Mbeya: Updates ya kesi ya bandari majibu ya Mawakili wa Serikali na Mawakili wa Walalamikaji 27th July 2023

Mdude_Nyagali

Member
Dec 11, 2022
60
1,237
Majaji wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi.

MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI;

MAWAKILI WA SERIKALI;

1. Adv. Mark Muluambo

2. Edson Mwaiyunge

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin Lwebilo
...
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba
...
MAJAJI

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba.

Walalamikaji wote wamefika wapo ukumbini;

1. Alphonce Lusako

2. Emmanuel Chengula

3. Raphael Ngonde

4. Frank Nyarusi

Wakili Serikali wa serikali anaijulisha mahakama kuwa wako tayari kama hakutakuwa na pingamizi waendelee kujibu hoja zao. Wakili wa walalamikaji anasimama na kuijulisha mahakama kuwa hakuna pingamizi. Jaji anaamuru mawakili wa serikali waendelee kujibu hoja zao. Sasa anasimama wakili wa serikali aitwaye Kalokola kuendelea kujibu hoja.

SA = kifufisho chaState Attorney au wakili wa serikali.

SA Kalokola: waheshimiwa naendelea na hoja namba 6 kama mkataba huu IGA ulizingatia sheria ya Manunuzi (Procurement Act). Hoja hii inatokana na ombi na 4 ya Origjnating summons kwamba IGA haikuzingatia Sheria ya Manunuzi. Na katika aya ya 12, walalamikaji wanasema kuna tender inetolewa kwa DP WORLD Kinyume na sheria za manunuzi

SA Kalokola: Majibu yetu yapo katika aya ya 14 ya kiapo cha Mohamed Salumu kwamba; Hakuna tender iliyotolewa na hakuna majibu yaliyoletwa na wenzetu kupinga hili.Waheshimiwa majaji wenzetu waliandika jina la kampuni DPW na sisi tunajua kuwa kuna kampuni ya DPW Na hawakukanusha. Pia kwa Kuwa Mkataba wa IGA ni mkataba wa Kimataifa unasinamiwa na sheria za kimataifa hivyo sheria ya manunuzi haiwezi kutumika bali sheria za kimataifa.

SA Kalokola: Waheshimiwa Majaji, Mkataba huu ni framework agreement ni mkataba wa ushirikiano wenye mifumo ya uwekezaji kitu ambacho hakiwezi kuhusiana na dhana ya manunuzi kana kwamba kuna nchi inamnunua mwengine. Hivyo wenzetu hawakupaswa kulazimika kuja na hoja ya kimanunuzi. Wakili Mwakilima alisema kuhusu sheria ya manunuzi naomba tuongozwe na kifungu cha 12 cha Tanzania Port Act. Kunachozungumzia Kazi za TPA.

SA Kalokola anaendelea kusema kwamba; Majukumu ya TPA ni kupromote local &FOREIGN investment kwenye bandari. Na kama wenzetu wangeanzia katika dhana ya uwekezaji TPA inamajukumu hayo.

SA Kalokola: kunapokuwa na International obligations na inakinzana na sheria za ndani, Sheria za kimataifa zitasimama dhidi ya sheria za ndani hivyo masharti yaliyopo kwenye IGA yanasimama. Na kwamba Mkataba wa IGA haukuzingatia matakwa ya sheria ya manunuzi is a misconception (Kupotoka).Yaani wametumia dhana fulani kwenye eneo ambalo sio mahala pake. Hivyo hoja ya 4 na 5 na 6 kwemye matumizi ya mikataba nimejibu hivyo na naomba hoja zangu zizingatiwe.

SA Kalokola: Waheshimiwa majaji Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha hoja zote tatu na niombe mahakama irejee kwa shauri la Center for strategic litigation Ltd & another Vs. AG and others. Maamuzi ya majaji watatu katika ukurasa wa 40 na 41 kwamba haitoshi kusema kiapo husika bila maelezo yoyote ya kina.

SA Kalokola: Wao walalamikaji wameshindwa na hawajasema aina ya tenda, tenda namba ipi, yenye thamani ipi, na kwa ajili ya nini? Wao wameshindwa kubainisha hilo.

Anamaliza Kalokola sasa anamkaribisha wakili wa serikali aitwaye Mayunge aendelee kujibu.

Sasa ni zamu ya wakili wa serikali aitwaye Mr. Mayunge na ni wakili wa tatu wa serikali katika kuwasilisha majibu kwenye kesi hii ya bandari.

SA Mayunge: amekaribishwa na anaendelea. Nitaanza kujibu hoja namba 2 ya Senior Mpoki:.

SA Mayunge: Waheshimiwa, Nikirejea ibara ya 21(1] ya Katiba ya Tz, kimsingi inaelezea kuchagua na kuchaguliwa kwa wabunge na kwamba ni wawakilishi wa wananchi.

Pia ibara ya 63(2] ya Katiba ya Tz, maudhui yake ni kwamba Bunge linasimama kwa niaba ya wananchi kuisimamia serikali

SA Mayunge: Nirejee pia ibara ya 63(3]e ya Katiba Tanzania inayotamka kwamba; utekelezaji wa madaraka ya Bunge: ni kujadili na kuridhia mikataba.

Nirejee 89(1],(2] ya Katiba ya Tanzania, inayosema bunge litatunga kanuni za kudumu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zake.

SA Mayunge: Ibara ndogo ya [2) Bunge kutunga kanuni ndogo za utekelezaji lakini pia ibara ya 96inayoeleza: BUNGE Laweza kuunda kamati mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa, kutokana na ibara ya 89(1] Bunge la JMT limetunga kanuni za kudumu kama ilivyoelekezwa mfano kanuni ya 108 ambayo nitasoma kanuni ndogo ya 2.(Quote as its )

SA Mayunge: Waheshimiwa katika kiapo cha Maria ambacho pia ni kiapo cha Bwana Salum, serikali iliwasisha Mkataba wa IGA bungeni kwa ajili ya ratification.

Katika aya ya tatu anaeleza jinsi serikali ilivyopeleka mkataba Bungeni kupitia barua iliyoambatanishwa.

SA Mayunge: Pamoja na yote yaliyoandikwa naomba nisome aya ya kwanza: Baada ya kukamilika shughuli za serikali, Kutokana na umuhimu wake tunaomba kuwasilisha shuguli 7 ili Bunge lifanyie kazi kwa mambo yafuatayo.

SA Mayunge: 1. Kuazimia azimio la serikali kuingia Mkataba wa IGA na DP WORLD From Dubai. Baada ya hapo kanuni ya 108[2] ikaanza kutekelezwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na bunge.

SA Mayunge: Na bunge ilialika wadau ili watoe maoni yao kupitia Notice iliyoambatanishwa kwenye kiapo cha Maria, kiambata OSGF2 Kwenye aya ya 5.

Wahe. majaji naomba nisome kiapo husika ili muone kama it was reasonable

Majaji : wanamruhusu

Wakili: Serikali SA Mayunge anasoma barua husika.

SA Mayunge: Kwa ujumla notice inahusu Mkutano wa Kupokea Maoni dhidi ya mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji, hili tangazo waliliona waleta maombi na niwao wameeleza katka kiapo chao, aya ya 11 walivyopata tangazo hilo.

SA Mayunge: Na katika kiapo chao hawajasema muda ulikuwa mfupi sio kwamba uliwazuia kutoa maoni na hawajasema chochote.

Na hatujua walalamikaji wanalalamika kwa niaba ya nani na hwapo hapa kwa niaba ya nani.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji wenyemaoni walikuepo japo hawakuwa wao na ndio maana waheshimiwa majaji katika aya ya 7 ya kiapo cha Maria kimesema watu 72 walitoa maoni.

SA Mayunge: Wale waliokuwa wanataka na wakatoa maoni, sasa haya maombi haya ni just speculations, na hata hawakushiriki kutoa maoni lakini wanalalamika.

Na hakuna hata malalamiko ya barua ya kuomba kuongezewa muda wa kukusanya maoni.

Jaji: kwahiyo unasema muda ulikuwa reasonable?

SA Mayunge: it was duly saved, adequate and reasonable na waheshimiwa sasa ni wakati wa utandawazi mtu anaweza kutoa maoni yake popote kuputa barua pepe.

SA Mayunga: Waheshimiwa waliotoa maoni walitoka Mwanza, Arusha, na sehemu mbalimbali za nchi wote hao walitoa maoni yao.

Katika kanuni ya 108(2] ya Kanuni ya Bunge haikutoa kabisa suala la muda na kunasababu zake nitafafanua.

SA Mayunge: Waheshimiwa kwanin tuna tunasema muda ulitosha: ni Bunge lililohitaji maoni kutoka kwa watu.

BUSARA YA BUNGE; Bunge kwa busara zao waliona muda waliotoa unatosha kwa watu kutoa maoni yao dhidi ya Mkataba wa IGA.

SA Mayunge: WAHESHIMIWA suala la reasonable linategemea mazingira, umuhimu, uharaka na mengine mengi ngoja nitaje kidogo.

Suala la Reasonableness kwa masuala ya Bunge, mahakama kadhaa kutoka sehemu mbalimbali duniani zimejadili suala hili na tusiwe tofauti na mahakama zingine.

SA Mayunge: Naomba turejee Uamuzi wa Africa kusini Doctor for life .V. Speaker of National Assembly &Others katika ukurasa wa 70, paragraph 2.

Mahakama ilisema: reasonableness is.....(anasoma) kimsingi reasonableness inategemeana na mambo kadhaa.

SA Mayunge: Kwamba mahakama haiwezi kuipangia bunge. Kwamba Bunge ndio lilihitaji maoni na ndio linalojua kiwango cha ushirikishwaji wa wananchi na vile vile mahakama haitegemei kulibishia Bunge kuhusu reasonableness.

SA Mayunge; Ukurasa wa 19 unatoa shukrani za Bunge kwa watu wote walioshiriki katika kutoa maoni yao juu ya mkataba wa IGA.

Haya ni malalamiko ya kikatiba na walalamikaji wanatoa facts tu na sio vifungu vilivyokiukwa katika Katiba.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji; Walalamikaji hawakuchukua hatua yoyote kuhusu hili.

Waheshimiwa majaji, ni bunge pekee linaloweza kujua umuhimu wa jambo haswa katika ushirikishwaji wa wananchi na namna wangetaka kushirikisha wanachi.

SA Mayunge: Ni takwa la Bunge kuamua namna ya kuwashirikisha wananchi na Mahakama kuu haina mamlaka ya kuingilia masuala ya ndani ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji, senior Mpoki alisema kuhusu wananchi kutoa maoni katika kitu wasicho kijua kama Senior Mpoki alivyosema. Ni ukweli kwamba Notice ilitamka kwamba azimio linapatikana wapi.

SA Mayunge: Kwa sababu hiyo suala la reasonableness liwe hivyo, na bunge lina mamlaka hayo na tunaomba mahakama ichukulie kwamba huo muda ulikuwa unatosha kwa Bunge kupata inachokitaka.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, Maamuzi ya Diana Rose Vs AG na alisemea viapo vya watu 72 havipo na walitakiwa kuleta viapo:

Haya maamuzi yanategemea na maada inayobishaniwa. Na hoja yao ni suala la muda sio suala la idadi ya watu walioshiriki kutoa maoni. Tujikite kwenye muda.

SA Mayunge: Na Wakili Mpoki allisema kama muda ungekuwa mwingi anadhani watoa maoni wangekuwa wengi zaidi. Yeye anadhani tu pia kwamba wangetoa maoni machache.

Reasonableness ya muda inapaswa kuachiwa kwa bunge lenyewe katka kuratibu mambo yake ya ndani.

SA Mayunge: Uamuzi huo, kwa bahati nzuri kwetu uamuzi huo unathibitisha na kuungana na sisi kwamba;

Matakwa ya kushikisha umma kwa ajili ya maoni yanapaswa kuzingatia masharti yaliyowekwa hivyo kilichofanywa na BUNGE kilikuwa sawa waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Kwenye kiapo cha Maria, kwenye verification alisema haya anayoyasema, ni kwa ufahamu wake mwenyewe lakini pia 14.07.2023 tulifile kiapo cha Maria Mpale, kiapo hicho hakikupingwa na kimeeleza uwepo wa watu hao, maoni yalivyotolewa na kikaambatisha maelezo ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa hivyo masuala ya kutaka miezi sijui 6 kwa ajili ya maoni hiyo ni busara ya Bunge na si vinginevyo.

Jaji: Nani kasema miezi 6

Wadau: wanacheka

Adv. Mpoki: Hizo ni imagination zake Waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kuhusu lalamiko dhidi ya kiapo cha Maria kwamba haikuonyesha media na platforms zilizohusika. Hili sio swala ambalo lipo mbele yetu.

Walalamikaji wao waliona na hawapaswi kujua wengine walionaje na walalamikaje wamethibitisha kwa kiapo chake.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji hayo ndio tuliyoyaandaa kuhusu namna Bunge lilivyoshughulikia suala hili la Mkataba wa IGA. Wakili Mpoki jana alitia kesi ya Suprime Court of Mauritius, ambapo Mpoki alijikita katika mawasilisho ya mawakili na maamuzi ya kesi yapo ukurasa wa mwisho.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kwenye annexure OSGAF5 ya Maria Mpale, kuanzia ukurasa wa 6 (Taarifa ya Bunge). Katika taaifa hiyo(anasoma;..)Sehemu hii inaeleza na kukiri namna maoni yaliyopokelewa na Bunge kutoka kwa wadau yalivyosaidia na walalamikaji hawakupinga suala husika

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, waliambiwa watoe maoni lakini hawakuambiwa watoe maoni aina gani na walalamikaji walimute halafu wanakuja kulalamika.

Pia Bunge kwa busara yake iliona muda unatosha kwani Wabunge ni wawakilishi wao na maoni ya Wananchi yalifika kupitia wawakilishi.

SA Mayunge: Naomba nirejee annexure OSGOF5 Katika ukurasa wa7(Maelezo ya Bunge); kwamba aina ya ubia, kiasi cha ubia kitakuja baadae na sio mkataba huu wa IGA.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji IGA kwa hivi ilivyo haivunji kabisa sheria ya Rasilimali Na.6 ya mwaka 2017 kwani IGA sio mkataba wa utekelezaji.

Waheshimiwa majaji vifungu vyote vilivyosemwa na wakili Mwabukusi tunaungana navyo lakini havihusiani na Ratification process

SA Mayunge: Katika uwasilishwaji wa Mwabukusi alirejea mahakama katika Preamble J" ya mkataba wa IGA then ibara ya 2(1) inayoongelea maeneo ya ushirikiano na sisi tunaona is fine kuwa na mawanda hayo

SA Mayunge: Aliongelea Article 4(2] ya IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper. Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani? Anamaliza kwa kuuliza hivyo wakili wa serikali Mayunge

Sasa anakaribishwa wakili wa serikali aitwaye Edwin kuendelea kujibu majibu yao kuhusu kesi ya bandari. Huyu ni wakili wa nne wa serikali. Mtangulizi wake Mr. Mayunge katumia more than 2.30 hrs

SA Edwin; nitajikita katika issue no. 3 iliyowasilishwa na msomi Livino. Naungana nae yote aliyoyasema kwa ku-cite kitabu cha Rule of Law Vs Rulers of law lakini hakusupply copy.

SA Edwin: Walalamikaji wanasema IGA imevunja ibara ya 1,8,na 28 na msomi livino alisema kuna express violation and implementation violation.

Tunaomba mahakama iangalie kifungu kinacholalamikiwa na wala sio kujielekeza katika utekelezwaji wa sheria husika.

SA Edwin: Katika shauri la AG vs Dickson Paul Sanga,Civil appeal 175/2020 page 67_68 Mahakama ilisema maneno yafuatayo.Mahakama inaposikiliza kesi ya malalamiko ya katiba inaangakia kifungu kinacholalamokiwa na sio kuangalia katika utekelezwaji wa kifungu husika cha Katiba.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kwenye kesi ya Christopher Mtikila V. AG 1995 page 34 ulisema hivi: Ukatiba wa vifungu vya sheria hulalamikiwa katika kifungu husika na sio kwenye utekelezaji wa sheria.

SA Edwin: Kwahiyo naomba mahakama katika shauri hili iangalie vifungu vinavyolalamikiwa kama ni kinyume na katiba na sio kujiwekeza katika utekelezaji wa Mkataba IGA.

Kwa kuwa kuna malalamiko ya ukuu wa nchi( Sovereignty)kama walalamikaji walivyojikita, nitafsiri ya Sovereignty.

SA Edwin: Katika kesi ya SMZ Vs. Machano Hamisi &17 Others. Ukurasa wa 7 aya ya 1 na mwisho Mahakama ilisema:

Ukuu wa nchi(Sovereignty): ni mamlaka yanayoonyesha uhuru wa nchi dhidi ya mamlaka nyingine maana ake uhuru wa mambo ya ndani na nje.

SA Edwin: Internally(Kwa ndani): ni uhuru wa kujiamulumia mambo yake na kujitungia sheria zake na kuzitekeleza hizo sheria na pia kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake pasipo kuamuliwa na wengine.

SA Edwin: Hivyo tunavyosema nchi ni sovereign tunaangalia yafuatayo

1. Uwezo wa nchi kufanya mambo yake pasipo kuwajibika kwa mtu au nchi yoyote.

2. Nguvu ya kutengezea sheria, kuzitekeleza na kutumia.

3. Lazima kuwe na impartial body kwa ajili ya utoaji haki.

SA Edwin: 4. Lazima iwe na mamlaka ya kujiamlia mambo yake yote

5.Nguvu ya kutangaza vita kama ni lazima

6. Nguvu ya kuingia mikataba na nchi zingine.

SA Edwin: Malalamiko yaliyopo kwamba vifungu vya IGA vimepoka Jamhuri ya TZ kuwa na mamlaka yake na hivyo hatupo sovereign.

Malalamiko haya ni very serious, tulishapata uhuru mwaka 1961 hivyo mahakama hii imepewa jukumu zito la kuangalia sovereignty. Sisi hatujapokwa sovereignty.

SA Edwin: Nitaanza na Ibara 5(1] ya IGA. Ambapo wakili alisema exclusive rights inamaanisha kuchukua bandari moja kwa moja na wenye mamlaka na nandari watakuwa Serikali ya DUBAI.

SA Edwin; Neno "exclusive rights" linamaana kutoshiriki na nchi nyingine baada ya kusainiana na DP WORLD ndio maana iliopo pale.

Kwa misingi hiyo Tanzania itakuwa na sovereignty yake dhidi ya serikali ya DUBAI mpaka pale mkataba utapoisha muda.

SA Edwin: Na baada ya mkataba huu kusianiwa DP WORLD Itakuwa governed na sheria za Tanzania.

Ibara ya 6[2 ya mkataba wa IGA inasema, DP WORLD itaomba ushirikiano na Tanzania katika masuala ya usalama na TZ itabaki kwa na mamlaka ya kutumia vyombo vya usalama kuzuia interference.

SA Edwin: Kuhusu Sovereignty yetu kupokwa, ipo pia ibara ya 8(2] ya IGA. Katika ibara hii inaongelea land Rights hivyo turejee ibara ya 1.

Ibara ya 1 ya IGA Inatafsiri (Quote)

Kifu. cha 20 cha sheria ya Ardhi kinasema mtu asiyeraia wa TZ hatakuwa na Haki ya Kumiliki Ardhi.

SA Edwin: Ibara ya 8(1)(2) ya Makataba wa IGA vyote kwa pamoja vinaonyesha kwamba serikali ya Tanzania itahakikisha Haki ya Ardhi kwa investor itakuepo kwamba ile project haiathiriki kwa mujibu wa sheria za nchi.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 18 ya IGA kwamba Tanzania imepokwa sovereignty inahusiana na Taxes, duties & charges.

Kwamba hizo taxes, duties na charges will be provide on accordance to Tanzana tax laws.

SA Edwin: Kama nilivyosema awali tunaangalia uwezo wa nchi katika kukusanya kodi kama nilivyoainisha hapo juu.

Hivyo malalamiko husika hayana mashiko na TRA Ndio chombo chenye mamlaka.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji nitaenda katika ibara 20[2] kuhusu usuluhishi wa migogoro. Tulieleza vyema kwamba IGA ni International agreement inayosimamiwa na VIENA CONVENTION.Inatoa uhuru kwa nchi kuamua mgogoro utatuliwaje na kuna option kwenda ICJ au kwenda ARBITRATION.

SA Edwin: Na makubaliano ya parts kwenye IGA yalichagua hivyo ilivyo.

Hivyo malalamiko husika sio ya kweli.

Lakini inaonyesha kwamba it's sovereign state na inauwezo wa kuingia kwa makubaliano ya kimataifa na inatakiwa kutii sheria ya mkataba ulioingiwa.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kitendo cha Tanzania kutiii matakwa ya Mkataba wa IGA sio kusurrender kama wanavyosema petitioners.

Kifungu kingine ibara ya 23(3] ya Mkataba wa IGA inayohusu muda wa Mkataba na kuvunjwa kwa Mkataba.

SA Edwin: Katika ibara hii serikali ya Tanzania ilikubaliana na hiki kifungu cha mkataba kutokana na hitaji la sheria ya VIENA CONVENTION Ibara ya 54.

Ibara ya 54 ya VIENA CONVENTION inasema: lazima mkataba uheshimiwe na wadau wa mkataba kama ulivyokubaliwa.

SA Edwin: Suala la kuhitaji consert ya kusurrender mkataba sio jambo la kusurrender sovereignty yetu bali ni kuheshimu makaba wetu na sheria za kimataifa.

Hivyo suala husika sio la kweli kwa kuwa ni takwa la sheria za kimataifa na tunapaswa kufuata.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, malalamiko yakiletwa katika ibara ya 26 na 27 Ya Mkataba wa IGA. Zenye lengo la ku-itranform IGA kwa domestic laws.

Ibara ya 27 ni utekelezwaji wa IGA.

Hivyo malengo ya ibara ya 26 na 27 yanaenda pamoja na ibara ya 25 ya Mkataba wa IGA.

SA Edwin: Waheshimiwa ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA inatokana na ibara ya 14 ya VIENA CONVENTION ambayo ndio sheria mama inayosimamia mikataba mama ya kimataifa.

SA Edwin: Kwamba ili nchi iweze kuwa bind ni kwanjia ya ratification na ibara ya 14 ya Viena convention na ina reflect ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji ibara tulizozisoma zinatengeneza goodwill na DP WORLD na si vinginevyo.

SA Edwin: Vile vile TRA imetambuliwa kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi kama ibara ya 8 ya mkataba wa IGA.

Katika suala la usimamizi wa bandari litakuwa chini ya TPA.

Kusimamia ubora na viwango utasimamiwa na TBS.

Ulinzi na usalama utakuwa chini ya vyombo vyetu vya usalama.

SA Edwin: Majeshi pamoja na vyombo vyote vya ulinzi vitakuwa na access. Haki ya kumiliki ardhi ni yetu na wao wapangaji, na sheria zetu zinaendelea kuapply hata masuala ya ajira yatakuwa chini ya sheria zetu.

Suala la usalama wafanyakazi kazi sheria zetu za kazi zita apply pia.

SA Edwin: Na TPA ikiona zinafaaa kwa nchi itaruhusu DP WORLD Kuendelea na uwekezaji na kama itaona haifai haitaruhusu.

Wahe.majaji suala linaloenda kufanyika saizi sio jipya na hata kabla ya DP WORLD Kulikuwa na TICS.

Anasimama wakili wa wananchi senior Mpoki anaweka pingamizi.

Adv. Mpoki: Objections, Masuala ya TICS hayapo kwenye maombi yetu na hayapo kwenye majibu yao. How it come from the Bar?

SA Edwin: waheshimiwa mimi nina clarify tu

Jaji: Wakili wa serikali jikite kwenye majibu yao na maombi ya walalamikaji sio kutoka nje ya hayo mawanda.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 28 ya katiba. Hii ni ibara inayotoa wajibu kwa watanzania dhidi ya uvamizi wa nchi.

Katika hili lazima kuwa na uthibitisho na lazima ionekane kama kuna vita.

SA Edwin: Kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba inasisitiza lazima kuwepo na Vita, na katika mawasilisho ya waleta maombi hatukuonyeshwa kwamba nchi ipo vitani.

Pia hatukuonyeshwa kwamba tumetia Sain kukubali tumeshindwa vita na adui, hatukuonyeshwa na tumeridhia uvamizi ufanyike.

SA Edwin: Haikuonyeshwa kwamba provisions za IGA imezuia wanachi wasipigane vita.

Hivyo waleta maombi wameshindwa kuthibitisha uvunjifu wa ibara ya 28 na hata kwenye affidavit yao hakuna fact zilizoonyeshwa kwamba tupo vitani, tumesaini kushindwa na tume surrender.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuhusu mambo ya VITA ya kiuchumi kama msomi Livino alivyosema hayapo katika katiba hivyo tunaomba aendelee kubaki nayo.

Katiba ibara ya 28 inasema uvamizi wa kijeshi na sio uvamizi wa kiuchumi.

SA Edwin: Tunaomba mahakama ikubaliane kwamba walalamikaji wameshindwa kuthibitisha namna ibara ya 28 ilivyovunjwa.

Namalizia kwa ibara 21 ya IGA kwamba Tanzania haitakiwa na control juu ya intended project hayana mashiko kwa sababu zifuatazo.

SA Edwin: Hivyo malalamiko yote hayajathibitishwa hivyo tunaomba mahakama I dismiss shauri.

Amemaliza wakili huyo wa serikali aitwaye Edwin sasa anamkaribisha wakili kiongozi Mark kwa ajili ya kufunga na kutoa mapendekezo.

SA Mark: Waheshimiwa majaja walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted. Walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted.

SA Mark: Pia itoe tamko kwamba: mkataba wa IGA ni mkataba wa kimataifa na Serikali yetu ilikuwa na haki ya kuingia katika mkataba husika na haufungwi na sheria zetu za ndani. Taratibu zote za ratification zilifuatwa pamoja na uchambuzi wa kamati ya mkataba wa IGA zilikuwa proper.

SA Mark: Na vile vile kwenye mikataba ya aina hii haihitaji consideration.

Kuhusu sheria ya mamunuzi ya Tanzania, mahakama itamke kwamba sheria hii haina nguvu dhidi ya mkataba wa kimataifa (IGA).

SA Mark: Kuhusiana na orders 2 kwamba waombaji wakishinda, mahakama ielekeze serikali kutekeleza hukumu na pili Kwamba baada ya waombaji kushinda kesi, wadau wahusikshwe katika process zote za ratification tunaomba mahakama isitoe tamko husika.

SA Mark: Waheshimiwa majaji, katika mazingira kama haya tunaomba kupatiwa gharama zetu na pia shauri hili lifutiliwe mbali (To dismiss the petition with cost to the government)

Naomba kama serikali kuwasilisha

Anamaliza wakili kiongozi wa serikali Bw. Mark.

Mahakama inaenda break ya saa moja tu itarejea 15 : 30 jioni hii

#Updates kesi ya bandari.

Saa 15:41 Mahakama inarejea karani anataja namba ya kesi. Corum ipo kama ilivyokuwa asubuhi.

Anasimama wakili wa waleta maombi senior Mpoki kwa ajili ya kujibu.

Adv. Mpoki: Tupo tayari kuendelea kwa ajili ya kutoa Rejoinder: Nitaanza Waheshimiwa jaji.

Baada ya majumuisho mh. Mwenzangu aliomba walalamikaji watoe gharama ambayo napinga kwa kiasi kikubwa.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji kitendo cha kutoa gharama ni hiari ya mahakama. Katika kesi za kawaida za madai the Winner takes all. Unashinda kesi na gharama.

Lakini in public case law, discretion ya kama inakuwa guided na vitu vifuatavyo
...
Hii ni public case sio madai ya mtu na mtu. Katika kesi za kikatiba kuna principle kuu 3 ambazo mahakama inabidi iangalie1.

Adv. Mpoki: 1. Bona-fide maana ake nianjema ya kufungua kesi. Wateja wetu wana nia njema kwa sasabu, waheshimiwa majaji. Huu ni mwezi wa pili huwezi ukakaa bila kusikia malalamiko ya DP WORLD.

Adv. Mpoki: Your Lord ship everyone choose their own forum, wengine wanafanya mikutano, wengine wanatumia media platforms, walalamikaji hawa wameamini na wamekuja mahakamani ili kupata haki ya Taifa.

Adv. Mpoki: Principle ya pili: ni public interest: naomba tujiulize kwamba hii kesi inapplicable interest au la. Ni kweli kwamba ina maslahi ya umma haswa katika kutafsiri mkataba uliopo mbele yenu.

Adv. Mpoki: Watu wametumia maneno mauzauza. Ni mauza uza sio tu kwa walalamikaji bali pia kwa watanzania wengi na watanzania wamechanganyikiwa kuwa lipi na lipi.

Adv. Mpoki: Ukifutilia katika magazeti na vyombo vya habari unaona watu wanatofautina wao kuhusu IGA hii ya bandari.
Walalamikaji wamekuja mahakamani kutafuta suluhu.

Adv. Mpoki: Tatu ni Constitutional jurisprudence kwakuwa mahakama inatoa maamuzi yanayoishi kwa muda mrefu.

Kuwalaumu kwa kuwatoza gharama walalamikaji ni kuzuia watu wengine kuja na mashauri ya aina hii.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa kitendo ambacho walalamikaji wamekifanya ni cha kishujaa cha kuungwa mkono na ni sehemu ya access to justice.

Access to justice is a Constitutional rights under Artcle 13(6) of Tanzania Constitution.

Adv. Mpoki: Hivyo kitendo cha walalamikaji kulaumiwa kwa kuleta shauri hili la kikatiba ni ketendo cha kuungwa mkono.

Niwakumbushe maneno yaliyosemwa na Lugakingira J" alisema maneno yafuatayo: aliongelea namna ya kuwa encourage walalamikaji wa aina hii, katika ukurasa wa 43.

Adv. Mpoki: Lugakingira J" alisema tatizo sio wananchi ni sisi Viongozi wananchi hawana tatizo ila sisi Viongozi.

Wahe. majaji ni rai yangu kwamba hizi kanuni tatu nilizozitaja zinanishurutisha kupingana na mwenzangu anayeomba gharama. Hivyo naomba ombi la Mark lisikubaliwe.

Adv. Mpoki: Rafiki yangu Mark alizungumzia kesi ya Ndyanabo" alizungumzia principle moja juu ya kusikiliza kesi za kikatiba. Katika kesi hii ambayo Sammatta J aliamua kwamba, Kama kuna kesi ya kikatiba basi kuna principle inabidi uzifuate na zipo takribani 5.

Adv. Mpoki: Ulizungumzia kwamba;

1.Presumpition of Constitutionality of the statute kwamba sheria yoyote inayotungwa na bunge lazima iendane na Katiba.

2. The Constitution is a living document.

Adv. Mpoki: 3. Yeye anayebisha kwamba kuna violation ya katiba yeye anayebisha anatakiwa athibitishe kuwa kuna violation.

Tunasema kwamba sheria yoyote inayotungwa lazima isikiuke katiba inatakiwa iwe chini ya katiba waheshimiwa majaji.

Adv. Mpoki: Walalamikaji wameonesha katiba imevunjwa walalamikiwa wanapaswa kuonyesha haijavunjwa.

Wahe. majaji kwa issue ya "onus of proof" naomba nitahadharishe kuhusu kanuni ya "stare decisis" hivyo uamuzi wa Mahakama ya rufaa inakuwa na nguvu dhidi ya mahakama za chini.

Adv. Mpoki: Kwa muktadha huo, kesi ya change Tanzania is no longer a good law because, mahakama ya rufaa ilisema proof on Constitution case is no longer on beyond reasonable dought

Lakini ni kuwa na kesi ya msingi (Premafacie case) katika kesi ya AG V. D. sanga,175,2020 page 37.

Adv. Mpoki: Katika kesi hii ilisema Onus of proof is upon those who oppose. Respondent has a duty to establish a premafacie case.

Kazi ya walalamikaji ni kuonyesha premafacie kesi (kesi ya msingi).

Adv. Mpoki: Hivyo kesi zote walizozitumia wenzetu ni kesi za chini na maamuzi ya kesi ya Dickson Sanga ni maamuzi ya mahakama ya ya rufaa ambayo ina nguvu kuliko mahakama ya chini.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, katika kesi ya Christopher Mtikila ni A breach of Constitution can not be by mere inferences. Tunazungumzia Constitutional supremacy.

Adv. Mpoki: Wahe.majaji standard of proof ni ile iliyoadhimiwa katika kesi ya "Dickso Sanga" hivyo proof inayostahili ni Ku establish Premafacie case na sio "beyond reasonable dought"

Niende hatua ya pili ya Duty of the court na mwenzangu alielezea kwenye ile kesi ya Tabora.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku-exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Maombi yetu yameletwa chini ya ibara ya 108 (2) ya Katiba na kifungu cha 2(3) cha Katiba ya Tanzania.

Ibara ya 108[2] inasema kama kitu hakijaelezwa na sheria zingine mahakama kuu ina mamlaka ya kusikiliza shauri.

Adv. Mpoki: Wao walisema mahakama kuu ina limited jurisdiction lakini katika ibara ya 108[2] ya Katiba ya Tanzania.

Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Nimalizie kitu kimoja kwamba, kwa sababu wananchi wamechagua wabunge. Wabunge ni wawakilishi wao. It seems very attractive lakini lakini kifungu cha 108[2] ya kanuni ya Bunge Imewekwa ili wananchi washiriki katika kutoa maoni kwenye mambo yanayowahusu.

Adv. Mpoki: Naomba mahakama hii isichukulie maanani kwamba wabunge wenyewe ndio wanapaswa kushiriki na ndio msingi wa kanunu ya 108[2] ya kanuni ya bunge na haitakiwi kuwa kiini macho.

Adv. Mpoki: Lakini kama kweli unataka watu washiriki kuna kanuni kuu tatu [ adequate, sufficient, reasonable) na hakuna hata kimoja kilichotimizwa.

Wanakubali kwamba notice ilitolewa tar 5 June 2023 na kuwataka watu watoe maoni tar 6 June.

Adv. Mpoki: Wanasema ambaye angefika kutoa maoni angeridishiwa nauli. Lakini tangazo halikutangaza kwamba watao hudhuria watapewa nauli.

Pia wanakubali kwamba waliweka resolution to be adapted lakini hawakuweka mkataba halafu wanaitwa watu kudiacuss mkataba ambao wahusika hawaujui, hawapo serious hawa.

Adv. Mpoki: Kwa misingi hiyo hakukuwa na msingi wa sisi kujibu jambo ambalo tushalibishia awali na wao wamejibu na ndio maana tupo hapa.

Waheshimiwa baada ya kusema hayo naishia hapo na namualika msomi Mwabukusi aendelee.

Majaji wanaandika kimya kinatawala kwa muda.

Jaji anatoa amri kwamba kutokana na muda kwenda sana, Mahakama inaairishwa mpaka asubuhi ya 09: 00 kesho ya 28th July 2023 ambapo wakili Mwabukusi ataendelea kujibu.

Mdude Nyagali kutoka Mahakamani hapa Mbeya.



IMG-20230726-WA0004.jpg
IMG-20230725-WA0007.jpg
 
Majaji wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi.

MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI;

MAWAKILI WA SERIKALI;

1. Adv. Mark Muluambo

2. Edson Mwaiyunge

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin Lwebilo
...
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba
...
MAJAJI

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba.

Walalamikaji wote wamefika wapo ukumbini;

1. Alphonce Lusako

2. Emmanuel Chengula

3. Raphael Ngonde

4. Frank Nyarusi

Wakili Serikali wa serikali anaijulisha mahakama kuwa wako tayari kama hakutakuwa na pingamizi waendelee kujibu hoja zao. Wakili wa walalamikaji anasimama na kuijulisha mahakama kuwa hakuna pingamizi. Jaji anaamuru mawakili wa serikali waendelee kujibu hoja zao. Sasa anasimama wakili wa serikali aitwaye Kalokola kuendelea kujibu hoja.

SA = kifufisho chaState Attorney au wakili wa serikali.

SA Kalokola: waheshimiwa naendelea na hoja namba 6 kama mkataba huu IGA ulizingatia sheria ya Manunuzi (Procurement Act). Hoja hii inatokana na ombi na 4 ya Origjnating summons kwamba IGA haikuzingatia Sheria ya Manunuzi. Na katika aya ya 12, walalamikaji wanasema kuna tender inetolewa kwa DP WORLD Kinyume na sheria za manunuzi

SA Kalokola: Majibu yetu yapo katika aya ya 14 ya kiapo cha Mohamed Salumu kwamba; Hakuna tender iliyotolewa na hakuna majibu yaliyoletwa na wenzetu kupinga hili.Waheshimiwa majaji wenzetu waliandika jina la kampuni DPW na sisi tunajua kuwa kuna kampuni ya DPW Na hawakukanusha. Pia kwa Kuwa Mkataba wa IGA ni mkataba wa Kimataifa unasinamiwa na sheria za kimataifa hivyo sheria ya manunuzi haiwezi kutumika bali sheria za kimataifa.

SA Kalokola: Waheshimiwa Majaji, Mkataba huu ni framework agreement ni mkataba wa ushirikiano wenye mifumo ya uwekezaji kitu ambacho hakiwezi kuhusiana na dhana ya manunuzi kana kwamba kuna nchi inamnunua mwengine. Hivyo wenzetu hawakupaswa kulazimika kuja na hoja ya kimanunuzi. Wakili Mwakilima alisema kuhusu sheria ya manunuzi naomba tuongozwe na kifungu cha 12 cha Tanzania Port Act. Kunachozungumzia Kazi za TPA.

SA Kalokola anaendelea kusema kwamba; Majukumu ya TPA ni kupromote local &FOREIGN investment kwenye bandari. Na kama wenzetu wangeanzia katika dhana ya uwekezaji TPA inamajukumu hayo.

SA Kalokola: kunapokuwa na International obligations na inakinzana na sheria za ndani, Sheria za kimataifa zitasimama dhidi ya sheria za ndani hivyo masharti yaliyopo kwenye IGA yanasimama. Na kwamba Mkataba wa IGA haukuzingatia matakwa ya sheria ya manunuzi is a misconception (Kupotoka).Yaani wametumia dhana fulani kwenye eneo ambalo sio mahala pake. Hivyo hoja ya 4 na 5 na 6 kwemye matumizi ya mikataba nimejibu hivyo na naomba hoja zangu zizingatiwe.

SA Kalokola: Waheshimiwa majaji Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha hoja zote tatu na niombe mahakama irejee kwa shauri la Center for strategic litigation Ltd & another Vs. AG and others. Maamuzi ya majaji watatu katika ukurasa wa 40 na 41 kwamba haitoshi kusema kiapo husika bila maelezo yoyote ya kina.

SA Kalokola: Wao walalamikaji wameshindwa na hawajasema aina ya tenda, tenda namba ipi, yenye thamani ipi, na kwa ajili ya nini? Wao wameshindwa kubainisha hilo.

Anamaliza Kalokola sasa anamkaribisha wakili wa serikali aitwaye Mayunge aendelee kujibu.

Sasa ni zamu ya wakili wa serikali aitwaye Mr. Mayunge na ni wakili wa tatu wa serikali katika kuwasilisha majibu kwenye kesi hii ya bandari.

SA Mayunge: amekaribishwa na anaendelea. Nitaanza kujibu hoja namba 2 ya Senior Mpoki:.

SA Mayunge: Waheshimiwa, Nikirejea ibara ya 21(1] ya Katiba ya Tz, kimsingi inaelezea kuchagua na kuchaguliwa kwa wabunge na kwamba ni wawakilishi wa wananchi.

Pia ibara ya 63(2] ya Katiba ya Tz, maudhui yake ni kwamba Bunge linasimama kwa niaba ya wananchi kuisimamia serikali

SA Mayunge: Nirejee pia ibara ya 63(3]e ya Katiba Tanzania inayotamka kwamba; utekelezaji wa madaraka ya Bunge: ni kujadili na kuridhia mikataba.

Nirejee 89(1],(2] ya Katiba ya Tanzania, inayosema bunge litatunga kanuni za kudumu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zake.

SA Mayunge: Ibara ndogo ya [2) Bunge kutunga kanuni ndogo za utekelezaji lakini pia ibara ya 96inayoeleza: BUNGE Laweza kuunda kamati mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa, kutokana na ibara ya 89(1] Bunge la JMT limetunga kanuni za kudumu kama ilivyoelekezwa mfano kanuni ya 108 ambayo nitasoma kanuni ndogo ya 2.(Quote as its )

SA Mayunge: Waheshimiwa katika kiapo cha Maria ambacho pia ni kiapo cha Bwana Salum, serikali iliwasisha Mkataba wa IGA bungeni kwa ajili ya ratification.

Katika aya ya tatu anaeleza jinsi serikali ilivyopeleka mkataba Bungeni kupitia barua iliyoambatanishwa.

SA Mayunge: Pamoja na yote yaliyoandikwa naomba nisome aya ya kwanza: Baada ya kukamilika shughuli za serikali, Kutokana na umuhimu wake tunaomba kuwasilisha shuguli 7 ili Bunge lifanyie kazi kwa mambo yafuatayo.

SA Mayunge: 1. Kuazimia azimio la serikali kuingia Mkataba wa IGA na DP WORLD From Dubai. Baada ya hapo kanuni ya 108[2] ikaanza kutekelezwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na bunge.

SA Mayunge: Na bunge ilialika wadau ili watoe maoni yao kupitia Notice iliyoambatanishwa kwenye kiapo cha Maria, kiambata OSGF2 Kwenye aya ya 5.

Wahe. majaji naomba nisome kiapo husika ili muone kama it was reasonable

Majaji : wanamruhusu

Wakili: Serikali SA Mayunge anasoma barua husika.

SA Mayunge: Kwa ujumla notice inahusu Mkutano wa Kupokea Maoni dhidi ya mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji, hili tangazo waliliona waleta maombi na niwao wameeleza katka kiapo chao, aya ya 11 walivyopata tangazo hilo.

SA Mayunge: Na katika kiapo chao hawajasema muda ulikuwa mfupi sio kwamba uliwazuia kutoa maoni na hawajasema chochote.

Na hatujua walalamikaji wanalalamika kwa niaba ya nani na hwapo hapa kwa niaba ya nani.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji wenyemaoni walikuepo japo hawakuwa wao na ndio maana waheshimiwa majaji katika aya ya 7 ya kiapo cha Maria kimesema watu 72 walitoa maoni.

SA Mayunge: Wale waliokuwa wanataka na wakatoa maoni, sasa haya maombi haya ni just speculations, na hata hawakushiriki kutoa maoni lakini wanalalamika.

Na hakuna hata malalamiko ya barua ya kuomba kuongezewa muda wa kukusanya maoni.

Jaji: kwahiyo unasema muda ulikuwa reasonable?

SA Mayunge: it was duly saved, adequate and reasonable na waheshimiwa sasa ni wakati wa utandawazi mtu anaweza kutoa maoni yake popote kuputa barua pepe.

SA Mayunga: Waheshimiwa waliotoa maoni walitoka Mwanza, Arusha, na sehemu mbalimbali za nchi wote hao walitoa maoni yao.

Katika kanuni ya 108(2] ya Kanuni ya Bunge haikutoa kabisa suala la muda na kunasababu zake nitafafanua.

SA Mayunge: Waheshimiwa kwanin tuna tunasema muda ulitosha: ni Bunge lililohitaji maoni kutoka kwa watu.

BUSARA YA BUNGE; Bunge kwa busara zao waliona muda waliotoa unatosha kwa watu kutoa maoni yao dhidi ya Mkataba wa IGA.

SA Mayunge: WAHESHIMIWA suala la reasonable linategemea mazingira, umuhimu, uharaka na mengine mengi ngoja nitaje kidogo.

Suala la Reasonableness kwa masuala ya Bunge, mahakama kadhaa kutoka sehemu mbalimbali duniani zimejadili suala hili na tusiwe tofauti na mahakama zingine.

SA Mayunge: Naomba turejee Uamuzi wa Africa kusini Doctor for life .V. Speaker of National Assembly &Others katika ukurasa wa 70, paragraph 2.

Mahakama ilisema: reasonableness is.....(anasoma) kimsingi reasonableness inategemeana na mambo kadhaa.

SA Mayunge: Kwamba mahakama haiwezi kuipangia bunge. Kwamba Bunge ndio lilihitaji maoni na ndio linalojua kiwango cha ushirikishwaji wa wananchi na vile vile mahakama haitegemei kulibishia Bunge kuhusu reasonableness.

SA Mayunge; Ukurasa wa 19 unatoa shukrani za Bunge kwa watu wote walioshiriki katika kutoa maoni yao juu ya mkataba wa IGA.

Haya ni malalamiko ya kikatiba na walalamikaji wanatoa facts tu na sio vifungu vilivyokiukwa katika Katiba.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji; Walalamikaji hawakuchukua hatua yoyote kuhusu hili.

Waheshimiwa majaji, ni bunge pekee linaloweza kujua umuhimu wa jambo haswa katika ushirikishwaji wa wananchi na namna wangetaka kushirikisha wanachi.

SA Mayunge: Ni takwa la Bunge kuamua namna ya kuwashirikisha wananchi na Mahakama kuu haina mamlaka ya kuingilia masuala ya ndani ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji, senior Mpoki alisema kuhusu wananchi kutoa maoni katika kitu wasicho kijua kama Senior Mpoki alivyosema. Ni ukweli kwamba Notice ilitamka kwamba azimio linapatikana wapi.

SA Mayunge: Kwa sababu hiyo suala la reasonableness liwe hivyo, na bunge lina mamlaka hayo na tunaomba mahakama ichukulie kwamba huo muda ulikuwa unatosha kwa Bunge kupata inachokitaka.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, Maamuzi ya Diana Rose Vs AG na alisemea viapo vya watu 72 havipo na walitakiwa kuleta viapo:

Haya maamuzi yanategemea na maada inayobishaniwa. Na hoja yao ni suala la muda sio suala la idadi ya watu walioshiriki kutoa maoni. Tujikite kwenye muda.

SA Mayunge: Na Wakili Mpoki allisema kama muda ungekuwa mwingi anadhani watoa maoni wangekuwa wengi zaidi. Yeye anadhani tu pia kwamba wangetoa maoni machache.

Reasonableness ya muda inapaswa kuachiwa kwa bunge lenyewe katka kuratibu mambo yake ya ndani.

SA Mayunge: Uamuzi huo, kwa bahati nzuri kwetu uamuzi huo unathibitisha na kuungana na sisi kwamba;

Matakwa ya kushikisha umma kwa ajili ya maoni yanapaswa kuzingatia masharti yaliyowekwa hivyo kilichofanywa na BUNGE kilikuwa sawa waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Kwenye kiapo cha Maria, kwenye verification alisema haya anayoyasema, ni kwa ufahamu wake mwenyewe lakini pia 14.07.2023 tulifile kiapo cha Maria Mpale, kiapo hicho hakikupingwa na kimeeleza uwepo wa watu hao, maoni yalivyotolewa na kikaambatisha maelezo ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa hivyo masuala ya kutaka miezi sijui 6 kwa ajili ya maoni hiyo ni busara ya Bunge na si vinginevyo.

Jaji: Nani kasema miezi 6

Wadau: wanacheka

Adv. Mpoki: Hizo ni imagination zake Waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kuhusu lalamiko dhidi ya kiapo cha Maria kwamba haikuonyesha media na platforms zilizohusika. Hili sio swala ambalo lipo mbele yetu.

Walalamikaji wao waliona na hawapaswi kujua wengine walionaje na walalamikaje wamethibitisha kwa kiapo chake.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji hayo ndio tuliyoyaandaa kuhusu namna Bunge lilivyoshughulikia suala hili la Mkataba wa IGA. Wakili Mpoki jana alitia kesi ya Suprime Court of Mauritius, ambapo Mpoki alijikita katika mawasilisho ya mawakili na maamuzi ya kesi yapo ukurasa wa mwisho.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kwenye annexure OSGAF5 ya Maria Mpale, kuanzia ukurasa wa 6 (Taarifa ya Bunge). Katika taaifa hiyo(anasoma;..)Sehemu hii inaeleza na kukiri namna maoni yaliyopokelewa na Bunge kutoka kwa wadau yalivyosaidia na walalamikaji hawakupinga suala husika

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, waliambiwa watoe maoni lakini hawakuambiwa watoe maoni aina gani na walalamikaji walimute halafu wanakuja kulalamika.

Pia Bunge kwa busara yake iliona muda unatosha kwani Wabunge ni wawakilishi wao na maoni ya Wananchi yalifika kupitia wawakilishi.

SA Mayunge: Naomba nirejee annexure OSGOF5 Katika ukurasa wa7(Maelezo ya Bunge); kwamba aina ya ubia, kiasi cha ubia kitakuja baadae na sio mkataba huu wa IGA.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji IGA kwa hivi ilivyo haivunji kabisa sheria ya Rasilimali Na.6 ya mwaka 2017 kwani IGA sio mkataba wa utekelezaji.

Waheshimiwa majaji vifungu vyote vilivyosemwa na wakili Mwabukusi tunaungana navyo lakini havihusiani na Ratification process

SA Mayunge: Katika uwasilishwaji wa Mwabukusi alirejea mahakama katika Preamble J" ya mkataba wa IGA then ibara ya 2(1) inayoongelea maeneo ya ushirikiano na sisi tunaona is fine kuwa na mawanda hayo

SA Mayunge: Aliongelea Article 4(2] ya IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper. Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani? Anamaliza kwa kuuliza hivyo wakili wa serikali Mayunge

Sasa anakaribishwa wakili wa serikali aitwaye Edwin kuendelea kujibu majibu yao kuhusu kesi ya bandari. Huyu ni wakili wa nne wa serikali. Mtangulizi wake Mr. Mayunge katumia more than 2.30 hrs

SA Edwin; nitajikita katika issue no. 3 iliyowasilishwa na msomi Livino. Naungana nae yote aliyoyasema kwa ku-cite kitabu cha Rule of Law Vs Rulers of law lakini hakusupply copy.

SA Edwin: Walalamikaji wanasema IGA imevunja ibara ya 1,8,na 28 na msomi livino alisema kuna express violation and implementation violation.

Tunaomba mahakama iangalie kifungu kinacholalamikiwa na wala sio kujielekeza katika utekelezwaji wa sheria husika.

SA Edwin: Katika shauri la AG vs Dickson Paul Sanga,Civil appeal 175/2020 page 67_68 Mahakama ilisema maneno yafuatayo.Mahakama inaposikiliza kesi ya malalamiko ya katiba inaangakia kifungu kinacholalamokiwa na sio kuangalia katika utekelezwaji wa kifungu husika cha Katiba.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kwenye kesi ya Christopher Mtikila V. AG 1995 page 34 ulisema hivi: Ukatiba wa vifungu vya sheria hulalamikiwa katika kifungu husika na sio kwenye utekelezaji wa sheria.

SA Edwin: Kwahiyo naomba mahakama katika shauri hili iangalie vifungu vinavyolalamikiwa kama ni kinyume na katiba na sio kujiwekeza katika utekelezaji wa Mkataba IGA.

Kwa kuwa kuna malalamiko ya ukuu wa nchi( Sovereignty)kama walalamikaji walivyojikita, nitafsiri ya Sovereignty.

SA Edwin: Katika kesi ya SMZ Vs. Machano Hamisi &17 Others. Ukurasa wa 7 aya ya 1 na mwisho Mahakama ilisema:

Ukuu wa nchi(Sovereignty): ni mamlaka yanayoonyesha uhuru wa nchi dhidi ya mamlaka nyingine maana ake uhuru wa mambo ya ndani na nje.

SA Edwin: Internally(Kwa ndani): ni uhuru wa kujiamulumia mambo yake na kujitungia sheria zake na kuzitekeleza hizo sheria na pia kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake pasipo kuamuliwa na wengine.

SA Edwin: Hivyo tunavyosema nchi ni sovereign tunaangalia yafuatayo

1. Uwezo wa nchi kufanya mambo yake pasipo kuwajibika kwa mtu au nchi yoyote.

2. Nguvu ya kutengezea sheria, kuzitekeleza na kutumia.

3. Lazima kuwe na impartial body kwa ajili ya utoaji haki.

SA Edwin: 4. Lazima iwe na mamlaka ya kujiamlia mambo yake yote

5.Nguvu ya kutangaza vita kama ni lazima

6. Nguvu ya kuingia mikataba na nchi zingine.

SA Edwin: Malalamiko yaliyopo kwamba vifungu vya IGA vimepoka Jamhuri ya TZ kuwa na mamlaka yake na hivyo hatupo sovereign.

Malalamiko haya ni very serious, tulishapata uhuru mwaka 1961 hivyo mahakama hii imepewa jukumu zito la kuangalia sovereignty. Sisi hatujapokwa sovereignty.

SA Edwin: Nitaanza na Ibara 5(1] ya IGA. Ambapo wakili alisema exclusive rights inamaanisha kuchukua bandari moja kwa moja na wenye mamlaka na nandari watakuwa Serikali ya DUBAI.

SA Edwin; Neno "exclusive rights" linamaana kutoshiriki na nchi nyingine baada ya kusainiana na DP WORLD ndio maana iliopo pale.

Kwa misingi hiyo Tanzania itakuwa na sovereignty yake dhidi ya serikali ya DUBAI mpaka pale mkataba utapoisha muda.

SA Edwin: Na baada ya mkataba huu kusianiwa DP WORLD Itakuwa governed na sheria za Tanzania.

Ibara ya 6[2 ya mkataba wa IGA inasema, DP WORLD itaomba ushirikiano na Tanzania katika masuala ya usalama na TZ itabaki kwa na mamlaka ya kutumia vyombo vya usalama kuzuia interference.

SA Edwin: Kuhusu Sovereignty yetu kupokwa, ipo pia ibara ya 8(2] ya IGA. Katika ibara hii inaongelea land Rights hivyo turejee ibara ya 1.

Ibara ya 1 ya IGA Inatafsiri (Quote)

Kifu. cha 20 cha sheria ya Ardhi kinasema mtu asiyeraia wa TZ hatakuwa na Haki ya Kumiliki Ardhi.

SA Edwin: Ibara ya 8(1)(2) ya Makataba wa IGA vyote kwa pamoja vinaonyesha kwamba serikali ya Tanzania itahakikisha Haki ya Ardhi kwa investor itakuepo kwamba ile project haiathiriki kwa mujibu wa sheria za nchi.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 18 ya IGA kwamba Tanzania imepokwa sovereignty inahusiana na Taxes, duties & charges.

Kwamba hizo taxes, duties na charges will be provide on accordance to Tanzana tax laws.

SA Edwin: Kama nilivyosema awali tunaangalia uwezo wa nchi katika kukusanya kodi kama nilivyoainisha hapo juu.

Hivyo malalamiko husika hayana mashiko na TRA Ndio chombo chenye mamlaka.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji nitaenda katika ibara 20[2] kuhusu usuluhishi wa migogoro. Tulieleza vyema kwamba IGA ni International agreement inayosimamiwa na VIENA CONVENTION.Inatoa uhuru kwa nchi kuamua mgogoro utatuliwaje na kuna option kwenda ICJ au kwenda ARBITRATION.

SA Edwin: Na makubaliano ya parts kwenye IGA yalichagua hivyo ilivyo.

Hivyo malalamiko husika sio ya kweli.

Lakini inaonyesha kwamba it's sovereign state na inauwezo wa kuingia kwa makubaliano ya kimataifa na inatakiwa kutii sheria ya mkataba ulioingiwa.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kitendo cha Tanzania kutiii matakwa ya Mkataba wa IGA sio kusurrender kama wanavyosema petitioners.

Kifungu kingine ibara ya 23(3] ya Mkataba wa IGA inayohusu muda wa Mkataba na kuvunjwa kwa Mkataba.

SA Edwin: Katika ibara hii serikali ya Tanzania ilikubaliana na hiki kifungu cha mkataba kutokana na hitaji la sheria ya VIENA CONVENTION Ibara ya 54.

Ibara ya 54 ya VIENA CONVENTION inasema: lazima mkataba uheshimiwe na wadau wa mkataba kama ulivyokubaliwa.

SA Edwin: Suala la kuhitaji consert ya kusurrender mkataba sio jambo la kusurrender sovereignty yetu bali ni kuheshimu makaba wetu na sheria za kimataifa.

Hivyo suala husika sio la kweli kwa kuwa ni takwa la sheria za kimataifa na tunapaswa kufuata.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, malalamiko yakiletwa katika ibara ya 26 na 27 Ya Mkataba wa IGA. Zenye lengo la ku-itranform IGA kwa domestic laws.

Ibara ya 27 ni utekelezwaji wa IGA.

Hivyo malengo ya ibara ya 26 na 27 yanaenda pamoja na ibara ya 25 ya Mkataba wa IGA.

SA Edwin: Waheshimiwa ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA inatokana na ibara ya 14 ya VIENA CONVENTION ambayo ndio sheria mama inayosimamia mikataba mama ya kimataifa.

SA Edwin: Kwamba ili nchi iweze kuwa bind ni kwanjia ya ratification na ibara ya 14 ya Viena convention na ina reflect ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji ibara tulizozisoma zinatengeneza goodwill na DP WORLD na si vinginevyo.

SA Edwin: Vile vile TRA imetambuliwa kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi kama ibara ya 8 ya mkataba wa IGA.

Katika suala la usimamizi wa bandari litakuwa chini ya TPA.

Kusimamia ubora na viwango utasimamiwa na TBS.

Ulinzi na usalama utakuwa chini ya vyombo vyetu vya usalama.

SA Edwin: Majeshi pamoja na vyombo vyote vya ulinzi vitakuwa na access. Haki ya kumiliki ardhi ni yetu na wao wapangaji, na sheria zetu zinaendelea kuapply hata masuala ya ajira yatakuwa chini ya sheria zetu.

Suala la usalama wafanyakazi kazi sheria zetu za kazi zita apply pia.

SA Edwin: Na TPA ikiona zinafaaa kwa nchi itaruhusu DP WORLD Kuendelea na uwekezaji na kama itaona haifai haitaruhusu.

Wahe.majaji suala linaloenda kufanyika saizi sio jipya na hata kabla ya DP WORLD Kulikuwa na TICS.

Anasimama wakili wa wananchi senior Mpoki anaweka pingamizi.

Adv. Mpoki: Objections, Masuala ya TICS hayapo kwenye maombi yetu na hayapo kwenye majibu yao. How it come from the Bar?

SA Edwin: waheshimiwa mimi nina clarify tu

Jaji: Wakili wa serikali jikite kwenye majibu yao na maombi ya walalamikaji sio kutoka nje ya hayo mawanda.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 28 ya katiba. Hii ni ibara inayotoa wajibu kwa watanzania dhidi ya uvamizi wa nchi.

Katika hili lazima kuwa na uthibitisho na lazima ionekane kama kuna vita.

SA Edwin: Kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba inasisitiza lazima kuwepo na Vita, na katika mawasilisho ya waleta maombi hatukuonyeshwa kwamba nchi ipo vitani.

Pia hatukuonyeshwa kwamba tumetia Sain kukubali tumeshindwa vita na adui, hatukuonyeshwa na tumeridhia uvamizi ufanyike.

SA Edwin: Haikuonyeshwa kwamba provisions za IGA imezuia wanachi wasipigane vita.

Hivyo waleta maombi wameshindwa kuthibitisha uvunjifu wa ibara ya 28 na hata kwenye affidavit yao hakuna fact zilizoonyeshwa kwamba tupo vitani, tumesaini kushindwa na tume surrender.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuhusu mambo ya VITA ya kiuchumi kama msomi Livino alivyosema hayapo katika katiba hivyo tunaomba aendelee kubaki nayo.

Katiba ibara ya 28 inasema uvamizi wa kijeshi na sio uvamizi wa kiuchumi.

SA Edwin: Tunaomba mahakama ikubaliane kwamba walalamikaji wameshindwa kuthibitisha namna ibara ya 28 ilivyovunjwa.

Namalizia kwa ibara 21 ya IGA kwamba Tanzania haitakiwa na control juu ya intended project hayana mashiko kwa sababu zifuatazo.

SA Edwin: Hivyo malalamiko yote hayajathibitishwa hivyo tunaomba mahakama I dismiss shauri.

Amemaliza wakili huyo wa serikali aitwaye Edwin sasa anamkaribisha wakili kiongozi Mark kwa ajili ya kufunga na kutoa mapendekezo.

SA Mark: Waheshimiwa majaja walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted. Walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted.

SA Mark: Pia itoe tamko kwamba: mkataba wa IGA ni mkataba wa kimataifa na Serikali yetu ilikuwa na haki ya kuingia katika mkataba husika na haufungwi na sheria zetu za ndani. Taratibu zote za ratification zilifuatwa pamoja na uchambuzi wa kamati ya mkataba wa IGA zilikuwa proper.

SA Mark: Na vile vile kwenye mikataba ya aina hii haihitaji consideration.

Kuhusu sheria ya mamunuzi ya Tanzania, mahakama itamke kwamba sheria hii haina nguvu dhidi ya mkataba wa kimataifa (IGA).

SA Mark: Kuhusiana na orders 2 kwamba waombaji wakishinda, mahakama ielekeze serikali kutekeleza hukumu na pili Kwamba baada ya waombaji kushinda kesi, wadau wahusikshwe katika process zote za ratification tunaomba mahakama isitoe tamko husika.

SA Mark: Waheshimiwa majaji, katika mazingira kama haya tunaomba kupatiwa gharama zetu na pia shauri hili lifutiliwe mbali (To dismiss the petition with cost to the government)

Naomba kama serikali kuwasilisha

Anamaliza wakili kiongozi wa serikali Bw. Mark.

Mahakama inaenda break ya saa moja tu itarejea 15 : 30 jioni hii

#Updates kesi ya bandari.

Saa 15:41 Mahakama inarejea karani anataja namba ya kesi. Corum ipo kama ilivyokuwa asubuhi.

Anasimama wakili wa waleta maombi senior Mpoki kwa ajili ya kujibu.

Adv. Mpoki: Tupo tayari kuendelea kwa ajili ya kutoa Rejoinder: Nitaanza Waheshimiwa jaji.

Baada ya majumuisho mh. Mwenzangu aliomba walalamikaji watoe gharama ambayo napinga kwa kiasi kikubwa.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji kitendo cha kutoa gharama ni hiari ya mahakama. Katika kesi za kawaida za madai the Winner takes all. Unashinda kesi na gharama.

Lakini in public case law, discretion ya kama inakuwa guided na vitu vifuatavyo
...
Hii ni public case sio madai ya mtu na mtu. Katika kesi za kikatiba kuna principle kuu 3 ambazo mahakama inabidi iangalie1.

Adv. Mpoki: 1. Bona-fide maana ake nianjema ya kufungua kesi. Wateja wetu wana nia njema kwa sasabu, waheshimiwa majaji. Huu ni mwezi wa pili huwezi ukakaa bila kusikia malalamiko ya DP WORLD.

Adv. Mpoki: Your Lord ship everyone choose their own forum, wengine wanafanya mikutano, wengine wanatumia media platforms, walalamikaji hawa wameamini na wamekuja mahakamani ili kupata haki ya Taifa.

Adv. Mpoki: Principle ya pili: ni public interest: naomba tujiulize kwamba hii kesi inapplicable interest au la. Ni kweli kwamba ina maslahi ya umma haswa katika kutafsiri mkataba uliopo mbele yenu.

Adv. Mpoki: Watu wametumia maneno mauzauza. Ni mauza uza sio tu kwa walalamikaji bali pia kwa watanzania wengi na watanzania wamechanganyikiwa kuwa lipi na lipi.

Adv. Mpoki: Ukifutilia katika magazeti na vyombo vya habari unaona watu wanatofautina wao kuhusu IGA hii ya bandari.
Walalamikaji wamekuja mahakamani kutafuta suluhu.

Adv. Mpoki: Tatu ni Constitutional jurisprudence kwakuwa mahakama inatoa maamuzi yanayoishi kwa muda mrefu.

Kuwalaumu kwa kuwatoza gharama walalamikaji ni kuzuia watu wengine kuja na mashauri ya aina hii.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa kitendo ambacho walalamikaji wamekifanya ni cha kishujaa cha kuungwa mkono na ni sehemu ya access to justice.

Access to justice is a Constitutional rights under Artcle 13(6) of Tanzania Constitution.

Adv. Mpoki: Hivyo kitendo cha walalamikaji kulaumiwa kwa kuleta shauri hili la kikatiba ni ketendo cha kuungwa mkono.

Niwakumbushe maneno yaliyosemwa na Lugakingira J" alisema maneno yafuatayo: aliongelea namna ya kuwa encourage walalamikaji wa aina hii, katika ukurasa wa 43.

Adv. Mpoki: Lugakingira J" alisema tatizo sio wananchi ni sisi Viongozi wananchi hawana tatizo ila sisi Viongozi.

Wahe. majaji ni rai yangu kwamba hizi kanuni tatu nilizozitaja zinanishurutisha kupingana na mwenzangu anayeomba gharama. Hivyo naomba ombi la Mark lisikubaliwe.

Adv. Mpoki: Rafiki yangu Mark alizungumzia kesi ya Ndyanabo" alizungumzia principle moja juu ya kusikiliza kesi za kikatiba. Katika kesi hii ambayo Sammatta J aliamua kwamba, Kama kuna kesi ya kikatiba basi kuna principle inabidi uzifuate na zipo takribani 5.

Adv. Mpoki: Ulizungumzia kwamba;

1.Presumpition of Constitutionality of the statute kwamba sheria yoyote inayotungwa na bunge lazima iendane na Katiba.

2. The Constitution is a living document.

Adv. Mpoki: 3. Yeye anayebisha kwamba kuna violation ya katiba yeye anayebisha anatakiwa athibitishe kuwa kuna violation.

Tunasema kwamba sheria yoyote inayotungwa lazima isikiuke katiba inatakiwa iwe chini ya katiba waheshimiwa majaji.

Adv. Mpoki: Walalamikaji wameonesha katiba imevunjwa walalamikiwa wanapaswa kuonyesha haijavunjwa.

Wahe. majaji kwa issue ya "onus of proof" naomba nitahadharishe kuhusu kanuni ya "stare decisis" hivyo uamuzi wa Mahakama ya rufaa inakuwa na nguvu dhidi ya mahakama za chini.

Adv. Mpoki: Kwa muktadha huo, kesi ya change Tanzania is no longer a good law because, mahakama ya rufaa ilisema proof on Constitution case is no longer on beyond reasonable dought

Lakini ni kuwa na kesi ya msingi (Premafacie case) katika kesi ya AG V. D. sanga,175,2020 page 37.

Adv. Mpoki: Katika kesi hii ilisema Onus of proof is upon those who oppose. Respondent has a duty to establish a premafacie case.

Kazi ya walalamikaji ni kuonyesha premafacie kesi (kesi ya msingi).

Adv. Mpoki: Hivyo kesi zote walizozitumia wenzetu ni kesi za chini na maamuzi ya kesi ya Dickson Sanga ni maamuzi ya mahakama ya ya rufaa ambayo ina nguvu kuliko mahakama ya chini.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, katika kesi ya Christopher Mtikila ni A breach of Constitution can not be by mere inferences. Tunazungumzia Constitutional supremacy.

Adv. Mpoki: Wahe.majaji standard of proof ni ile iliyoadhimiwa katika kesi ya "Dickso Sanga" hivyo proof inayostahili ni Ku establish Premafacie case na sio "beyond reasonable dought"

Niende hatua ya pili ya Duty of the court na mwenzangu alielezea kwenye ile kesi ya Tabora.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku-exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Maombi yetu yameletwa chini ya ibara ya 108 (2) ya Katiba na kifungu cha 2(3) cha Katiba ya Tanzania.

Ibara ya 108[2] inasema kama kitu hakijaelezwa na sheria zingine mahakama kuu ina mamlaka ya kusikiliza shauri.

Adv. Mpoki: Wao walisema mahakama kuu ina limited jurisdiction lakini katika ibara ya 108[2] ya Katiba ya Tanzania.

Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Nimalizie kitu kimoja kwamba, kwa sababu wananchi wamechagua wabunge. Wabunge ni wawakilishi wao. It seems very attractive lakini lakini kifungu cha 108[2] ya kanuni ya Bunge Imewekwa ili wananchi washiriki katika kutoa maoni kwenye mambo yanayowahusu.

Adv. Mpoki: Naomba mahakama hii isichukulie maanani kwamba wabunge wenyewe ndio wanapaswa kushiriki na ndio msingi wa kanunu ya 108[2] ya kanuni ya bunge na haitakiwi kuwa kiini macho.

Adv. Mpoki: Lakini kama kweli unataka watu washiriki kuna kanuni kuu tatu [ adequate, sufficient, reasonable) na hakuna hata kimoja kilichotimizwa.

Wanakubali kwamba notice ilitolewa tar 5 June 2023 na kuwataka watu watoe maoni tar 6 June.

Adv. Mpoki: Wanasema ambaye angefika kutoa maoni angeridishiwa nauli. Lakini tangazo halikutangaza kwamba watao hudhuria watapewa nauli.

Pia wanakubali kwamba waliweka resolution to be adapted lakini hawakuweka mkataba halafu wanaitwa watu kudiacuss mkataba ambao wahusika hawaujui, hawapo serious hawa.

Adv. Mpoki: Kwa misingi hiyo hakukuwa na msingi wa sisi kujibu jambo ambalo tushalibishia awali na wao wamejibu na ndio maana tupo hapa.

Waheshimiwa baada ya kusema hayo naishia hapo na namualika msomi Mwabukusi aendelee.

Majaji wanaandika kimya kinatawala kwa muda.

Jaji anatoa amri kwamba kutokana na muda kwenda sana, Mahakama inaairishwa mpaka asubuhi ya 09: 00 kesho ya 28th July 2023 ambapo wakili Mwabukusi ataendelea kujibu.

Mdude Nyagali kutoka Mahakamani hapa Mbeya.



View attachment 2700829View attachment 2700830
Mdude safi sana.
Kumbe ukitulia unatoa vitu murua sana.
 
Majaji wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi.

MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru


View attachment 2700829View attachment 2700830
Naomba nikuulize swali moja ambalo litasaidia wengi hapa.

Wakati mahakama inaendelea haya mazungumzo unaya nasa kwa kutumia kinasa sauti then baadae unakaa chini kuandika au unaandika wakati wazungumzaji wanaendelea?

Je unawezaje kweda na speedi ya wazungumzaji sambamba?

I am just curious.

Thanks in advance.
 
Kama Mtanzania nina hasira na naona aibu kwa majibu ya mawakili wa Serikali. Yaani nina mixed emotions. Aloo!

Kama Mwananchi na Mlalamikaji, nitangulize Shukurani zangu za Dhati kwa Mawakili wetu makini na Wazalendo. Natoa maua yangu mapema tu. May God be with you. Allah akbar!
 
Majaji wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi.

MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI;

MAWAKILI WA SERIKALI;

1. Adv. Mark Muluambo

2. Edson Mwaiyunge

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin Lwebilo
...
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba
...
MAJAJI

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba.

Walalamikaji wote wamefika wapo ukumbini;

1. Alphonce Lusako

2. Emmanuel Chengula

3. Raphael Ngonde

4. Frank Nyarusi

Wakili Serikali wa serikali anaijulisha mahakama kuwa wako tayari kama hakutakuwa na pingamizi waendelee kujibu hoja zao. Wakili wa walalamikaji anasimama na kuijulisha mahakama kuwa hakuna pingamizi. Jaji anaamuru mawakili wa serikali waendelee kujibu hoja zao. Sasa anasimama wakili wa serikali aitwaye Kalokola kuendelea kujibu hoja.

SA = kifufisho chaState Attorney au wakili wa serikali.

SA Kalokola: waheshimiwa naendelea na hoja namba 6 kama mkataba huu IGA ulizingatia sheria ya Manunuzi (Procurement Act). Hoja hii inatokana na ombi na 4 ya Origjnating summons kwamba IGA haikuzingatia Sheria ya Manunuzi. Na katika aya ya 12, walalamikaji wanasema kuna tender inetolewa kwa DP WORLD Kinyume na sheria za manunuzi

SA Kalokola: Majibu yetu yapo katika aya ya 14 ya kiapo cha Mohamed Salumu kwamba; Hakuna tender iliyotolewa na hakuna majibu yaliyoletwa na wenzetu kupinga hili.Waheshimiwa majaji wenzetu waliandika jina la kampuni DPW na sisi tunajua kuwa kuna kampuni ya DPW Na hawakukanusha. Pia kwa Kuwa Mkataba wa IGA ni mkataba wa Kimataifa unasinamiwa na sheria za kimataifa hivyo sheria ya manunuzi haiwezi kutumika bali sheria za kimataifa.

SA Kalokola: Waheshimiwa Majaji, Mkataba huu ni framework agreement ni mkataba wa ushirikiano wenye mifumo ya uwekezaji kitu ambacho hakiwezi kuhusiana na dhana ya manunuzi kana kwamba kuna nchi inamnunua mwengine. Hivyo wenzetu hawakupaswa kulazimika kuja na hoja ya kimanunuzi. Wakili Mwakilima alisema kuhusu sheria ya manunuzi naomba tuongozwe na kifungu cha 12 cha Tanzania Port Act. Kunachozungumzia Kazi za TPA.

SA Kalokola anaendelea kusema kwamba; Majukumu ya TPA ni kupromote local &FOREIGN investment kwenye bandari. Na kama wenzetu wangeanzia katika dhana ya uwekezaji TPA inamajukumu hayo.

SA Kalokola: kunapokuwa na International obligations na inakinzana na sheria za ndani, Sheria za kimataifa zitasimama dhidi ya sheria za ndani hivyo masharti yaliyopo kwenye IGA yanasimama. Na kwamba Mkataba wa IGA haukuzingatia matakwa ya sheria ya manunuzi is a misconception (Kupotoka).Yaani wametumia dhana fulani kwenye eneo ambalo sio mahala pake. Hivyo hoja ya 4 na 5 na 6 kwemye matumizi ya mikataba nimejibu hivyo na naomba hoja zangu zizingatiwe.

SA Kalokola: Waheshimiwa majaji Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha hoja zote tatu na niombe mahakama irejee kwa shauri la Center for strategic litigation Ltd & another Vs. AG and others. Maamuzi ya majaji watatu katika ukurasa wa 40 na 41 kwamba haitoshi kusema kiapo husika bila maelezo yoyote ya kina.

SA Kalokola: Wao walalamikaji wameshindwa na hawajasema aina ya tenda, tenda namba ipi, yenye thamani ipi, na kwa ajili ya nini? Wao wameshindwa kubainisha hilo.

Anamaliza Kalokola sasa anamkaribisha wakili wa serikali aitwaye Mayunge aendelee kujibu.

Sasa ni zamu ya wakili wa serikali aitwaye Mr. Mayunge na ni wakili wa tatu wa serikali katika kuwasilisha majibu kwenye kesi hii ya bandari.

SA Mayunge: amekaribishwa na anaendelea. Nitaanza kujibu hoja namba 2 ya Senior Mpoki:.

SA Mayunge: Waheshimiwa, Nikirejea ibara ya 21(1] ya Katiba ya Tz, kimsingi inaelezea kuchagua na kuchaguliwa kwa wabunge na kwamba ni wawakilishi wa wananchi.

Pia ibara ya 63(2] ya Katiba ya Tz, maudhui yake ni kwamba Bunge linasimama kwa niaba ya wananchi kuisimamia serikali

SA Mayunge: Nirejee pia ibara ya 63(3]e ya Katiba Tanzania inayotamka kwamba; utekelezaji wa madaraka ya Bunge: ni kujadili na kuridhia mikataba.

Nirejee 89(1],(2] ya Katiba ya Tanzania, inayosema bunge litatunga kanuni za kudumu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zake.

SA Mayunge: Ibara ndogo ya [2) Bunge kutunga kanuni ndogo za utekelezaji lakini pia ibara ya 96inayoeleza: BUNGE Laweza kuunda kamati mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa, kutokana na ibara ya 89(1] Bunge la JMT limetunga kanuni za kudumu kama ilivyoelekezwa mfano kanuni ya 108 ambayo nitasoma kanuni ndogo ya 2.(Quote as its )

SA Mayunge: Waheshimiwa katika kiapo cha Maria ambacho pia ni kiapo cha Bwana Salum, serikali iliwasisha Mkataba wa IGA bungeni kwa ajili ya ratification.

Katika aya ya tatu anaeleza jinsi serikali ilivyopeleka mkataba Bungeni kupitia barua iliyoambatanishwa.

SA Mayunge: Pamoja na yote yaliyoandikwa naomba nisome aya ya kwanza: Baada ya kukamilika shughuli za serikali, Kutokana na umuhimu wake tunaomba kuwasilisha shuguli 7 ili Bunge lifanyie kazi kwa mambo yafuatayo.

SA Mayunge: 1. Kuazimia azimio la serikali kuingia Mkataba wa IGA na DP WORLD From Dubai. Baada ya hapo kanuni ya 108[2] ikaanza kutekelezwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na bunge.

SA Mayunge: Na bunge ilialika wadau ili watoe maoni yao kupitia Notice iliyoambatanishwa kwenye kiapo cha Maria, kiambata OSGF2 Kwenye aya ya 5.

Wahe. majaji naomba nisome kiapo husika ili muone kama it was reasonable

Majaji : wanamruhusu

Wakili: Serikali SA Mayunge anasoma barua husika.

SA Mayunge: Kwa ujumla notice inahusu Mkutano wa Kupokea Maoni dhidi ya mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji, hili tangazo waliliona waleta maombi na niwao wameeleza katka kiapo chao, aya ya 11 walivyopata tangazo hilo.

SA Mayunge: Na katika kiapo chao hawajasema muda ulikuwa mfupi sio kwamba uliwazuia kutoa maoni na hawajasema chochote.

Na hatujua walalamikaji wanalalamika kwa niaba ya nani na hwapo hapa kwa niaba ya nani.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji wenyemaoni walikuepo japo hawakuwa wao na ndio maana waheshimiwa majaji katika aya ya 7 ya kiapo cha Maria kimesema watu 72 walitoa maoni.

SA Mayunge: Wale waliokuwa wanataka na wakatoa maoni, sasa haya maombi haya ni just speculations, na hata hawakushiriki kutoa maoni lakini wanalalamika.

Na hakuna hata malalamiko ya barua ya kuomba kuongezewa muda wa kukusanya maoni.

Jaji: kwahiyo unasema muda ulikuwa reasonable?

SA Mayunge: it was duly saved, adequate and reasonable na waheshimiwa sasa ni wakati wa utandawazi mtu anaweza kutoa maoni yake popote kuputa barua pepe.

SA Mayunga: Waheshimiwa waliotoa maoni walitoka Mwanza, Arusha, na sehemu mbalimbali za nchi wote hao walitoa maoni yao.

Katika kanuni ya 108(2] ya Kanuni ya Bunge haikutoa kabisa suala la muda na kunasababu zake nitafafanua.

SA Mayunge: Waheshimiwa kwanin tuna tunasema muda ulitosha: ni Bunge lililohitaji maoni kutoka kwa watu.

BUSARA YA BUNGE; Bunge kwa busara zao waliona muda waliotoa unatosha kwa watu kutoa maoni yao dhidi ya Mkataba wa IGA.

SA Mayunge: WAHESHIMIWA suala la reasonable linategemea mazingira, umuhimu, uharaka na mengine mengi ngoja nitaje kidogo.

Suala la Reasonableness kwa masuala ya Bunge, mahakama kadhaa kutoka sehemu mbalimbali duniani zimejadili suala hili na tusiwe tofauti na mahakama zingine.

SA Mayunge: Naomba turejee Uamuzi wa Africa kusini Doctor for life .V. Speaker of National Assembly &Others katika ukurasa wa 70, paragraph 2.

Mahakama ilisema: reasonableness is.....(anasoma) kimsingi reasonableness inategemeana na mambo kadhaa.

SA Mayunge: Kwamba mahakama haiwezi kuipangia bunge. Kwamba Bunge ndio lilihitaji maoni na ndio linalojua kiwango cha ushirikishwaji wa wananchi na vile vile mahakama haitegemei kulibishia Bunge kuhusu reasonableness.

SA Mayunge; Ukurasa wa 19 unatoa shukrani za Bunge kwa watu wote walioshiriki katika kutoa maoni yao juu ya mkataba wa IGA.

Haya ni malalamiko ya kikatiba na walalamikaji wanatoa facts tu na sio vifungu vilivyokiukwa katika Katiba.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji; Walalamikaji hawakuchukua hatua yoyote kuhusu hili.

Waheshimiwa majaji, ni bunge pekee linaloweza kujua umuhimu wa jambo haswa katika ushirikishwaji wa wananchi na namna wangetaka kushirikisha wanachi.

SA Mayunge: Ni takwa la Bunge kuamua namna ya kuwashirikisha wananchi na Mahakama kuu haina mamlaka ya kuingilia masuala ya ndani ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji, senior Mpoki alisema kuhusu wananchi kutoa maoni katika kitu wasicho kijua kama Senior Mpoki alivyosema. Ni ukweli kwamba Notice ilitamka kwamba azimio linapatikana wapi.

SA Mayunge: Kwa sababu hiyo suala la reasonableness liwe hivyo, na bunge lina mamlaka hayo na tunaomba mahakama ichukulie kwamba huo muda ulikuwa unatosha kwa Bunge kupata inachokitaka.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, Maamuzi ya Diana Rose Vs AG na alisemea viapo vya watu 72 havipo na walitakiwa kuleta viapo:

Haya maamuzi yanategemea na maada inayobishaniwa. Na hoja yao ni suala la muda sio suala la idadi ya watu walioshiriki kutoa maoni. Tujikite kwenye muda.

SA Mayunge: Na Wakili Mpoki allisema kama muda ungekuwa mwingi anadhani watoa maoni wangekuwa wengi zaidi. Yeye anadhani tu pia kwamba wangetoa maoni machache.

Reasonableness ya muda inapaswa kuachiwa kwa bunge lenyewe katka kuratibu mambo yake ya ndani.

SA Mayunge: Uamuzi huo, kwa bahati nzuri kwetu uamuzi huo unathibitisha na kuungana na sisi kwamba;

Matakwa ya kushikisha umma kwa ajili ya maoni yanapaswa kuzingatia masharti yaliyowekwa hivyo kilichofanywa na BUNGE kilikuwa sawa waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Kwenye kiapo cha Maria, kwenye verification alisema haya anayoyasema, ni kwa ufahamu wake mwenyewe lakini pia 14.07.2023 tulifile kiapo cha Maria Mpale, kiapo hicho hakikupingwa na kimeeleza uwepo wa watu hao, maoni yalivyotolewa na kikaambatisha maelezo ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa hivyo masuala ya kutaka miezi sijui 6 kwa ajili ya maoni hiyo ni busara ya Bunge na si vinginevyo.

Jaji: Nani kasema miezi 6

Wadau: wanacheka

Adv. Mpoki: Hizo ni imagination zake Waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kuhusu lalamiko dhidi ya kiapo cha Maria kwamba haikuonyesha media na platforms zilizohusika. Hili sio swala ambalo lipo mbele yetu.

Walalamikaji wao waliona na hawapaswi kujua wengine walionaje na walalamikaje wamethibitisha kwa kiapo chake.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji hayo ndio tuliyoyaandaa kuhusu namna Bunge lilivyoshughulikia suala hili la Mkataba wa IGA. Wakili Mpoki jana alitia kesi ya Suprime Court of Mauritius, ambapo Mpoki alijikita katika mawasilisho ya mawakili na maamuzi ya kesi yapo ukurasa wa mwisho.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kwenye annexure OSGAF5 ya Maria Mpale, kuanzia ukurasa wa 6 (Taarifa ya Bunge). Katika taaifa hiyo(anasoma;..)Sehemu hii inaeleza na kukiri namna maoni yaliyopokelewa na Bunge kutoka kwa wadau yalivyosaidia na walalamikaji hawakupinga suala husika

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, waliambiwa watoe maoni lakini hawakuambiwa watoe maoni aina gani na walalamikaji walimute halafu wanakuja kulalamika.

Pia Bunge kwa busara yake iliona muda unatosha kwani Wabunge ni wawakilishi wao na maoni ya Wananchi yalifika kupitia wawakilishi.

SA Mayunge: Naomba nirejee annexure OSGOF5 Katika ukurasa wa7(Maelezo ya Bunge); kwamba aina ya ubia, kiasi cha ubia kitakuja baadae na sio mkataba huu wa IGA.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji IGA kwa hivi ilivyo haivunji kabisa sheria ya Rasilimali Na.6 ya mwaka 2017 kwani IGA sio mkataba wa utekelezaji.

Waheshimiwa majaji vifungu vyote vilivyosemwa na wakili Mwabukusi tunaungana navyo lakini havihusiani na Ratification process

SA Mayunge: Katika uwasilishwaji wa Mwabukusi alirejea mahakama katika Preamble J" ya mkataba wa IGA then ibara ya 2(1) inayoongelea maeneo ya ushirikiano na sisi tunaona is fine kuwa na mawanda hayo

SA Mayunge: Aliongelea Article 4(2] ya IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper. Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani? Anamaliza kwa kuuliza hivyo wakili wa serikali Mayunge

Sasa anakaribishwa wakili wa serikali aitwaye Edwin kuendelea kujibu majibu yao kuhusu kesi ya bandari. Huyu ni wakili wa nne wa serikali. Mtangulizi wake Mr. Mayunge katumia more than 2.30 hrs

SA Edwin; nitajikita katika issue no. 3 iliyowasilishwa na msomi Livino. Naungana nae yote aliyoyasema kwa ku-cite kitabu cha Rule of Law Vs Rulers of law lakini hakusupply copy.

SA Edwin: Walalamikaji wanasema IGA imevunja ibara ya 1,8,na 28 na msomi livino alisema kuna express violation and implementation violation.

Tunaomba mahakama iangalie kifungu kinacholalamikiwa na wala sio kujielekeza katika utekelezwaji wa sheria husika.

SA Edwin: Katika shauri la AG vs Dickson Paul Sanga,Civil appeal 175/2020 page 67_68 Mahakama ilisema maneno yafuatayo.Mahakama inaposikiliza kesi ya malalamiko ya katiba inaangakia kifungu kinacholalamokiwa na sio kuangalia katika utekelezwaji wa kifungu husika cha Katiba.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kwenye kesi ya Christopher Mtikila V. AG 1995 page 34 ulisema hivi: Ukatiba wa vifungu vya sheria hulalamikiwa katika kifungu husika na sio kwenye utekelezaji wa sheria.

SA Edwin: Kwahiyo naomba mahakama katika shauri hili iangalie vifungu vinavyolalamikiwa kama ni kinyume na katiba na sio kujiwekeza katika utekelezaji wa Mkataba IGA.

Kwa kuwa kuna malalamiko ya ukuu wa nchi( Sovereignty)kama walalamikaji walivyojikita, nitafsiri ya Sovereignty.

SA Edwin: Katika kesi ya SMZ Vs. Machano Hamisi &17 Others. Ukurasa wa 7 aya ya 1 na mwisho Mahakama ilisema:

Ukuu wa nchi(Sovereignty): ni mamlaka yanayoonyesha uhuru wa nchi dhidi ya mamlaka nyingine maana ake uhuru wa mambo ya ndani na nje.

SA Edwin: Internally(Kwa ndani): ni uhuru wa kujiamulumia mambo yake na kujitungia sheria zake na kuzitekeleza hizo sheria na pia kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake pasipo kuamuliwa na wengine.

SA Edwin: Hivyo tunavyosema nchi ni sovereign tunaangalia yafuatayo

1. Uwezo wa nchi kufanya mambo yake pasipo kuwajibika kwa mtu au nchi yoyote.

2. Nguvu ya kutengezea sheria, kuzitekeleza na kutumia.

3. Lazima kuwe na impartial body kwa ajili ya utoaji haki.

SA Edwin: 4. Lazima iwe na mamlaka ya kujiamlia mambo yake yote

5.Nguvu ya kutangaza vita kama ni lazima

6. Nguvu ya kuingia mikataba na nchi zingine.

SA Edwin: Malalamiko yaliyopo kwamba vifungu vya IGA vimepoka Jamhuri ya TZ kuwa na mamlaka yake na hivyo hatupo sovereign.

Malalamiko haya ni very serious, tulishapata uhuru mwaka 1961 hivyo mahakama hii imepewa jukumu zito la kuangalia sovereignty. Sisi hatujapokwa sovereignty.

SA Edwin: Nitaanza na Ibara 5(1] ya IGA. Ambapo wakili alisema exclusive rights inamaanisha kuchukua bandari moja kwa moja na wenye mamlaka na nandari watakuwa Serikali ya DUBAI.

SA Edwin; Neno "exclusive rights" linamaana kutoshiriki na nchi nyingine baada ya kusainiana na DP WORLD ndio maana iliopo pale.

Kwa misingi hiyo Tanzania itakuwa na sovereignty yake dhidi ya serikali ya DUBAI mpaka pale mkataba utapoisha muda.

SA Edwin: Na baada ya mkataba huu kusianiwa DP WORLD Itakuwa governed na sheria za Tanzania.

Ibara ya 6[2 ya mkataba wa IGA inasema, DP WORLD itaomba ushirikiano na Tanzania katika masuala ya usalama na TZ itabaki kwa na mamlaka ya kutumia vyombo vya usalama kuzuia interference.

SA Edwin: Kuhusu Sovereignty yetu kupokwa, ipo pia ibara ya 8(2] ya IGA. Katika ibara hii inaongelea land Rights hivyo turejee ibara ya 1.

Ibara ya 1 ya IGA Inatafsiri (Quote)

Kifu. cha 20 cha sheria ya Ardhi kinasema mtu asiyeraia wa TZ hatakuwa na Haki ya Kumiliki Ardhi.

SA Edwin: Ibara ya 8(1)(2) ya Makataba wa IGA vyote kwa pamoja vinaonyesha kwamba serikali ya Tanzania itahakikisha Haki ya Ardhi kwa investor itakuepo kwamba ile project haiathiriki kwa mujibu wa sheria za nchi.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 18 ya IGA kwamba Tanzania imepokwa sovereignty inahusiana na Taxes, duties & charges.

Kwamba hizo taxes, duties na charges will be provide on accordance to Tanzana tax laws.

SA Edwin: Kama nilivyosema awali tunaangalia uwezo wa nchi katika kukusanya kodi kama nilivyoainisha hapo juu.

Hivyo malalamiko husika hayana mashiko na TRA Ndio chombo chenye mamlaka.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji nitaenda katika ibara 20[2] kuhusu usuluhishi wa migogoro. Tulieleza vyema kwamba IGA ni International agreement inayosimamiwa na VIENA CONVENTION.Inatoa uhuru kwa nchi kuamua mgogoro utatuliwaje na kuna option kwenda ICJ au kwenda ARBITRATION.

SA Edwin: Na makubaliano ya parts kwenye IGA yalichagua hivyo ilivyo.

Hivyo malalamiko husika sio ya kweli.

Lakini inaonyesha kwamba it's sovereign state na inauwezo wa kuingia kwa makubaliano ya kimataifa na inatakiwa kutii sheria ya mkataba ulioingiwa.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kitendo cha Tanzania kutiii matakwa ya Mkataba wa IGA sio kusurrender kama wanavyosema petitioners.

Kifungu kingine ibara ya 23(3] ya Mkataba wa IGA inayohusu muda wa Mkataba na kuvunjwa kwa Mkataba.

SA Edwin: Katika ibara hii serikali ya Tanzania ilikubaliana na hiki kifungu cha mkataba kutokana na hitaji la sheria ya VIENA CONVENTION Ibara ya 54.

Ibara ya 54 ya VIENA CONVENTION inasema: lazima mkataba uheshimiwe na wadau wa mkataba kama ulivyokubaliwa.

SA Edwin: Suala la kuhitaji consert ya kusurrender mkataba sio jambo la kusurrender sovereignty yetu bali ni kuheshimu makaba wetu na sheria za kimataifa.

Hivyo suala husika sio la kweli kwa kuwa ni takwa la sheria za kimataifa na tunapaswa kufuata.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, malalamiko yakiletwa katika ibara ya 26 na 27 Ya Mkataba wa IGA. Zenye lengo la ku-itranform IGA kwa domestic laws.

Ibara ya 27 ni utekelezwaji wa IGA.

Hivyo malengo ya ibara ya 26 na 27 yanaenda pamoja na ibara ya 25 ya Mkataba wa IGA.

SA Edwin: Waheshimiwa ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA inatokana na ibara ya 14 ya VIENA CONVENTION ambayo ndio sheria mama inayosimamia mikataba mama ya kimataifa.

SA Edwin: Kwamba ili nchi iweze kuwa bind ni kwanjia ya ratification na ibara ya 14 ya Viena convention na ina reflect ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji ibara tulizozisoma zinatengeneza goodwill na DP WORLD na si vinginevyo.

SA Edwin: Vile vile TRA imetambuliwa kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi kama ibara ya 8 ya mkataba wa IGA.

Katika suala la usimamizi wa bandari litakuwa chini ya TPA.

Kusimamia ubora na viwango utasimamiwa na TBS.

Ulinzi na usalama utakuwa chini ya vyombo vyetu vya usalama.

SA Edwin: Majeshi pamoja na vyombo vyote vya ulinzi vitakuwa na access. Haki ya kumiliki ardhi ni yetu na wao wapangaji, na sheria zetu zinaendelea kuapply hata masuala ya ajira yatakuwa chini ya sheria zetu.

Suala la usalama wafanyakazi kazi sheria zetu za kazi zita apply pia.

SA Edwin: Na TPA ikiona zinafaaa kwa nchi itaruhusu DP WORLD Kuendelea na uwekezaji na kama itaona haifai haitaruhusu.

Wahe.majaji suala linaloenda kufanyika saizi sio jipya na hata kabla ya DP WORLD Kulikuwa na TICS.

Anasimama wakili wa wananchi senior Mpoki anaweka pingamizi.

Adv. Mpoki: Objections, Masuala ya TICS hayapo kwenye maombi yetu na hayapo kwenye majibu yao. How it come from the Bar?

SA Edwin: waheshimiwa mimi nina clarify tu

Jaji: Wakili wa serikali jikite kwenye majibu yao na maombi ya walalamikaji sio kutoka nje ya hayo mawanda.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 28 ya katiba. Hii ni ibara inayotoa wajibu kwa watanzania dhidi ya uvamizi wa nchi.

Katika hili lazima kuwa na uthibitisho na lazima ionekane kama kuna vita.

SA Edwin: Kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba inasisitiza lazima kuwepo na Vita, na katika mawasilisho ya waleta maombi hatukuonyeshwa kwamba nchi ipo vitani.

Pia hatukuonyeshwa kwamba tumetia Sain kukubali tumeshindwa vita na adui, hatukuonyeshwa na tumeridhia uvamizi ufanyike.

SA Edwin: Haikuonyeshwa kwamba provisions za IGA imezuia wanachi wasipigane vita.

Hivyo waleta maombi wameshindwa kuthibitisha uvunjifu wa ibara ya 28 na hata kwenye affidavit yao hakuna fact zilizoonyeshwa kwamba tupo vitani, tumesaini kushindwa na tume surrender.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuhusu mambo ya VITA ya kiuchumi kama msomi Livino alivyosema hayapo katika katiba hivyo tunaomba aendelee kubaki nayo.

Katiba ibara ya 28 inasema uvamizi wa kijeshi na sio uvamizi wa kiuchumi.

SA Edwin: Tunaomba mahakama ikubaliane kwamba walalamikaji wameshindwa kuthibitisha namna ibara ya 28 ilivyovunjwa.

Namalizia kwa ibara 21 ya IGA kwamba Tanzania haitakiwa na control juu ya intended project hayana mashiko kwa sababu zifuatazo.

SA Edwin: Hivyo malalamiko yote hayajathibitishwa hivyo tunaomba mahakama I dismiss shauri.

Amemaliza wakili huyo wa serikali aitwaye Edwin sasa anamkaribisha wakili kiongozi Mark kwa ajili ya kufunga na kutoa mapendekezo.

SA Mark: Waheshimiwa majaja walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted. Walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted.

SA Mark: Pia itoe tamko kwamba: mkataba wa IGA ni mkataba wa kimataifa na Serikali yetu ilikuwa na haki ya kuingia katika mkataba husika na haufungwi na sheria zetu za ndani. Taratibu zote za ratification zilifuatwa pamoja na uchambuzi wa kamati ya mkataba wa IGA zilikuwa proper.

SA Mark: Na vile vile kwenye mikataba ya aina hii haihitaji consideration.

Kuhusu sheria ya mamunuzi ya Tanzania, mahakama itamke kwamba sheria hii haina nguvu dhidi ya mkataba wa kimataifa (IGA).

SA Mark: Kuhusiana na orders 2 kwamba waombaji wakishinda, mahakama ielekeze serikali kutekeleza hukumu na pili Kwamba baada ya waombaji kushinda kesi, wadau wahusikshwe katika process zote za ratification tunaomba mahakama isitoe tamko husika.

SA Mark: Waheshimiwa majaji, katika mazingira kama haya tunaomba kupatiwa gharama zetu na pia shauri hili lifutiliwe mbali (To dismiss the petition with cost to the government)

Naomba kama serikali kuwasilisha

Anamaliza wakili kiongozi wa serikali Bw. Mark.

Mahakama inaenda break ya saa moja tu itarejea 15 : 30 jioni hii

#Updates kesi ya bandari.

Saa 15:41 Mahakama inarejea karani anataja namba ya kesi. Corum ipo kama ilivyokuwa asubuhi.

Anasimama wakili wa waleta maombi senior Mpoki kwa ajili ya kujibu.

Adv. Mpoki: Tupo tayari kuendelea kwa ajili ya kutoa Rejoinder: Nitaanza Waheshimiwa jaji.

Baada ya majumuisho mh. Mwenzangu aliomba walalamikaji watoe gharama ambayo napinga kwa kiasi kikubwa.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji kitendo cha kutoa gharama ni hiari ya mahakama. Katika kesi za kawaida za madai the Winner takes all. Unashinda kesi na gharama.

Lakini in public case law, discretion ya kama inakuwa guided na vitu vifuatavyo
...
Hii ni public case sio madai ya mtu na mtu. Katika kesi za kikatiba kuna principle kuu 3 ambazo mahakama inabidi iangalie1.

Adv. Mpoki: 1. Bona-fide maana ake nianjema ya kufungua kesi. Wateja wetu wana nia njema kwa sasabu, waheshimiwa majaji. Huu ni mwezi wa pili huwezi ukakaa bila kusikia malalamiko ya DP WORLD.

Adv. Mpoki: Your Lord ship everyone choose their own forum, wengine wanafanya mikutano, wengine wanatumia media platforms, walalamikaji hawa wameamini na wamekuja mahakamani ili kupata haki ya Taifa.

Adv. Mpoki: Principle ya pili: ni public interest: naomba tujiulize kwamba hii kesi inapplicable interest au la. Ni kweli kwamba ina maslahi ya umma haswa katika kutafsiri mkataba uliopo mbele yenu.

Adv. Mpoki: Watu wametumia maneno mauzauza. Ni mauza uza sio tu kwa walalamikaji bali pia kwa watanzania wengi na watanzania wamechanganyikiwa kuwa lipi na lipi.

Adv. Mpoki: Ukifutilia katika magazeti na vyombo vya habari unaona watu wanatofautina wao kuhusu IGA hii ya bandari.
Walalamikaji wamekuja mahakamani kutafuta suluhu.

Adv. Mpoki: Tatu ni Constitutional jurisprudence kwakuwa mahakama inatoa maamuzi yanayoishi kwa muda mrefu.

Kuwalaumu kwa kuwatoza gharama walalamikaji ni kuzuia watu wengine kuja na mashauri ya aina hii.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa kitendo ambacho walalamikaji wamekifanya ni cha kishujaa cha kuungwa mkono na ni sehemu ya access to justice.

Access to justice is a Constitutional rights under Artcle 13(6) of Tanzania Constitution.

Adv. Mpoki: Hivyo kitendo cha walalamikaji kulaumiwa kwa kuleta shauri hili la kikatiba ni ketendo cha kuungwa mkono.

Niwakumbushe maneno yaliyosemwa na Lugakingira J" alisema maneno yafuatayo: aliongelea namna ya kuwa encourage walalamikaji wa aina hii, katika ukurasa wa 43.

Adv. Mpoki: Lugakingira J" alisema tatizo sio wananchi ni sisi Viongozi wananchi hawana tatizo ila sisi Viongozi.

Wahe. majaji ni rai yangu kwamba hizi kanuni tatu nilizozitaja zinanishurutisha kupingana na mwenzangu anayeomba gharama. Hivyo naomba ombi la Mark lisikubaliwe.

Adv. Mpoki: Rafiki yangu Mark alizungumzia kesi ya Ndyanabo" alizungumzia principle moja juu ya kusikiliza kesi za kikatiba. Katika kesi hii ambayo Sammatta J aliamua kwamba, Kama kuna kesi ya kikatiba basi kuna principle inabidi uzifuate na zipo takribani 5.

Adv. Mpoki: Ulizungumzia kwamba;

1.Presumpition of Constitutionality of the statute kwamba sheria yoyote inayotungwa na bunge lazima iendane na Katiba.

2. The Constitution is a living document.

Adv. Mpoki: 3. Yeye anayebisha kwamba kuna violation ya katiba yeye anayebisha anatakiwa athibitishe kuwa kuna violation.

Tunasema kwamba sheria yoyote inayotungwa lazima isikiuke katiba inatakiwa iwe chini ya katiba waheshimiwa majaji.

Adv. Mpoki: Walalamikaji wameonesha katiba imevunjwa walalamikiwa wanapaswa kuonyesha haijavunjwa.

Wahe. majaji kwa issue ya "onus of proof" naomba nitahadharishe kuhusu kanuni ya "stare decisis" hivyo uamuzi wa Mahakama ya rufaa inakuwa na nguvu dhidi ya mahakama za chini.

Adv. Mpoki: Kwa muktadha huo, kesi ya change Tanzania is no longer a good law because, mahakama ya rufaa ilisema proof on Constitution case is no longer on beyond reasonable dought

Lakini ni kuwa na kesi ya msingi (Premafacie case) katika kesi ya AG V. D. sanga,175,2020 page 37.

Adv. Mpoki: Katika kesi hii ilisema Onus of proof is upon those who oppose. Respondent has a duty to establish a premafacie case.

Kazi ya walalamikaji ni kuonyesha premafacie kesi (kesi ya msingi).

Adv. Mpoki: Hivyo kesi zote walizozitumia wenzetu ni kesi za chini na maamuzi ya kesi ya Dickson Sanga ni maamuzi ya mahakama ya ya rufaa ambayo ina nguvu kuliko mahakama ya chini.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, katika kesi ya Christopher Mtikila ni A breach of Constitution can not be by mere inferences. Tunazungumzia Constitutional supremacy.

Adv. Mpoki: Wahe.majaji standard of proof ni ile iliyoadhimiwa katika kesi ya "Dickso Sanga" hivyo proof inayostahili ni Ku establish Premafacie case na sio "beyond reasonable dought"

Niende hatua ya pili ya Duty of the court na mwenzangu alielezea kwenye ile kesi ya Tabora.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku-exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Maombi yetu yameletwa chini ya ibara ya 108 (2) ya Katiba na kifungu cha 2(3) cha Katiba ya Tanzania.

Ibara ya 108[2] inasema kama kitu hakijaelezwa na sheria zingine mahakama kuu ina mamlaka ya kusikiliza shauri.

Adv. Mpoki: Wao walisema mahakama kuu ina limited jurisdiction lakini katika ibara ya 108[2] ya Katiba ya Tanzania.

Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Nimalizie kitu kimoja kwamba, kwa sababu wananchi wamechagua wabunge. Wabunge ni wawakilishi wao. It seems very attractive lakini lakini kifungu cha 108[2] ya kanuni ya Bunge Imewekwa ili wananchi washiriki katika kutoa maoni kwenye mambo yanayowahusu.

Adv. Mpoki: Naomba mahakama hii isichukulie maanani kwamba wabunge wenyewe ndio wanapaswa kushiriki na ndio msingi wa kanunu ya 108[2] ya kanuni ya bunge na haitakiwi kuwa kiini macho.

Adv. Mpoki: Lakini kama kweli unataka watu washiriki kuna kanuni kuu tatu [ adequate, sufficient, reasonable) na hakuna hata kimoja kilichotimizwa.

Wanakubali kwamba notice ilitolewa tar 5 June 2023 na kuwataka watu watoe maoni tar 6 June.

Adv. Mpoki: Wanasema ambaye angefika kutoa maoni angeridishiwa nauli. Lakini tangazo halikutangaza kwamba watao hudhuria watapewa nauli.

Pia wanakubali kwamba waliweka resolution to be adapted lakini hawakuweka mkataba halafu wanaitwa watu kudiacuss mkataba ambao wahusika hawaujui, hawapo serious hawa.

Adv. Mpoki: Kwa misingi hiyo hakukuwa na msingi wa sisi kujibu jambo ambalo tushalibishia awali na wao wamejibu na ndio maana tupo hapa.

Waheshimiwa baada ya kusema hayo naishia hapo na namualika msomi Mwabukusi aendelee.

Majaji wanaandika kimya kinatawala kwa muda.

Jaji anatoa amri kwamba kutokana na muda kwenda sana, Mahakama inaairishwa mpaka asubuhi ya 09: 00 kesho ya 28th July 2023 ambapo wakili Mwabukusi ataendelea kujibu.

Mdude Nyagali kutoka Mahakamani hapa Mbeya.



View attachment 2700829View attachment 2700830
Jaji anatoa amri kwamba kutokana na muda kwenda sana, Mahakama inaairishwa mpaka asubuhi ya 09: 00 kesho ya 28th July 2023 ambapo wakili Mwabukusi ataendelea kujibu.

Mdude Nyagali kutoka Mahakamani hapa Mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaji wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi.

MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI;

MAWAKILI WA SERIKALI;

1. Adv. Mark Muluambo

2. Edson Mwaiyunge

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin Lwebilo
...
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba
...
MAJAJI

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba.

Walalamikaji wote wamefika wapo ukumbini;

1. Alphonce Lusako

2. Emmanuel Chengula

3. Raphael Ngonde

4. Frank Nyarusi

Wakili Serikali wa serikali anaijulisha mahakama kuwa wako tayari kama hakutakuwa na pingamizi waendelee kujibu hoja zao. Wakili wa walalamikaji anasimama na kuijulisha mahakama kuwa hakuna pingamizi. Jaji anaamuru mawakili wa serikali waendelee kujibu hoja zao. Sasa anasimama wakili wa serikali aitwaye Kalokola kuendelea kujibu hoja.

SA = kifufisho chaState Attorney au wakili wa serikali.

SA Kalokola: waheshimiwa naendelea na hoja namba 6 kama mkataba huu IGA ulizingatia sheria ya Manunuzi (Procurement Act). Hoja hii inatokana na ombi na 4 ya Origjnating summons kwamba IGA haikuzingatia Sheria ya Manunuzi. Na katika aya ya 12, walalamikaji wanasema kuna tender inetolewa kwa DP WORLD Kinyume na sheria za manunuzi

SA Kalokola: Majibu yetu yapo katika aya ya 14 ya kiapo cha Mohamed Salumu kwamba; Hakuna tender iliyotolewa na hakuna majibu yaliyoletwa na wenzetu kupinga hili.Waheshimiwa majaji wenzetu waliandika jina la kampuni DPW na sisi tunajua kuwa kuna kampuni ya DPW Na hawakukanusha. Pia kwa Kuwa Mkataba wa IGA ni mkataba wa Kimataifa unasinamiwa na sheria za kimataifa hivyo sheria ya manunuzi haiwezi kutumika bali sheria za kimataifa.

SA Kalokola: Waheshimiwa Majaji, Mkataba huu ni framework agreement ni mkataba wa ushirikiano wenye mifumo ya uwekezaji kitu ambacho hakiwezi kuhusiana na dhana ya manunuzi kana kwamba kuna nchi inamnunua mwengine. Hivyo wenzetu hawakupaswa kulazimika kuja na hoja ya kimanunuzi. Wakili Mwakilima alisema kuhusu sheria ya manunuzi naomba tuongozwe na kifungu cha 12 cha Tanzania Port Act. Kunachozungumzia Kazi za TPA.

SA Kalokola anaendelea kusema kwamba; Majukumu ya TPA ni kupromote local &FOREIGN investment kwenye bandari. Na kama wenzetu wangeanzia katika dhana ya uwekezaji TPA inamajukumu hayo.

SA Kalokola: kunapokuwa na International obligations na inakinzana na sheria za ndani, Sheria za kimataifa zitasimama dhidi ya sheria za ndani hivyo masharti yaliyopo kwenye IGA yanasimama. Na kwamba Mkataba wa IGA haukuzingatia matakwa ya sheria ya manunuzi is a misconception (Kupotoka).Yaani wametumia dhana fulani kwenye eneo ambalo sio mahala pake. Hivyo hoja ya 4 na 5 na 6 kwemye matumizi ya mikataba nimejibu hivyo na naomba hoja zangu zizingatiwe.

SA Kalokola: Waheshimiwa majaji Walalamikaji wameshindwa kuthibitisha hoja zote tatu na niombe mahakama irejee kwa shauri la Center for strategic litigation Ltd & another Vs. AG and others. Maamuzi ya majaji watatu katika ukurasa wa 40 na 41 kwamba haitoshi kusema kiapo husika bila maelezo yoyote ya kina.

SA Kalokola: Wao walalamikaji wameshindwa na hawajasema aina ya tenda, tenda namba ipi, yenye thamani ipi, na kwa ajili ya nini? Wao wameshindwa kubainisha hilo.

Anamaliza Kalokola sasa anamkaribisha wakili wa serikali aitwaye Mayunge aendelee kujibu.

Sasa ni zamu ya wakili wa serikali aitwaye Mr. Mayunge na ni wakili wa tatu wa serikali katika kuwasilisha majibu kwenye kesi hii ya bandari.

SA Mayunge: amekaribishwa na anaendelea. Nitaanza kujibu hoja namba 2 ya Senior Mpoki:.

SA Mayunge: Waheshimiwa, Nikirejea ibara ya 21(1] ya Katiba ya Tz, kimsingi inaelezea kuchagua na kuchaguliwa kwa wabunge na kwamba ni wawakilishi wa wananchi.

Pia ibara ya 63(2] ya Katiba ya Tz, maudhui yake ni kwamba Bunge linasimama kwa niaba ya wananchi kuisimamia serikali

SA Mayunge: Nirejee pia ibara ya 63(3]e ya Katiba Tanzania inayotamka kwamba; utekelezaji wa madaraka ya Bunge: ni kujadili na kuridhia mikataba.

Nirejee 89(1],(2] ya Katiba ya Tanzania, inayosema bunge litatunga kanuni za kudumu kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zake.

SA Mayunge: Ibara ndogo ya [2) Bunge kutunga kanuni ndogo za utekelezaji lakini pia ibara ya 96inayoeleza: BUNGE Laweza kuunda kamati mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza madaraka ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa, kutokana na ibara ya 89(1] Bunge la JMT limetunga kanuni za kudumu kama ilivyoelekezwa mfano kanuni ya 108 ambayo nitasoma kanuni ndogo ya 2.(Quote as its )

SA Mayunge: Waheshimiwa katika kiapo cha Maria ambacho pia ni kiapo cha Bwana Salum, serikali iliwasisha Mkataba wa IGA bungeni kwa ajili ya ratification.

Katika aya ya tatu anaeleza jinsi serikali ilivyopeleka mkataba Bungeni kupitia barua iliyoambatanishwa.

SA Mayunge: Pamoja na yote yaliyoandikwa naomba nisome aya ya kwanza: Baada ya kukamilika shughuli za serikali, Kutokana na umuhimu wake tunaomba kuwasilisha shuguli 7 ili Bunge lifanyie kazi kwa mambo yafuatayo.

SA Mayunge: 1. Kuazimia azimio la serikali kuingia Mkataba wa IGA na DP WORLD From Dubai. Baada ya hapo kanuni ya 108[2] ikaanza kutekelezwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na bunge.

SA Mayunge: Na bunge ilialika wadau ili watoe maoni yao kupitia Notice iliyoambatanishwa kwenye kiapo cha Maria, kiambata OSGF2 Kwenye aya ya 5.

Wahe. majaji naomba nisome kiapo husika ili muone kama it was reasonable

Majaji : wanamruhusu

Wakili: Serikali SA Mayunge anasoma barua husika.

SA Mayunge: Kwa ujumla notice inahusu Mkutano wa Kupokea Maoni dhidi ya mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji, hili tangazo waliliona waleta maombi na niwao wameeleza katka kiapo chao, aya ya 11 walivyopata tangazo hilo.

SA Mayunge: Na katika kiapo chao hawajasema muda ulikuwa mfupi sio kwamba uliwazuia kutoa maoni na hawajasema chochote.

Na hatujua walalamikaji wanalalamika kwa niaba ya nani na hwapo hapa kwa niaba ya nani.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji wenyemaoni walikuepo japo hawakuwa wao na ndio maana waheshimiwa majaji katika aya ya 7 ya kiapo cha Maria kimesema watu 72 walitoa maoni.

SA Mayunge: Wale waliokuwa wanataka na wakatoa maoni, sasa haya maombi haya ni just speculations, na hata hawakushiriki kutoa maoni lakini wanalalamika.

Na hakuna hata malalamiko ya barua ya kuomba kuongezewa muda wa kukusanya maoni.

Jaji: kwahiyo unasema muda ulikuwa reasonable?

SA Mayunge: it was duly saved, adequate and reasonable na waheshimiwa sasa ni wakati wa utandawazi mtu anaweza kutoa maoni yake popote kuputa barua pepe.

SA Mayunga: Waheshimiwa waliotoa maoni walitoka Mwanza, Arusha, na sehemu mbalimbali za nchi wote hao walitoa maoni yao.

Katika kanuni ya 108(2] ya Kanuni ya Bunge haikutoa kabisa suala la muda na kunasababu zake nitafafanua.

SA Mayunge: Waheshimiwa kwanin tuna tunasema muda ulitosha: ni Bunge lililohitaji maoni kutoka kwa watu.

BUSARA YA BUNGE; Bunge kwa busara zao waliona muda waliotoa unatosha kwa watu kutoa maoni yao dhidi ya Mkataba wa IGA.

SA Mayunge: WAHESHIMIWA suala la reasonable linategemea mazingira, umuhimu, uharaka na mengine mengi ngoja nitaje kidogo.

Suala la Reasonableness kwa masuala ya Bunge, mahakama kadhaa kutoka sehemu mbalimbali duniani zimejadili suala hili na tusiwe tofauti na mahakama zingine.

SA Mayunge: Naomba turejee Uamuzi wa Africa kusini Doctor for life .V. Speaker of National Assembly &Others katika ukurasa wa 70, paragraph 2.

Mahakama ilisema: reasonableness is.....(anasoma) kimsingi reasonableness inategemeana na mambo kadhaa.

SA Mayunge: Kwamba mahakama haiwezi kuipangia bunge. Kwamba Bunge ndio lilihitaji maoni na ndio linalojua kiwango cha ushirikishwaji wa wananchi na vile vile mahakama haitegemei kulibishia Bunge kuhusu reasonableness.

SA Mayunge; Ukurasa wa 19 unatoa shukrani za Bunge kwa watu wote walioshiriki katika kutoa maoni yao juu ya mkataba wa IGA.

Haya ni malalamiko ya kikatiba na walalamikaji wanatoa facts tu na sio vifungu vilivyokiukwa katika Katiba.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji; Walalamikaji hawakuchukua hatua yoyote kuhusu hili.

Waheshimiwa majaji, ni bunge pekee linaloweza kujua umuhimu wa jambo haswa katika ushirikishwaji wa wananchi na namna wangetaka kushirikisha wanachi.

SA Mayunge: Ni takwa la Bunge kuamua namna ya kuwashirikisha wananchi na Mahakama kuu haina mamlaka ya kuingilia masuala ya ndani ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa Majaji, senior Mpoki alisema kuhusu wananchi kutoa maoni katika kitu wasicho kijua kama Senior Mpoki alivyosema. Ni ukweli kwamba Notice ilitamka kwamba azimio linapatikana wapi.

SA Mayunge: Kwa sababu hiyo suala la reasonableness liwe hivyo, na bunge lina mamlaka hayo na tunaomba mahakama ichukulie kwamba huo muda ulikuwa unatosha kwa Bunge kupata inachokitaka.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, Maamuzi ya Diana Rose Vs AG na alisemea viapo vya watu 72 havipo na walitakiwa kuleta viapo:

Haya maamuzi yanategemea na maada inayobishaniwa. Na hoja yao ni suala la muda sio suala la idadi ya watu walioshiriki kutoa maoni. Tujikite kwenye muda.

SA Mayunge: Na Wakili Mpoki allisema kama muda ungekuwa mwingi anadhani watoa maoni wangekuwa wengi zaidi. Yeye anadhani tu pia kwamba wangetoa maoni machache.

Reasonableness ya muda inapaswa kuachiwa kwa bunge lenyewe katka kuratibu mambo yake ya ndani.

SA Mayunge: Uamuzi huo, kwa bahati nzuri kwetu uamuzi huo unathibitisha na kuungana na sisi kwamba;

Matakwa ya kushikisha umma kwa ajili ya maoni yanapaswa kuzingatia masharti yaliyowekwa hivyo kilichofanywa na BUNGE kilikuwa sawa waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Kwenye kiapo cha Maria, kwenye verification alisema haya anayoyasema, ni kwa ufahamu wake mwenyewe lakini pia 14.07.2023 tulifile kiapo cha Maria Mpale, kiapo hicho hakikupingwa na kimeeleza uwepo wa watu hao, maoni yalivyotolewa na kikaambatisha maelezo ya Bunge.

SA Mayunge: Waheshimiwa hivyo masuala ya kutaka miezi sijui 6 kwa ajili ya maoni hiyo ni busara ya Bunge na si vinginevyo.

Jaji: Nani kasema miezi 6

Wadau: wanacheka

Adv. Mpoki: Hizo ni imagination zake Waheshimiwa majaji.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kuhusu lalamiko dhidi ya kiapo cha Maria kwamba haikuonyesha media na platforms zilizohusika. Hili sio swala ambalo lipo mbele yetu.

Walalamikaji wao waliona na hawapaswi kujua wengine walionaje na walalamikaje wamethibitisha kwa kiapo chake.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji hayo ndio tuliyoyaandaa kuhusu namna Bunge lilivyoshughulikia suala hili la Mkataba wa IGA. Wakili Mpoki jana alitia kesi ya Suprime Court of Mauritius, ambapo Mpoki alijikita katika mawasilisho ya mawakili na maamuzi ya kesi yapo ukurasa wa mwisho.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, kwenye annexure OSGAF5 ya Maria Mpale, kuanzia ukurasa wa 6 (Taarifa ya Bunge). Katika taaifa hiyo(anasoma;..)Sehemu hii inaeleza na kukiri namna maoni yaliyopokelewa na Bunge kutoka kwa wadau yalivyosaidia na walalamikaji hawakupinga suala husika

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji, waliambiwa watoe maoni lakini hawakuambiwa watoe maoni aina gani na walalamikaji walimute halafu wanakuja kulalamika.

Pia Bunge kwa busara yake iliona muda unatosha kwani Wabunge ni wawakilishi wao na maoni ya Wananchi yalifika kupitia wawakilishi.

SA Mayunge: Naomba nirejee annexure OSGOF5 Katika ukurasa wa7(Maelezo ya Bunge); kwamba aina ya ubia, kiasi cha ubia kitakuja baadae na sio mkataba huu wa IGA.

SA Mayunge: Waheshimiwa majaji IGA kwa hivi ilivyo haivunji kabisa sheria ya Rasilimali Na.6 ya mwaka 2017 kwani IGA sio mkataba wa utekelezaji.

Waheshimiwa majaji vifungu vyote vilivyosemwa na wakili Mwabukusi tunaungana navyo lakini havihusiani na Ratification process

SA Mayunge: Katika uwasilishwaji wa Mwabukusi alirejea mahakama katika Preamble J" ya mkataba wa IGA then ibara ya 2(1) inayoongelea maeneo ya ushirikiano na sisi tunaona is fine kuwa na mawanda hayo

SA Mayunge: Aliongelea Article 4(2] ya IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper. Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani? Anamaliza kwa kuuliza hivyo wakili wa serikali Mayunge

Sasa anakaribishwa wakili wa serikali aitwaye Edwin kuendelea kujibu majibu yao kuhusu kesi ya bandari. Huyu ni wakili wa nne wa serikali. Mtangulizi wake Mr. Mayunge katumia more than 2.30 hrs

SA Edwin; nitajikita katika issue no. 3 iliyowasilishwa na msomi Livino. Naungana nae yote aliyoyasema kwa ku-cite kitabu cha Rule of Law Vs Rulers of law lakini hakusupply copy.

SA Edwin: Walalamikaji wanasema IGA imevunja ibara ya 1,8,na 28 na msomi livino alisema kuna express violation and implementation violation.

Tunaomba mahakama iangalie kifungu kinacholalamikiwa na wala sio kujielekeza katika utekelezwaji wa sheria husika.

SA Edwin: Katika shauri la AG vs Dickson Paul Sanga,Civil appeal 175/2020 page 67_68 Mahakama ilisema maneno yafuatayo.Mahakama inaposikiliza kesi ya malalamiko ya katiba inaangakia kifungu kinacholalamokiwa na sio kuangalia katika utekelezwaji wa kifungu husika cha Katiba.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kwenye kesi ya Christopher Mtikila V. AG 1995 page 34 ulisema hivi: Ukatiba wa vifungu vya sheria hulalamikiwa katika kifungu husika na sio kwenye utekelezaji wa sheria.

SA Edwin: Kwahiyo naomba mahakama katika shauri hili iangalie vifungu vinavyolalamikiwa kama ni kinyume na katiba na sio kujiwekeza katika utekelezaji wa Mkataba IGA.

Kwa kuwa kuna malalamiko ya ukuu wa nchi( Sovereignty)kama walalamikaji walivyojikita, nitafsiri ya Sovereignty.

SA Edwin: Katika kesi ya SMZ Vs. Machano Hamisi &17 Others. Ukurasa wa 7 aya ya 1 na mwisho Mahakama ilisema:

Ukuu wa nchi(Sovereignty): ni mamlaka yanayoonyesha uhuru wa nchi dhidi ya mamlaka nyingine maana ake uhuru wa mambo ya ndani na nje.

SA Edwin: Internally(Kwa ndani): ni uhuru wa kujiamulumia mambo yake na kujitungia sheria zake na kuzitekeleza hizo sheria na pia kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake pasipo kuamuliwa na wengine.

SA Edwin: Hivyo tunavyosema nchi ni sovereign tunaangalia yafuatayo

1. Uwezo wa nchi kufanya mambo yake pasipo kuwajibika kwa mtu au nchi yoyote.

2. Nguvu ya kutengezea sheria, kuzitekeleza na kutumia.

3. Lazima kuwe na impartial body kwa ajili ya utoaji haki.

SA Edwin: 4. Lazima iwe na mamlaka ya kujiamlia mambo yake yote

5.Nguvu ya kutangaza vita kama ni lazima

6. Nguvu ya kuingia mikataba na nchi zingine.

SA Edwin: Malalamiko yaliyopo kwamba vifungu vya IGA vimepoka Jamhuri ya TZ kuwa na mamlaka yake na hivyo hatupo sovereign.

Malalamiko haya ni very serious, tulishapata uhuru mwaka 1961 hivyo mahakama hii imepewa jukumu zito la kuangalia sovereignty. Sisi hatujapokwa sovereignty.

SA Edwin: Nitaanza na Ibara 5(1] ya IGA. Ambapo wakili alisema exclusive rights inamaanisha kuchukua bandari moja kwa moja na wenye mamlaka na nandari watakuwa Serikali ya DUBAI.

SA Edwin; Neno "exclusive rights" linamaana kutoshiriki na nchi nyingine baada ya kusainiana na DP WORLD ndio maana iliopo pale.

Kwa misingi hiyo Tanzania itakuwa na sovereignty yake dhidi ya serikali ya DUBAI mpaka pale mkataba utapoisha muda.

SA Edwin: Na baada ya mkataba huu kusianiwa DP WORLD Itakuwa governed na sheria za Tanzania.

Ibara ya 6[2 ya mkataba wa IGA inasema, DP WORLD itaomba ushirikiano na Tanzania katika masuala ya usalama na TZ itabaki kwa na mamlaka ya kutumia vyombo vya usalama kuzuia interference.

SA Edwin: Kuhusu Sovereignty yetu kupokwa, ipo pia ibara ya 8(2] ya IGA. Katika ibara hii inaongelea land Rights hivyo turejee ibara ya 1.

Ibara ya 1 ya IGA Inatafsiri (Quote)

Kifu. cha 20 cha sheria ya Ardhi kinasema mtu asiyeraia wa TZ hatakuwa na Haki ya Kumiliki Ardhi.

SA Edwin: Ibara ya 8(1)(2) ya Makataba wa IGA vyote kwa pamoja vinaonyesha kwamba serikali ya Tanzania itahakikisha Haki ya Ardhi kwa investor itakuepo kwamba ile project haiathiriki kwa mujibu wa sheria za nchi.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 18 ya IGA kwamba Tanzania imepokwa sovereignty inahusiana na Taxes, duties & charges.

Kwamba hizo taxes, duties na charges will be provide on accordance to Tanzana tax laws.

SA Edwin: Kama nilivyosema awali tunaangalia uwezo wa nchi katika kukusanya kodi kama nilivyoainisha hapo juu.

Hivyo malalamiko husika hayana mashiko na TRA Ndio chombo chenye mamlaka.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji nitaenda katika ibara 20[2] kuhusu usuluhishi wa migogoro. Tulieleza vyema kwamba IGA ni International agreement inayosimamiwa na VIENA CONVENTION.Inatoa uhuru kwa nchi kuamua mgogoro utatuliwaje na kuna option kwenda ICJ au kwenda ARBITRATION.

SA Edwin: Na makubaliano ya parts kwenye IGA yalichagua hivyo ilivyo.

Hivyo malalamiko husika sio ya kweli.

Lakini inaonyesha kwamba it's sovereign state na inauwezo wa kuingia kwa makubaliano ya kimataifa na inatakiwa kutii sheria ya mkataba ulioingiwa.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kitendo cha Tanzania kutiii matakwa ya Mkataba wa IGA sio kusurrender kama wanavyosema petitioners.

Kifungu kingine ibara ya 23(3] ya Mkataba wa IGA inayohusu muda wa Mkataba na kuvunjwa kwa Mkataba.

SA Edwin: Katika ibara hii serikali ya Tanzania ilikubaliana na hiki kifungu cha mkataba kutokana na hitaji la sheria ya VIENA CONVENTION Ibara ya 54.

Ibara ya 54 ya VIENA CONVENTION inasema: lazima mkataba uheshimiwe na wadau wa mkataba kama ulivyokubaliwa.

SA Edwin: Suala la kuhitaji consert ya kusurrender mkataba sio jambo la kusurrender sovereignty yetu bali ni kuheshimu makaba wetu na sheria za kimataifa.

Hivyo suala husika sio la kweli kwa kuwa ni takwa la sheria za kimataifa na tunapaswa kufuata.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, malalamiko yakiletwa katika ibara ya 26 na 27 Ya Mkataba wa IGA. Zenye lengo la ku-itranform IGA kwa domestic laws.

Ibara ya 27 ni utekelezwaji wa IGA.

Hivyo malengo ya ibara ya 26 na 27 yanaenda pamoja na ibara ya 25 ya Mkataba wa IGA.

SA Edwin: Waheshimiwa ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA inatokana na ibara ya 14 ya VIENA CONVENTION ambayo ndio sheria mama inayosimamia mikataba mama ya kimataifa.

SA Edwin: Kwamba ili nchi iweze kuwa bind ni kwanjia ya ratification na ibara ya 14 ya Viena convention na ina reflect ibara ya 25,26,27 ya Mkataba wa IGA.

Waheshimiwa majaji ibara tulizozisoma zinatengeneza goodwill na DP WORLD na si vinginevyo.

SA Edwin: Vile vile TRA imetambuliwa kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi kama ibara ya 8 ya mkataba wa IGA.

Katika suala la usimamizi wa bandari litakuwa chini ya TPA.

Kusimamia ubora na viwango utasimamiwa na TBS.

Ulinzi na usalama utakuwa chini ya vyombo vyetu vya usalama.

SA Edwin: Majeshi pamoja na vyombo vyote vya ulinzi vitakuwa na access. Haki ya kumiliki ardhi ni yetu na wao wapangaji, na sheria zetu zinaendelea kuapply hata masuala ya ajira yatakuwa chini ya sheria zetu.

Suala la usalama wafanyakazi kazi sheria zetu za kazi zita apply pia.

SA Edwin: Na TPA ikiona zinafaaa kwa nchi itaruhusu DP WORLD Kuendelea na uwekezaji na kama itaona haifai haitaruhusu.

Wahe.majaji suala linaloenda kufanyika saizi sio jipya na hata kabla ya DP WORLD Kulikuwa na TICS.

Anasimama wakili wa wananchi senior Mpoki anaweka pingamizi.

Adv. Mpoki: Objections, Masuala ya TICS hayapo kwenye maombi yetu na hayapo kwenye majibu yao. How it come from the Bar?

SA Edwin: waheshimiwa mimi nina clarify tu

Jaji: Wakili wa serikali jikite kwenye majibu yao na maombi ya walalamikaji sio kutoka nje ya hayo mawanda.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuna malalamiko dhidi ya ibara ya 28 ya katiba. Hii ni ibara inayotoa wajibu kwa watanzania dhidi ya uvamizi wa nchi.

Katika hili lazima kuwa na uthibitisho na lazima ionekane kama kuna vita.

SA Edwin: Kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba inasisitiza lazima kuwepo na Vita, na katika mawasilisho ya waleta maombi hatukuonyeshwa kwamba nchi ipo vitani.

Pia hatukuonyeshwa kwamba tumetia Sain kukubali tumeshindwa vita na adui, hatukuonyeshwa na tumeridhia uvamizi ufanyike.

SA Edwin: Haikuonyeshwa kwamba provisions za IGA imezuia wanachi wasipigane vita.

Hivyo waleta maombi wameshindwa kuthibitisha uvunjifu wa ibara ya 28 na hata kwenye affidavit yao hakuna fact zilizoonyeshwa kwamba tupo vitani, tumesaini kushindwa na tume surrender.

SA Edwin: Waheshimiwa majaji, kuhusu mambo ya VITA ya kiuchumi kama msomi Livino alivyosema hayapo katika katiba hivyo tunaomba aendelee kubaki nayo.

Katiba ibara ya 28 inasema uvamizi wa kijeshi na sio uvamizi wa kiuchumi.

SA Edwin: Tunaomba mahakama ikubaliane kwamba walalamikaji wameshindwa kuthibitisha namna ibara ya 28 ilivyovunjwa.

Namalizia kwa ibara 21 ya IGA kwamba Tanzania haitakiwa na control juu ya intended project hayana mashiko kwa sababu zifuatazo.

SA Edwin: Hivyo malalamiko yote hayajathibitishwa hivyo tunaomba mahakama I dismiss shauri.

Amemaliza wakili huyo wa serikali aitwaye Edwin sasa anamkaribisha wakili kiongozi Mark kwa ajili ya kufunga na kutoa mapendekezo.

SA Mark: Waheshimiwa majaja walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted. Walalamikaji wameomba maomba takribani 10, tunaomba mahakama itamke wazi kwamba maombi hayapo justified hivyo not granted.

SA Mark: Pia itoe tamko kwamba: mkataba wa IGA ni mkataba wa kimataifa na Serikali yetu ilikuwa na haki ya kuingia katika mkataba husika na haufungwi na sheria zetu za ndani. Taratibu zote za ratification zilifuatwa pamoja na uchambuzi wa kamati ya mkataba wa IGA zilikuwa proper.

SA Mark: Na vile vile kwenye mikataba ya aina hii haihitaji consideration.

Kuhusu sheria ya mamunuzi ya Tanzania, mahakama itamke kwamba sheria hii haina nguvu dhidi ya mkataba wa kimataifa (IGA).

SA Mark: Kuhusiana na orders 2 kwamba waombaji wakishinda, mahakama ielekeze serikali kutekeleza hukumu na pili Kwamba baada ya waombaji kushinda kesi, wadau wahusikshwe katika process zote za ratification tunaomba mahakama isitoe tamko husika.

SA Mark: Waheshimiwa majaji, katika mazingira kama haya tunaomba kupatiwa gharama zetu na pia shauri hili lifutiliwe mbali (To dismiss the petition with cost to the government)

Naomba kama serikali kuwasilisha

Anamaliza wakili kiongozi wa serikali Bw. Mark.

Mahakama inaenda break ya saa moja tu itarejea 15 : 30 jioni hii

#Updates kesi ya bandari.

Saa 15:41 Mahakama inarejea karani anataja namba ya kesi. Corum ipo kama ilivyokuwa asubuhi.

Anasimama wakili wa waleta maombi senior Mpoki kwa ajili ya kujibu.

Adv. Mpoki: Tupo tayari kuendelea kwa ajili ya kutoa Rejoinder: Nitaanza Waheshimiwa jaji.

Baada ya majumuisho mh. Mwenzangu aliomba walalamikaji watoe gharama ambayo napinga kwa kiasi kikubwa.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji kitendo cha kutoa gharama ni hiari ya mahakama. Katika kesi za kawaida za madai the Winner takes all. Unashinda kesi na gharama.

Lakini in public case law, discretion ya kama inakuwa guided na vitu vifuatavyo
...
Hii ni public case sio madai ya mtu na mtu. Katika kesi za kikatiba kuna principle kuu 3 ambazo mahakama inabidi iangalie1.

Adv. Mpoki: 1. Bona-fide maana ake nianjema ya kufungua kesi. Wateja wetu wana nia njema kwa sasabu, waheshimiwa majaji. Huu ni mwezi wa pili huwezi ukakaa bila kusikia malalamiko ya DP WORLD.

Adv. Mpoki: Your Lord ship everyone choose their own forum, wengine wanafanya mikutano, wengine wanatumia media platforms, walalamikaji hawa wameamini na wamekuja mahakamani ili kupata haki ya Taifa.

Adv. Mpoki: Principle ya pili: ni public interest: naomba tujiulize kwamba hii kesi inapplicable interest au la. Ni kweli kwamba ina maslahi ya umma haswa katika kutafsiri mkataba uliopo mbele yenu.

Adv. Mpoki: Watu wametumia maneno mauzauza. Ni mauza uza sio tu kwa walalamikaji bali pia kwa watanzania wengi na watanzania wamechanganyikiwa kuwa lipi na lipi.

Adv. Mpoki: Ukifutilia katika magazeti na vyombo vya habari unaona watu wanatofautina wao kuhusu IGA hii ya bandari.
Walalamikaji wamekuja mahakamani kutafuta suluhu.

Adv. Mpoki: Tatu ni Constitutional jurisprudence kwakuwa mahakama inatoa maamuzi yanayoishi kwa muda mrefu.

Kuwalaumu kwa kuwatoza gharama walalamikaji ni kuzuia watu wengine kuja na mashauri ya aina hii.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa kitendo ambacho walalamikaji wamekifanya ni cha kishujaa cha kuungwa mkono na ni sehemu ya access to justice.

Access to justice is a Constitutional rights under Artcle 13(6) of Tanzania Constitution.

Adv. Mpoki: Hivyo kitendo cha walalamikaji kulaumiwa kwa kuleta shauri hili la kikatiba ni ketendo cha kuungwa mkono.

Niwakumbushe maneno yaliyosemwa na Lugakingira J" alisema maneno yafuatayo: aliongelea namna ya kuwa encourage walalamikaji wa aina hii, katika ukurasa wa 43.

Adv. Mpoki: Lugakingira J" alisema tatizo sio wananchi ni sisi Viongozi wananchi hawana tatizo ila sisi Viongozi.

Wahe. majaji ni rai yangu kwamba hizi kanuni tatu nilizozitaja zinanishurutisha kupingana na mwenzangu anayeomba gharama. Hivyo naomba ombi la Mark lisikubaliwe.

Adv. Mpoki: Rafiki yangu Mark alizungumzia kesi ya Ndyanabo" alizungumzia principle moja juu ya kusikiliza kesi za kikatiba. Katika kesi hii ambayo Sammatta J aliamua kwamba, Kama kuna kesi ya kikatiba basi kuna principle inabidi uzifuate na zipo takribani 5.

Adv. Mpoki: Ulizungumzia kwamba;

1.Presumpition of Constitutionality of the statute kwamba sheria yoyote inayotungwa na bunge lazima iendane na Katiba.

2. The Constitution is a living document.

Adv. Mpoki: 3. Yeye anayebisha kwamba kuna violation ya katiba yeye anayebisha anatakiwa athibitishe kuwa kuna violation.

Tunasema kwamba sheria yoyote inayotungwa lazima isikiuke katiba inatakiwa iwe chini ya katiba waheshimiwa majaji.

Adv. Mpoki: Walalamikaji wameonesha katiba imevunjwa walalamikiwa wanapaswa kuonyesha haijavunjwa.

Wahe. majaji kwa issue ya "onus of proof" naomba nitahadharishe kuhusu kanuni ya "stare decisis" hivyo uamuzi wa Mahakama ya rufaa inakuwa na nguvu dhidi ya mahakama za chini.

Adv. Mpoki: Kwa muktadha huo, kesi ya change Tanzania is no longer a good law because, mahakama ya rufaa ilisema proof on Constitution case is no longer on beyond reasonable dought

Lakini ni kuwa na kesi ya msingi (Premafacie case) katika kesi ya AG V. D. sanga,175,2020 page 37.

Adv. Mpoki: Katika kesi hii ilisema Onus of proof is upon those who oppose. Respondent has a duty to establish a premafacie case.

Kazi ya walalamikaji ni kuonyesha premafacie kesi (kesi ya msingi).

Adv. Mpoki: Hivyo kesi zote walizozitumia wenzetu ni kesi za chini na maamuzi ya kesi ya Dickson Sanga ni maamuzi ya mahakama ya ya rufaa ambayo ina nguvu kuliko mahakama ya chini.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, katika kesi ya Christopher Mtikila ni A breach of Constitution can not be by mere inferences. Tunazungumzia Constitutional supremacy.

Adv. Mpoki: Wahe.majaji standard of proof ni ile iliyoadhimiwa katika kesi ya "Dickso Sanga" hivyo proof inayostahili ni Ku establish Premafacie case na sio "beyond reasonable dought"

Niende hatua ya pili ya Duty of the court na mwenzangu alielezea kwenye ile kesi ya Tabora.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku-exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Maombi yetu yameletwa chini ya ibara ya 108 (2) ya Katiba na kifungu cha 2(3) cha Katiba ya Tanzania.

Ibara ya 108[2] inasema kama kitu hakijaelezwa na sheria zingine mahakama kuu ina mamlaka ya kusikiliza shauri.

Adv. Mpoki: Wao walisema mahakama kuu ina limited jurisdiction lakini katika ibara ya 108[2] ya Katiba ya Tanzania.

Mahakama kuu ina unlimited jurisdiction.

Adv. Mpoki: Na mahakama yenyewe tunaita Horizontal Check na kazi ya majakama ni ku exercise Check and Balance.

Waheshimiwa majaji, mahakama ina unlimited jurisdiction haswa mahakama kuu na jurisdiction ya mahakama inatolewa na sheria.

Adv. Mpoki: Waheshimiwa majaji, ibara ya 4 ya katiba imeeleza suala la separation of power. Hivyo chombo kimoja hakiruhusiwi kuingilia chombo kingine.

Lakini mahakama inaruhusiwa na ina act kama lubricant kwani inaweza kuingilia mihimili mingine ya serikali na Bunge.

Adv. Mpoki: Nimalizie kitu kimoja kwamba, kwa sababu wananchi wamechagua wabunge. Wabunge ni wawakilishi wao. It seems very attractive lakini lakini kifungu cha 108[2] ya kanuni ya Bunge Imewekwa ili wananchi washiriki katika kutoa maoni kwenye mambo yanayowahusu.

Adv. Mpoki: Naomba mahakama hii isichukulie maanani kwamba wabunge wenyewe ndio wanapaswa kushiriki na ndio msingi wa kanunu ya 108[2] ya kanuni ya bunge na haitakiwi kuwa kiini macho.

Adv. Mpoki: Lakini kama kweli unataka watu washiriki kuna kanuni kuu tatu [ adequate, sufficient, reasonable) na hakuna hata kimoja kilichotimizwa.

Wanakubali kwamba notice ilitolewa tar 5 June 2023 na kuwataka watu watoe maoni tar 6 June.

Adv. Mpoki: Wanasema ambaye angefika kutoa maoni angeridishiwa nauli. Lakini tangazo halikutangaza kwamba watao hudhuria watapewa nauli.

Pia wanakubali kwamba waliweka resolution to be adapted lakini hawakuweka mkataba halafu wanaitwa watu kudiacuss mkataba ambao wahusika hawaujui, hawapo serious hawa.

Adv. Mpoki: Kwa misingi hiyo hakukuwa na msingi wa sisi kujibu jambo ambalo tushalibishia awali na wao wamejibu na ndio maana tupo hapa.

Waheshimiwa baada ya kusema hayo naishia hapo na namualika msomi Mwabukusi aendelee.

Majaji wanaandika kimya kinatawala kwa muda.

Jaji anatoa amri kwamba kutokana na muda kwenda sana, Mahakama inaairishwa mpaka asubuhi ya 09: 00 kesho ya 28th July 2023 ambapo wakili Mwabukusi ataendelea kujibu.

Mdude Nyagali kutoka Mahakamani hapa Mbeya.



View attachment 2700829View attachment 2700830
Anyway Mungu anisamehe sana. Sikuwahi jua kama Mdude ni Smart kiasi hiki. Sasa naelewa. Nitanunua kitabu chako
 
Ninachojifunza kutokana na hii kesi, hasa baada ya kuwasikiliza mawakili wa serikali ni kwamba 'UJAMBAZI' hujitokeza kwa njia mbali mbali, na matokeo ya ujambazi ni yale yale tuyajuwayo sote.

Kwa mfano: tunaambiwa siku hizi kwamba kuna vita vya kiuchumi; lakini kumbe hii vita haitambuliwi na Katiba yetu. Kwa hiyo wananchi hawawezi kuipigana hii vita?

Na kwamba, nchi haiwezi kupoteza uhuru wake wa kuamua mambo yake na kufanywa koloni la nchi nyingine kama hao wanaotafuta koloni hawajanyanyang'anya kwa nguvu/mabavu uhuru wa nchi nyingine.
Nchi moja haiwezi kupoteza uhuru na kuwa koloni kwa ulaghai tu wa maneno au kununuliwa viongozi wao.
Hili nalo nimejifunza toka kwa mawakili wa serikali yetu.

Kwa mfano: Vienna Cnvention inatambua makubaliano ya aina yoyote nchi husika zilivyokubaliana, bila kujali uzuri au ubovu wa makubaliano yaliyoingiwa. Kama nchi moja viongozi wake wanakubali mashinikizo ya nchi nyingine, hata kama ni kwa hasara ya nchi husika, hayo ni makubaliano yanayotambuliwa na Vienna Convention. Hii convention kazi yake siyo kudadisi kilichokubaliwa kati ya nchi mbili.

Hili nalo nimejifunza toka kwa waheshimiwa mawakili wa serikali.

Kwa mfano: Ukishamchagua, au hata kama hukumchagua mpuuzi yeyote, akaingia Bungeni, huyo ndiye anayebeba akili zako zote na wezio wote katika eneo lenu.
Kwa kutumia akili zake hata ziwe finyu kiasi gani, yote atakayowasilisha Bungeni ni mawazo yenu. hamuwezi kamwe kumkana kuwa hajawasilisha mnayotaka nyinyi wananchi mnaowasilishwa naye

Mifano mingi sana nimejifunza kutokana na hii kesi, lakini kwa sasamifano hiyo mitatu inatosha.

Katika hali ya namna hii, ni kipi walichobaki nacho wananchi kinachoweza kusaidia kulinda haki zao?
Mahakama nazo zinahimizwa zisiingilie uhuru wa Bunge na hata hao majambazi walioko serikalini.

Sasa tufanye nini kuondokana na ujambazi huu?
 
Ninachojifunza kutokana na hii kesi, hasa baada ya kuwasikiliza mawakili wa serikali ni kwamba 'UJAMBAZI' hujitokeza kwa njia mbali mbali.

Kwa mfano: tunaambiwa siku hizi kwamba kuna vita vya kiuchumi; lakini kumbe hii vita haitambuliwi na Katiba yetu. Kwa hiyo wananchi hawawezi kuipigana hii vita?

Kwa mfano: Vienna Cnvention inatambua makubaliano ya aina yoyote nchi husika zilivyokubaliana, bila kujali uzuri au ubovu wa makubaliano yaliyoingiwa. Kama nchi moja viongozi wake wanakubali mashinikizo ya nchi nyingine, hata kama ni kwa hasara ya nchi husika, hayo ni makubaliano yanayotambuliwa na Vienna Convention. Hii convention kazi yake siyo kudadisi kilichokubaliwa kati ya nchi mbili.

Hili nalo nimejifunza toka kwa waheshimiwa mawakili wa serikali.

Kwa mfano: Ukishamchagua, au hata kama hukumchagua mpuuzi yeyote, akaingia Bungeni, huyo ndiye anayebeba akili zako zote na wezio wote katika eneo lenu.
Kwa kutumia akili zake hata ziwe finyu kiasi gani, yote atakayowasilisha Bungeni ni mawazo yenu. hamuwezi kamwe kumkana kuwa hajawasilisha mnayotaka nyinyi wananchi mnaowasilishwa naye

Mifano mingi sana nimejifunza kutokana na hii kesi, lakini kwa sasamifano hiyo mitatu inatosha.

Katika hali ya namna hii, ni kipi walichobaki nacho wananchi kinachoweza kusaidia kulinda haki zao?
Mahakama nazo zinahimizwa zisiingilie uhuru wa Bunge na hata hao majambazi walioko serikalini.

Sasa tufanye nini kuondokana na ujambazi huu?
Hoja zao ni nzito lkn haziwezi kuondoa mapungufu yooote ya ule mkataba. Na dosari moja ya nkataba inatosha kuufanya Null and Void ab initio
 
Ninachojifunza kutokana na hii kesi, hasa baada ya kuwasikiliza mawakili wa serikali ni kwamba 'UJAMBAZI' hujitokeza kwa njia mbali mbali, na matokeo ya ujambazi ni yale yale tuyajuwayo sote.

Kwa mfano: tunaambiwa siku hizi kwamba kuna vita vya kiuchumi; lakini kumbe hii vita haitambuliwi na Katiba yetu. Kwa hiyo wananchi hawawezi kuipigana hii vita?

Na kwamba, nchi haiwezi kupoteza uhuru wake wa kuamua mambo yake na kufanywa koloni la nchi nyingine kama hao wanaotafuta koloni hawajanyanyang'anya kwa nguvu/mabavu uhuru wa nchi nyingine.
Nchi moja haiwezi kupoteza uhuru na kuwa koloni kwa ulaghai tu wa maneno au kununuliwa viongozi wao.
Hili nalo nimejifunza toka kwa mawakili wa serikali yetu.

Kwa mfano: Vienna Cnvention inatambua makubaliano ya aina yoyote nchi husika zilivyokubaliana, bila kujali uzuri au ubovu wa makubaliano yaliyoingiwa. Kama nchi moja viongozi wake wanakubali mashinikizo ya nchi nyingine, hata kama ni kwa hasara ya nchi husika, hayo ni makubaliano yanayotambuliwa na Vienna Convention. Hii convention kazi yake siyo kudadisi kilichokubaliwa kati ya nchi mbili.

Hili nalo nimejifunza toka kwa waheshimiwa mawakili wa serikali.

Kwa mfano: Ukishamchagua, au hata kama hukumchagua mpuuzi yeyote, akaingia Bungeni, huyo ndiye anayebeba akili zako zote na wezio wote katika eneo lenu.
Kwa kutumia akili zake hata ziwe finyu kiasi gani, yote atakayowasilisha Bungeni ni mawazo yenu. hamuwezi kamwe kumkana kuwa hajawasilisha mnayotaka nyinyi wananchi mnaowasilishwa naye

Mifano mingi sana nimejifunza kutokana na hii kesi, lakini kwa sasamifano hiyo mitatu inatosha.

Katika hali ya namna hii, ni kipi walichobaki nacho wananchi kinachoweza kusaidia kulinda haki zao?
Mahakama nazo zinahimizwa zisiingilie uhuru wa Bunge na hata hao majambazi walioko serikalini.

Sasa tufanye nini kuondokana na ujambazi huu?
Kilichobaki ni kwamba mkataba umesainiwa wakati kuna sheria ya kulinda rasilimali hairuhusu.
Pia mkataba umesainiwa kabla wananchi hawajatoa maoni.
 
Ninachojifunza kutokana na hii kesi, hasa baada ya kuwasikiliza mawakili wa serikali ni kwamba 'UJAMBAZI' hujitokeza kwa njia mbali mbali, na matokeo ya ujambazi ni yale yale tuyajuwayo sote.

Kwa mfano: tunaambiwa siku hizi kwamba kuna vita vya kiuchumi; lakini kumbe hii vita haitambuliwi na Katiba yetu. Kwa hiyo wananchi hawawezi kuipigana hii vita?

Na kwamba, nchi haiwezi kupoteza uhuru wake wa kuamua mambo yake na kufanywa koloni la nchi nyingine kama hao wanaotafuta koloni hawajanyanyang'anya kwa nguvu/mabavu uhuru wa nchi nyingine.
Nchi moja haiwezi kupoteza uhuru na kuwa koloni kwa ulaghai tu wa maneno au kununuliwa viongozi wao.
Hili nalo nimejifunza toka kwa mawakili wa serikali yetu.

Kwa mfano: Vienna Cnvention inatambua makubaliano ya aina yoyote nchi husika zilivyokubaliana, bila kujali uzuri au ubovu wa makubaliano yaliyoingiwa. Kama nchi moja viongozi wake wanakubali mashinikizo ya nchi nyingine, hata kama ni kwa hasara ya nchi husika, hayo ni makubaliano yanayotambuliwa na Vienna Convention. Hii convention kazi yake siyo kudadisi kilichokubaliwa kati ya nchi mbili.

Hili nalo nimejifunza toka kwa waheshimiwa mawakili wa serikali.

Kwa mfano: Ukishamchagua, au hata kama hukumchagua mpuuzi yeyote, akaingia Bungeni, huyo ndiye anayebeba akili zako zote na wezio wote katika eneo lenu.
Kwa kutumia akili zake hata ziwe finyu kiasi gani, yote atakayowasilisha Bungeni ni mawazo yenu. hamuwezi kamwe kumkana kuwa hajawasilisha mnayotaka nyinyi wananchi mnaowasilishwa naye

Mifano mingi sana nimejifunza kutokana na hii kesi, lakini kwa sasamifano hiyo mitatu inatosha.

Katika hali ya namna hii, ni kipi walichobaki nacho wananchi kinachoweza kusaidia kulinda haki zao?
Mahakama nazo zinahimizwa zisiingilie uhuru wa Bunge na hata hao majambazi walioko serikalini.

Sasa tufanye nini kuondokana na ujambazi huu?
Umenifanya nikumbuke mistari ya msanii nguli Ney wa mitego alipowachana tunaowaita ni viongozi wetu kuwa 'viongozi ni panyalodi waliovalishwa suti na sisi raia kazi kuwapigia sauti'
 
Back
Top Bottom