Tunaosubiri namba E tukutane hapa

V, W, X, Y & Z

Zimebaki herufi 5 lakini za moto sana....zitatembea kwa kujikongoja mno ni kama kila mmoja anajizuia ili akamate namba E.

Sioni ajabu zikivuta hadi December hivi. Watu sasa hv wanasikiliziana sana na wameamua kukaa na hela zao kusubiri E

Huku mtaani naona cheses namba nyingi watu wamegoma kila mtu anasubiri namba E ahahahahaa wasitucheleweshe wasajil bwana
 
V, W, X, Y & Z

Zimebaki herufi 5 lakini za moto sana....zitatembea kwa kujikongoja mno ni kama kila mmoja anajizuia ili akamate namba E.

Sioni ajabu zikivuta hadi December hivi. Watu sasa hv wanasikiliziana sana na wameamua kukaa na hela zao kusubiri E

Wanaokimbiza namba ni wanaonunua magari ya biashara na kazi zao, sio watu wanaonunua gari ndogo za kutembelea.

Namba haziwezi kujikongoja maana kuna watu wa dala dala. Watu wa malori na watu wa ma bus ya mikoani. Hao hawana muda wa kusubiri namba na huwa hawanunui gari moja moja..
 
IMG-20220725-WA0000.jpg
IMG-20220625-WA0008.jpg
 
[mention]Extrovert [/mention] kaka naomba kuuliza
Me najua kua ile herufi ya kwanza ya plate number ndio inaonesha upya wa gari kua imesajiliwa sio kitambo kuzidi zingine

Ila je zile herufi zinazofata nazo zina matter?
 
Back
Top Bottom