WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,458
- 956
Je haya matatizo hayawakumbi wanaume wanao sex na wanawake wengi au wa kila aina?
Fidel,
Fibroid haziwezikuwapata wanaume hahahah usihofu.
Wanaume with multiple sex partners with no condom wana hatari kubwa zaidi - UKIMWI baba... na pia ndiyo chanzo cha kuokota HPV na kuwaambukiwa wadada wenye multiple partners wanaoenda pekupeku!