mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
hakuna madhara yeyote utakayopata kwa bailogia ndogo ninayoifahamu zile sperm iwe mwanamke au mwanaume zikiwa nyingi huwa zinageuzwa zinaingizwa kwenye mfumo wa chakula.....ila ndugu yangu ukikaa mda mrefu kama ni mwanamme siku ukikamata kazi patakuwa hapatoshi na kama ni mwanamke huyo mwanaume kazi atakuwa nayo