SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Haya bana!
we huwa haufanyi tendo la ndoa?
Muheshimiwa, hii nzuri, mie ambaye naishi maisha ya useja nifanyeje??? nipeni mawazo kwani hata hivyo hisia ni kubwa
Mapadri nao wanafanya kwa Siri pamoja na Ma Sister wewe huoni wana vyumba vyao vya siri Makanisani?Kwahiyo ma padri inakuwaje?
itabidi umtafute mpenzi bwana achana na maisha hayo ya Useja.Muheshimiwa, hii nzuri, mie ambaye naishi maisha ya useja nifanyeje??? nipeni mawazo kwani hata hivyo hisia ni kubwa
Ukipiga Punyeto hupati kitu Mkuu.HAYA je kama mtu AKIJICHUWA...! I mean MASTERBATION atapata same advantage???
Huyu huwa anafanya uzinzi au uasherati basiwe huwa haufanyi tendo la ndoa?