A HEALTHY sex drive will leave you peaking in more ways than one.
A survey by the American Association Of Retired Persons reveals:
People who have a lot of nookie experience health benefits which can leave them in much better physical form than those who dont.
Sex can help fight flab, ward off colds and make you live longer.
Jennifer Bass, of sex research centre The Kinsey Institute, says: There is definitely a correlation between health and sex. If you are healthier, you are going to have more sex.
Making love provides a cardiovascular workout and floods the body with feel-good chemicals.
Here JANE SYMONS shows how a little or even quite a lot of what you fancy does you good.
Feb 09, 2014
nina miaka 27 tangu kuzaliwa sijafanya tendo la ndoa na ninajisikia mwenye furaha sana kila siku.
Una matatzo
yapi ndugu, uume uko sawa unasimama vizuri.
Mimi nimesoma seminari moja ya RC lakin nlishindwa maana kibailijia sio rahisi kukaa mpaka umri huo bila kufanya ngono unless una matatzo...
aisee, hiyo ni hari halisi hyo sehemu sijaigusa na nimeona watu wanaandika vitu vya kusikia 2. Hayo matatizo ni uongo mtupu.
a level nimesoma milambo everythng was ok. Japo kuna wakati unaweza ukataman uzuri wa mwanamke. Kikubwa ndg ni malengo yako unafanya ngono ili iweje?
nataman hata nisioe kwa sababu wanawake wote ninnaotokea kuwa nao karibu huwa nagundua siyo mabikira na malengo yangu ni kuoa bikira kama nilivyo mm.
Ebu acha zako....sasa unagundua vipi kuwa si mabikra wakat hujawahi kufanya ngono...? Na bikra utaitoa vipi...
Hakuna madhara yoyote mtu asiposex mda mrefu au kutosex kabisa. ni upotoshaji tu unafanywa au kusemwa kwa makusudi ya kuwaharibu vijana. epuka ngono ishi salama kwa upendo na aman. kama unaweza baki bikira milele na siku zako za kuishi duniani zitaongezeka na furaha yako itakuwa maradufu
Use your Hand