Tendo la Ndoa: Faida/umuhimu wa kushiriki tendo hili

kama una matatizo katika mifumo yako ya mwili ni halali lakini kama huna matatizo, kwa wanaume kila siku utaota na utakuwa ukichafua chupi/pensi zako sambamba na mashuka. Kujamiana is a biological necessity, ndo maana hata wanyama na wadudu tendo hili haliwapiti, wanalithamini sana.

Ttaizo kwa wanadamu, wanageuza kuwa anasa, lakini kwa habari ya maendeleo ya mtu kiakili, kiafya na kimwili pia. Kuna psychologist aliwahi kusema "supportive intimacy relationship, is the basis for the development of mankind...".

Tatizo akina dada wameligeuza tendo la ndoa kama bidahaa na hivyo kuharibu umhimu wake na hivyo kuligeuza kuwa exploitaion
kumbe tendo la ndoa sio anasa eeeh?
 
Kwa wana ndoa lazima uitumikie ndoa ipasavyo kwani hujatoka kwa wazazi wako kwenda kufuata ugali kwa mwanandoa mwenzako.Sasa kama tundazz hamli mtakuwa kaka na dada ndani ya ndoa?Kwa wasio na ndoa subirini muingie kwenye sacramenti hii takatifu msiharakie ngono na uzinzi na kusingizia kwamba ni tendo la ndoa wakati hamna ndoa.
 
Kwa wana ndoa lazima uitumikie ndoa ipasavyo kwani hujatoka kwa wazazi wako kwenda kufuata ugali kwa mwanandoa mwenzako.Sasa kama tundazz hamli mtakuwa kaka na dada ndani ya ndoa?Kwa wasio na ndoa subirini muingie kwenye sacramenti hii takatifu msiharakie ngono na uzinzi na kusingizia kwamba ni tendo la ndoa wakati hamna ndoa.

Wewe ni padri nini?
 
hahaha.ku do siyo chakula bwana kwamba nisipokula nitadhurika.

unajua ni vigumu wewe kujua umeathirika vipi? wengine ndo watakuona uko tofauti, mfano unaweza kuwa na hasira pasipo sababu za msingi kila ukimwona mwanaume. Haziungi na mtu wa jinsia nyingine ati
 
hv ni lazima sex iwe ni ndani ya ndoa?

jibu lako linategemea social system unayoiamini na kujikita nayo. Kwa mfano, ukiwa mtu wa dini za kigeni, watakwambia lazima iwe kwenye familia, lakini kuna cultures nyingine ni suala la kawaida, wala hakuna mipaka isipokuwa kwa wazazi wako tu na ndugu zako wa damu.

Tumekuwa tukiaambiwa kwamba, wamasai enzi hizo, ukioa mke, hawi wa kwako pekee, ni mke wa ukoo kinachofanyika ni TIMING tu.
 
Kuna madhara makubwa sana nawaambieni. We Mungu kakupa kitu kitumike halafu we hutumii unategemea nini, KINAKUFA.
 
jibu lako linategemea social system unayoiamini na kujikita nayo. Kwa mfano, ukiwa mtu wa dini za kigeni, watakwambia lazima iwe kwenye familia, lakini kuna cultures nyingine ni suala la kawaida, wala hakuna mipaka isipokuwa kwa wazazi wako tu na ndugu zako wa damu.

Tumekuwa tukiaambiwa kwamba, wamasai enzi hizo, ukioa mke, hawi wa kwako pekee, ni mke wa ukoo kinachofanyika ni timing tu.
so ukitoa dini tungeweza kuwa tunafanya kama wanyama sio? Kwamba una hamu unamshika yeyote twende kazi au?
 
so ukitoa dini tungeweza kuwa tunafanya kama wanyama sio? Kwamba una hamu unamshika yeyote twende kazi au?

sio kumshika, unatengeneza mazingira, akikubaliana mwendo mdundo.

kwani kuku, bata, ngo'mbe, mbuzi wanalazimishina?
 
nauliza kama kuna madhara yeyote kwa kutoshiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu
A- KWA MWANAMKE
B-KWA MWANAUME

kwa wanawake ni phsycologicol problems tu isipokuwa kwa wanaume huwa kuna uwezekano wa kupata condition inaitwa spermatocele inasababishwa na mkusanyiko wa sperms lakini haina madhara na hupotea baada ya muda fulani.
 
unajua ni vigumu wewe kujua umeathirika vipi? wengine ndo watakuona uko tofauti, mfano unaweza kuwa na hasira pasipo sababu za msingi kila ukimwona mwanaume. Haziungi na mtu wa jinsia nyingine ati
unajua nikuitune tu akili,nimejisemea sifanyi na mwanaume yeyote isipokuwa hubby tu,haijalishi mazingira.NIKO NORMAL KAbisa
 
sio kumshika, unatengeneza mazingira, akikubaliana mwendo mdundo.

Kwani kuku, bata, ngo'mbe, mbuzi wanalazimishina?
kutengeneza mazingira vp? Kama kuku si jogoo wanabaka tu pale jamani mbuzi nao dume analazimishwa maana hadi jike awe kwenye heat, binadamu nao mwanamke lazima abigwe bia vocha pesa dah kazi kwelikweli
 
kwa wanawake ni phsycologicol problems tu isipokuwa kwa wanaume huwa kuna uwezekano wa kupata condition inaitwa spermatocele inasababishwa na mkusanyiko wa sperms lakini haina madhara na hupotea baada ya muda fulani.
izo problem ndo zipi sasa 1
2
3...............
 
Hakuna madhara yoyote, mwanaume anapiga nyeto na mwanamke pia napiga nyeto mwisho wa siku mambo shwari bila kushiriki tendo!!!
 
Kama kuna madhara kwa wanaume basi yatakuwa yanasababishwa na kutotoa hizo sperms

tatizo hata usipofanya ngono zinatoka ukiwa kwenye njozi au kwa kujichua

maybe madaktari watueleze madhara ya kutotoa sperms kabisa kwa kipindi cha miaka mitano assuming unakula balanced diet, hujichui na hujapata wet dreams.
 
nauliza kama kuna madhara yeyote kwa kutoshiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu
A- KWA MWANAMKE
B-KWA MWANAUME

unajua nikuitune tu akili,nimejisemea sifanyi na mwanaume yeyote isipokuwa hubby tu,haijalishi mazingira.NIKO NORMAL KAbisa

Fe Lady, You said it all my Dear!

... Its all up in our Minds... can tune and regulate depending on reasons and circumstances!!! ... and this ability to regulate and take control makes us different from animals ... gives us ... credibility and nobility!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom