General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,027
- Thread starter
- #1,081
So tunafunga mwezi na DZV ama nini
Tutafunga na DZW
So tunafunga mwezi na DZV ama nini
Inawezekana wengi wanatembelea chases namba wakiisubiria hiyo eW haiwezi kufunga wiki......inaonekana km vile kuna mdororo kwenye soko la magari. Herufi zimepunguza kasi sana sio km mwanzo mwanzo hv
Litakuwa lao maana huwa latokea uelekeo wa AfrikanaAHG na gari ni ya 2022 itakuwa ya wazee
😀😀😀😀😀😀😀😀Nawakumbusha tu hata DZZ bado ni D tuu 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Na hayo ndio makosa makubwa sana wanayofanya watu wetu wa usalama, kwa style hiyo kila mtu anawashtukiaAHG na gari ni ya 2022 😂😂😂 itakuwa ya wazee
Midst August.Kwahiyo E inaanza lini
Gari nyingi nakutana nazo kweli ni Chassis number tena ni Yellow Plates. Nahisi raia wana jambo lao 😀Inawezekana wengi wanatembelea chases namba wakiisubiria hiyo e
Ina matter na ndio maana kwa sasa tunakoelekea mwishoni mwa. herufi D tunafuatilia kwa makini.[mention]Extrovert [/mention] kaka naomba kuuliza
Me najua kua ile herufi ya kwanza ya plate number ndio inaonesha upya wa gari kua imesajiliwa sio kitambo kuzidi zingine
Ila je zile herufi zinazofata nazo zina matter?
September mwishoMidst August.
Hapo nmekusoma manIna matter na ndio maana kwa sasa tunakoelekea mwishoni mwa. herufi D tunafuatilia kwa makini.
Soon baada ya series ya D ikiisha itaanza series ya E ambayo nayo itachukuwa kati ya miaka 7-10 mpaka kuisha na kuanza series ya F.
Kwa Resale value ya gari kibongo bongo imeonekana Series ikiwa sio current inapunguza thamani ya gari sokoni. Mfano kwa sasa gari ikiwa number C ama gari ikiwa D kuna uwezekano wa D kuwa na soko zaidi kuliko C. Hata kama gari namba C ni nzima kuliko D ila namba D ndio ina chance kubwa ya kuuzwa bei nzuri.
Aah inavumilika kumbeMidst August.
Eeh si mbali sanaAah inavumilika kumbe
Ngoja tuoneEeh si mbali sana
Wengi wanaisubiria E,EAA naona ndani siku kadhaa itakua ishapita na kijijiGari nyingi nakutana nazo kweli ni Chassis number tena ni Yellow Plates. Nahisi raia wana jambo lao 😀