora wa elimu ila vinakua ni changamoto kwa vyuo vingine kwamba applicants wanaweza wakavutiwa na vitu hivyo so what to do nikusema kinachozalishwa ni feki ili kuendelea kupata intake ileile kwenye vyuo vyao.
(go and study organization behaviours in dealing with competitions)

changamoto ndogo ndogo zinazoikabili udom haziwez kuondoka kama kikwete hatatoka madarakani kwa kumuweka prof kikula na kuchanganya siasa,dini na elimu.

Mtoto wa miaka 4 kila siku anaendelea kukua na anaendelea kuwa tishio kwa wazee wa miaka 50 na zaid, je huyu mtoto akifikisha miaka 20 tu atakua hakamatiki.

Ukikurupuka ku-comment bila kuzijua organization behaviors utaishia kuandika utumbo.

NB:
kuna kundi linaitwa "udom ndo home" facebook. Kila mnachopost kuweni makini na mnachochangia, kundi limejaa wastaarabu wa chache, weng wanatumia lugha za kiuni.

Very sorry to say this: YOU ARE STUPID!
I am wondering if really you are learned fellow! You started with a very poor argument then followed with profoundly wrong premise in question mark!Your code switching and mixing leaves a lot to be desired. Writing style so wanting. The worst is your writing skills, you repeatedly misspelled the word LECTURES (instead of lecturers). Surprisingly, you are also caught in the web of factual fallacy. THE FACTS NOW;
1. There is no competition btn and/or among universities in Tanzania rather than their products in terms of graduands and/or graduates, research outputs, consultancy, etc. Remember, this is not national but universal.
2. UDOM is the only public university where a Tutorial Assistant is as powerful as professor in all academic dimensions like Single teaching, marking, grading and publishing results of a course/courses. This is indeed, an academic rape.
3. UDOM is the only university under sun that a Tutorial Assistant supervises a Masters' Degree Thesis/Dissertation. This is not to undermine the intellectual wealth of TAs, but here the issue of level and experience are of extra importance
4. UDOM is the only public university in Tanzania with extremely a few number of PhDs
5. The best known FACT so far, UDOM cultivates and inculcates RELIGIONISM more than Religious universities.
NB: UDOM is as good as other "GLORIFIED HIGH SCHOOLS" (not mentioned coz of security and status reasons), comparing it with UDSM products is as trying the power of Almighty God. (Is as equal as comparing between God and Satan; UDSM and UDOM respectively)
 
Top 100 universities in Africa, Udsm is number 6 and Herbert Kairuki Memorial is Number 98. For Tanzania only two universities
 
Very sorry to say this: YOU ARE STUPID!
I am wondering if really you are learned fellow! You started with a very poor argument then followed with profoundly wrong premise in question mark!Your code switching and mixing leaves a lot to be desired. Writing style so wanting. The worst is your writing skills, you repeatedly misspelled the word LECTURES (instead of lecturers). Surprisingly, you are also caught in the web of factual fallacy. THE FACTS NOW;
1. There is no competition btn and/or among universities in Tanzania rather than their products in terms of graduands and/or graduates, research outputs, consultancy, etc. Remember, this is not national but universal.
2. UDOM is the only public university where a Tutorial Assistant is as powerful as professor in all academic dimensions like Single teaching, marking, grading and publishing results of a course/courses. This is indeed, an academic rape.
3. UDOM is the only university under sun that a Tutorial Assistant supervises a Masters' Degree Thesis/Dissertation. This is not to undermine the intellectual wealth of TAs, but here the issue of level and experience are of extra importance
4. UDOM is the only public university in Tanzania with extremely a few number of PhDs
5. The best known FACT so far, UDOM cultivates and inculcates RELIGIONISM more than Religious universities.
NB: UDOM is as good as other "GLORIFIED HIGH SCHOOLS" (not mentioned coz of security and status reasons), comparing it with UDSM products is as trying the power of Almighty God. (Is as equal as comparing between God and Satan; UDSM and UDOM respectively)

Jamaa kilaza sana hana argument kakurupuka tu na hiyo inaonesha jinsi gani UDOM ipo chini kitaaluma. Kuna demu flani alikuwa Tutorial Assistant wa Statistics UDSM anaitwa Bianka anawasumbua utadhani Prof. wakati yupo UDSM hakuwa na uwezo wowote wa kufundisha zaidi ya kupewa kazi ya kuandika notes ubaoni
 
huyo jamaa hana lolote hiyo organisation behavior anayosema amesoma mbona hainalolote, kuna manguri tumepiga social pschology na kukuona kuwa umekuwa afected psychologicaly kusoma chuo usichotarajia(udom) sasa unataka kupoonda kingne ili uweze kubalance your self esteem au kujiridhisha. Huwezzi kusema prof akimbie udsm aje udom bila utaratibu maana vyote ni vyuo vya umma na yy ni muajiriwa tu.udom bado sana hata kuoga hamjajua mjini hamuendi ha ha haaaaaa

udom wanaweza wakachangia watoto wetu kufeli kwa sababu mara nyingi wengi wanaodailiwa ni div 2 na 3 zilizochoka kwanza mnanuka ccm pumbaaf
 
Back
Top Bottom