Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Hamkujua kuwa kandambuili sio kiatu! Unajua mliposhangilia kupokea mapumba kutoka ccm hamkujua kuwa zipo za mahidi "slaa" atlist zitalika na nyingine ni za mchele. Hii analysis itawafurahisha sana vijana.ninaamini chadema wamepata funzo tosha toka kwa huyu kichaa,wakiendelea kupokea watu kutoka ccm ndio matokeo yakenafikiri mabadiliko yeu yatachukua safari ndefu zaidi