Jumanne Sinto
Member
- Nov 7, 2019
- 14
- 1
Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa?
Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.