Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
HayakuhusuKwani li lazima uchangie kila post? Hebu toa upumbavu wako
HayakuhusuKwani li lazima uchangie kila post? Hebu toa upumbavu wako
Hayakuhusu
Unajua tatizo sana kuwa na watu wenye fikra sawa kumbukeni vidole havilingani na hata ukiwa na watoto hawatalingana tabia jifunzeni kuishi na kila aina ya watu msipende kina ndio mzee ili chama kipate ustawiPuppet wa ccm huyu mzee, Ndio maana wenje alimwambia ni mlafi wa nyama...Chadema inabidi wa mteme.
Unajua tatizo sana kuwa na watu wenye fikra sawa kumbukeni vidole havilingani na hata ukiwa na watoto hawatalingana tabia jifunzeni kuishi na kila aina ya watu msipende kina ndio mzee ili chama kipate ustawi
Kuna kaukweli kidogo the the the read btn the lines esp kwenye hii thread halafu utaona maamuzi ya chama yatazingatia hoja za hapa jf.Jf ni ya chadema.-msekwa
Kweli wewe ni sokomoko haswa.Unajua tatizo sana kuwa na watu wenye fikra sawa kumbukeni vidole havilingani na hata ukiwa na watoto hawatalingana tabia jifunzeni kuishi na kila aina ya watu msipende kina ndio mzee ili chama kipate ustawi
Unajua kuna kaugonjwa ka uzuzu humu jf yaani mtu anasema malaya kapiga vigelegele huyu mtu kafikiri kabla ya kuandika? Ila mie ndio sijafikiri kweli upofu sio wa macho na kupenda kubaya sana fungueni macho mpo ulimwengu gani nyie?Umefikiria kweli! Ama umeamua kuandika tu
Mwakyembe na Sitta CDM si mnajua wanavyopambana na ufisadi kama CDM!hoja za shibuda ziko kimagamba zaidi
Shibuda anacheza na akili za kisasa, CDM si ya kuchezewa, amulize Zitto, siku hizi ananidhamu kwani aliona anaweza kupoteza maana nje ya CDM. Shibuda akirudi CCM hawezi kushinda kama nafikiri hivyo anajidanganya.
ujila wa mwiha.