ansema uzalendo na utiifu ni kitu cha kuwekwa kipaumbele. anampa sapoti lowasa kuwa kweli maamuzi magumu hayafanywi..kabla ya hapo alimshukuru mbowe na Vviongozi wa chama
anasema mwanasiasa akistaafu anakuwa hohehae..so serikali iwaangalie!..anasema huo ujira wa mwiha uwepo ili wachangie misiba,kuchangia majeneza,harusi etc.. anasema posho iongezwe na isifutwe ikiwezekana iwe laki tano
Mbunge Shibuda anasema posho ni haki ya mbunge na inaitwa "UJIRA WA MWIHA" na anasema hautoshi na uongezwe hadi laki tano, kuna mbunge kapiga vigelegele kushangilia..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.