GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Mkuu, mbona umesoma hii habari na ukakimbilia kuanzisha thread nyingine kumbe hata kuelewa hujaelewa!!!
Mkuu hii ni update ya Thread yangu, tazama muda wa thread ndo ujue tunachokipigia kelele haya ndio marejesho ya viongozi japo tumetahadharisha maamuzi ya kukurupuka hayatakuwa suluhisho.
Tunahitaji kujipanga hapa, kumbuka idadi kule bungeni kujenga upinzani inahusika hasa kwa hiyo kuna umuhimu wa kuchanga mawazo mema ili kuuhadharisha uongozi wetu pia na si malumbano.