Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Sir H nimecheka sana.
nadhani hadi boss kanishtukia manake naona anatabasamu.
niPM nikupe story nilizoexperience,hadi hapa nilipo nashukuru Mungu kwa kwel
Sir H nimecheka sana.
nadhani hadi boss kanishtukia manake naona anatabasamu.
Yan siwezi sahau sku ambayo niliacha shule kwa ujauzito na aliyenipa alisepa aliniacha kwenye mataa bt nashukuru mungu mtoto amekuwa ananipa faraja
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
sitasahau nkiwa std 3 kuna mtoto alkua mkubwa na mbabe kulko wote clas bt kichwan c k2 cku ticha akaulza sugar kwwa kiswahl n nn ananforce nmwambie c nkamdanganya n mchanga tcha akamchagua akajibu kwa cnfdnc mchangaaaaaaaaaaaaa wa2 woote cls kicheko ucnkumbushe machungu nlopata break tym
Tambaza ipi ya father K? kwa upande wangu daladala za route ya ubungo,kimara,mwenge makonda wanakonda akwa ajili yetu yaani ,ingekuwa sasa tungepata kesi ya ugaidi na utekaji nyarasa nikireflect siamini kama huko ndiko tulikotoka!aaah mii sisaha Tambaza tulikuwa tunakojolea ukuta wa shule hadi ulipoanguka.. chezea KOJO la wanafunzi wewe? tulitembeza kichapo hadi kituo cha polisi Msimbazi kilifungwa. ungeniona mimi enzi hizo weeeeeee sasa kinachonikumbusha sana ni sikumoja tulimkamata konda wa daladala mitaa ya Polisi Ufundi, tulipiga hadi alijinyea. mii nashangaaga sana madenti wa siku hizi wanaonewa sana na makonda!!!!! sisi enzi zetu tulikuwa tunachagua basi la kupanda.. iwe Ekarusi, au madaladala maarufu ya Temeke enzi zile kama MV Mapenzi, Remember Bulongwa, Safari sound, Programs, White star, Harambee n.k.. Konda akinizuia tu basi tunamshusha kitakachofuata hapo ni balaaa... Chezea Tambaza wewe?
Tambaza ipi? Ya mushi 1993 na savimbi teacher wa chemistry. Enzi za kina puzza ---- 007, fungus, elison mahabusu aliyetabiri kifo chake. Hii itakuwa kipindi kile cha gemu ya mgulani na tambaza. Rest in peace konda.Tambaza ipi ya father K? kwa upande wangu daladala za route ya ubungo,kimara,mwenge makonda wanakonda akwa ajili yetu yaani ,ingekuwa sasa tungepata kesi ya ugaidi na utekaji nyarasa nikireflect siamini kama huko ndiko tulikotoka!
Unanipa wasiwasi na michezo ya kimombasaHabari wakuu!!
Basi katika maisha haya tunayopitia, kila mtu lazima ana kitu/tukio, liwe la furaha/aibu liliopata kutokea katika maisha yake, ambalo hatasahau!
Mimi binafsi sitasahau, kipindi hicho tulikuwa darasa la pili, siku hiyo nlichelewa shule sasa kuliwa na mwalimu mmoja hivi ni mzee alafu mnoko balaa! Yule ticha akaja darasani nikaitwa mbele ya darasa.
Nlitandikwa fimbo za nguvu kama tatu hivi, sasa ile kunyanyuka nikakae, nilijamba kwa nguvu balaa yan darasa zima walisikia, yaani hata sijui nlijiachiaje nikashindwa kubana. Wanafunzi darasni walicheka sana, kutwa nzima hapo shuleni stori ilikuwa hiyo tu!
Dah, nlijisikia aibu sana ukizingatia kipindi kile mwanafunzi wa darasa la pili tulikuwa wakubwa,,hicho kitu mpaka leo huwa sisahau!
Basi nawe tiririka sitasahau yako!!
Mi sintosahau nikiwa mdogo siku nimepanga kutoa sadaka kanisani sh 10 nikajikuta nimetoa sh 200 ambayo ndo ilikua hela ya kulia maandazi nikitoka church...nimeenda kwenye maandazi najikuta na sh 10 sikuamini
Henzi za mushi nami umenikumbusha rafiki Yangu Mashaka chande T 1 Sijui yuko Wapi sasa enzi usiseme Tambaza bi balaa Konda akiona uniform anashuka mwenyewe.Tambaza ipi? Ya mushi 1993 na savimbi teacher wa chemistry. Enzi za kina puzza ---- 007, fungus, elison mahabusu aliyetabiri kifo chake. Hii itakuwa kipindi kile cha gemu ya mgulani na tambaza. Rest in peace konda.