John Shibuda: Niko njiani kuja kuunga mkono maandamano ya Chadema 24/1/2024

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
 
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
Shibuda ana akili sana.
ameongea kwa hekima. kubwa sana haya mazonge yanayoendelea...

Wananchi tuchapishe Tshirts kulaani Udikteta na ubakaji wa Katiba unaofanywa na CCM
 
Chalamila amejibiwa Kwa mafuriko dar ahangaike nayo.

Maandamano ya Amani Yako pale pale.
Mkuu wa Mkoa mhitimu wa sheria Tumaini University anaishia kutuma askari na risasi za moto kwenda kuwasaka madada wanaojiuza miili yao.

Yeye naona ukahaba ndiyo changamoto kubwa ya Dar. Issues za umeme, maji, uchafu uliokithiri, miundombinu na uhalifu siyo ishu kabisa.

Mshamba sana
 
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
Huyu nakumbuka siku moja alipewa na jpm nafasi ya kuongea na wananchi akaanza kuongea kisukuma mwanzo hadi mwisho. Huyu naye ni tatizo mojawapo.
 
Mpeni Maua yake Shibuda.
Nami nipo njiani kutokea Dodoma. Sitaki niyakose maandamano. Hatuna wawakilishi lazima tujiwakilishe.

Ikiisha ratiba ya maandamano tarehe 24 Dar, tupate ratiba ya Mbeya. Halafu ije ya Mwanza.

Maandamano yasifanywe kama fashion bali yafanyike mpaka tuhakikishe sheria za kidikteta zinafutwa, na sheria rafiki kwa demokrasia na maendeleo ndizo zinazoongoza Taifa.
 
Kaandamane sebuleni kwako au chumbani kwako na mkeo au mumeo
Wewe ni nani wa kuwapangia wengine wapi pa kuandamania? Ni hivi, chawa ninyi mnajipa mamlaka makubwa kuliko yaliyotambuliwa na katiba ya jmt kuhusu haki ya maandamano na taratibu zake kisheria. Huku kujipa mamlaka msiyokuwa nayo mtaipekeka nchi hii kusikotakiwa kwani mnachezea hisia za watu ambao mnajua kuwa uvumilivu wao una ukomo.
Watu wataandamana na hakuna kitu mnaweza wafanya kwani hawaelekei magogoni bali ofisi za UN ambazo siyo zenu!
 
Back
Top Bottom