Asanteni kwa kutufariji wanajamii wenzetu, ndio hvyo tumefiwa, na tumebaki yatima, mama yetu alitangulia miaka 4 nyuma, mimi ndio mkubwa, nimebaki na jukumu la kuwalea wadogo zangu, tunaomba muendelee kutufariji
Asanteni kwa kutufariji wanajamii wenzetu, ndio hvyo tumefiwa, na tumebaki yatima, mama yetu alitangulia miaka 4 nyuma, mimi ndio mkubwa, nimebaki na jukumu la kuwalea wadogo zangu, tunaomba muendelee kutufariji
Nawashukuruni wana Jf Woote kwa Kutufariji katika kipindi hiki kigumu.
Hatuwezi kuupindisha ukweli kuwa Baba yetu Mpendwa ametuacha wakati bado tunamuhitaji sana.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe.
Asanteni sana,sana,sana.