lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,540
- 7,032
Vipofu sio watu? Hata kwenu wapo!Ukiwa mstaarabu nchi hii utaonewa hadi na vipofu...
Vipofu sio watu? Hata kwenu wapo!Ukiwa mstaarabu nchi hii utaonewa hadi na vipofu...
Kwani kuna shida gani kwenye huo mwezi?Huo mwezi kwenye hizo tarehe uko sawa kweli?? Check with that please.
Pongezi nyingi kwa kufatilia uzi huuHata mwaka hauko sawa wameandika mwaka 20 huu sio mwaka wa 20 Ni mwaka wa 2020 kisheria Ni makosa aliyeandika hi taarifa Hana akili Ni bwege
Okay..kumbe tutasubiria hadi September??Kwani kuna shida gani kwenye huo mwezi?
Kampeni za kistaarabu maana yake nini? Tusiseme kuwa yule mgombea aliyeshindwa kujaza Form ndo Mhalifu no.1 aliyetaka kumwua mgombea wetu?Tufanyeni kampeni za kistaarabu
Lipieni acheni porojo za kupenda vya bureNasikitishwa na wa Uzalendo wa TASNIA YA HABARI CHINI. Wana ripoti upande Mmoja zaidi. Tatizo nini?
Ushahidi wa kisheria na kimahakama unao?Kampeni za kistaarabu maana yake nini? Tusiseme kuwa yule mgombea aliyeshindwa kujaza Form ndo Mhalifu no.1 aliyetaka kumwua mgombea wetu?
Corrected thanksHuo mwezi kwenye hizo tarehe uko sawa kweli?? Check with that please.