Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,168
- 25,481
Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu.
1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo.
2. Huongeza ukakamavu wa mifupa.
3. Hupunguza msongo wa mawazo.
4. Hupunguza maumivu.
5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume.
6. Huongeza uwezo wa kunusa.
1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo.
2. Huongeza ukakamavu wa mifupa.
3. Hupunguza msongo wa mawazo.
4. Hupunguza maumivu.
5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume.
6. Huongeza uwezo wa kunusa.