Ni sahihi Bajeti ya Matumizi kuwa kubwa kuliko ya Maendeleo kwa Bajeti inayokuja 2024/2025

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,161
1,493
Mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa Fedha unaokuja 2024/2025 ni kuwa bajeti ya Matumizi ya Kawaida kufikia ukomo wa Shilingi tilioni 33 na bajeti ya Maendeleo kufikia ukomo wa tilioni 15.

Sababu zinazofanya bajeti ya matumizi ya kawaida iwe kubwa.

1. Uchaguzi wa Serikali za Mtaa unaofanyika mwaka huu. Ili kila Mtanzania apate haki yake ya Kikatiba fedha zinahitajika kufanikisha zoezi hili katika mandalizi.

2. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Asilimia 95 ya mandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 maandalizi yanabebwa na Bajeti ya 2024/2025.

3. Maono na Mtazamo wa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan kupunguza mikopo ya nje na ndani na kuongeza jitihada za kulipa madeni ambayo Taifa linadaiwa (madeni haya ni ya kuanzia awamu zilizopita).

4. Kwa kuwa Tanzania tunategemea pia kuwa mwenyeji wa AFCON, ukiachana na Fedha za Maendeleo za ujenzi wa Viwanja etc..ili kufanikisha jambo hili maandalizi yake yataanza mapema sana ambapo ni lazima Serikali itenge fedha ya matumizi ya kawaida kwa ajili ya hili.

N.B Ni muda sahihi sasa kwa Wizara ya Michezo kuhamasisha wawekezaji binafsi kuwekeza kwenye Viwanja vya mpira hata kama ni kwa kuweka punguzo zaidi na msamaha wa kodi katika hili.

5. Itaendelea.

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
 
Ni jambo la ajabu ambalo tumeliweka kuwa la kawaida.

Just imagine that, wananchi wameiweka serikali ili iwatumikie, mwisho wa siku ni wananchi ndio wanaitumikia serikali. Unakamuliwa kodi kibao ili kufadhili anasa za viongozi wa nchi!!

Tungekuwa serious nchi hii mapinduzi yangeshafanyika awamu ya pili kisha tungeanza upya na Jamhuri ambayo wananchi wana sauti.

Lakini mambo haya yanaendelea kuwepo kwakuwa watz hawajali na wamaridhika na hali waliyonayo.
 
Mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa Fedha unaokuja 2024/2025 ni kuwa bajeti ya Matumizi ya Kawaida kufikia ukomo wa Shilingi tilioni 33 na bajeti ya Maendeleo kufikia ukomo wa tilioni 15.

Sababu zinazofanya bajeti ya matumizi ya kawaida iwe kubwa.

1. Uchaguzi wa Serikali za Mtaa unaofanyika mwaka huu. Ili kila Mtanzania apate haki yake ya Kikatiba fedha zinahitajika kufanikisha zoezi hili katika mandalizi.

2. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Asilimia 95 ya mandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 maandalizi yanabebwa na Bajeti ya 2024/2025.

3. Maono na Mtazamo wa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan kupunguza mikopo ya nje na ndani na kuongeza jitihada za kulipa madeni ambayo Taifa linadaiwa (madeni haya ni ya kuanzia awamu zilizopita).

4. Kwa kuwa Tanzania tunategemea pia kuwa mwenyeji wa AFCON, ukiachana na Fedha za Maendeleo za ujenzi wa Viwanja etc..ili kufanikisha jambo hili maandalizi yake yataanza mapema sana ambapo ni lazima Serikali itenge fedha ya matumizi ya kawaida kwa ajili ya hili.

N.B Ni muda sahihi sasa kwa Wizara ya Michezo kuhamasisha wawekezaji binafsi kuwekeza kwenye Viwanja vya mpira hata kama ni kwa kuweka punguzo zaidi na msamaha wa kodi katika hili.

5. Itaendelea.

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
1)Matumizi ya kawaida nje ya mishahara instakiwa kuwa asilimia 20%
2)mishahara asilimia 20%
3)maendeleo asilimia 40%
4)mikopo kwa wananchi inatakiwa kuwa asilimia 10%
5)mengineyo 10%
Kinyume na hivi nchi za africa kupata maendeleo itakuwa ndoto.
 
1)Matumizi ya kawaida nje ya mishahara instakiwa kuwa asilimia 20%
2)mishahara asilimia 20%
3)maendeleo asilimia 40%
4)mikopo kwa wananchi inatakiwa kuwa asilimia 10%
5)mengineyo 10%
Kinyume na hivi nchi za africa kupata maendeleo itakuwa ndoto.
No rahisi kupanga kwa asilimia, lakin jua kuna vitu havipangiki hivyo,
Mfano mishahara inakula karibia 40% ya bajet yetu, na hii mishahara ni kitu ambacho ni constant huwez punguza unless ushushe mishahara ya raia,

Hata kwenye familia maskini, % kubwa ya kipato hutumika kufanyia basic mahitaji kama chakula na mavazi, same kwa taifa masikin
 
Mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa Fedha unaokuja 2024/2025 ni kuwa bajeti ya Matumizi ya Kawaida kufikia ukomo wa Shilingi tilioni 33 na bajeti ya Maendeleo kufikia ukomo wa tilioni 15.

Sababu zinazofanya bajeti ya matumizi ya kawaida iwe kubwa.

1. Uchaguzi wa Serikali za Mtaa unaofanyika mwaka huu. Ili kila Mtanzania apate haki yake ya Kikatiba fedha zinahitajika kufanikisha zoezi hili katika mandalizi.

2. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Asilimia 95 ya mandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 maandalizi yanabebwa na Bajeti ya 2024/2025.

3. Maono na Mtazamo wa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan kupunguza mikopo ya nje na ndani na kuongeza jitihada za kulipa madeni ambayo Taifa linadaiwa (madeni haya ni ya kuanzia awamu zilizopita).

4. Kwa kuwa Tanzania tunategemea pia kuwa mwenyeji wa AFCON, ukiachana na Fedha za Maendeleo za ujenzi wa Viwanja etc..ili kufanikisha jambo hili maandalizi yake yataanza mapema sana ambapo ni lazima Serikali itenge fedha ya matumizi ya kawaida kwa ajili ya hili.

N.B Ni muda sahihi sasa kwa Wizara ya Michezo kuhamasisha wawekezaji binafsi kuwekeza kwenye Viwanja vya mpira hata kama ni kwa kuweka punguzo zaidi na msamaha wa kodi katika hili.

5. Itaendelea.

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Kwani viwanja vinajengwa na bajeti ipi?bajeti ya kawaida imekuwa kubwa kwa ajili ya rushwa ya uchaguzi.Wamewadhulumu pension zao wafanyakazi ili hizo pesa wazitumie kwenye kampeni.nawasikitikia sana walimu sababu kama hawakujiandaa wakiwa kazini wataenda kuokota Makopo mtaani.wanaacha kuongeza pensheni kwa wastaafu wanaongeza bajeti ya rushwa.hii nchi ni ya ajabu sana.ila mkuu bajeti ya mwaka huu ulimi wake si tuliomo 49.34 au?
 
Ni jambo la ajabu ambalo tumeliweka kuwa la kawaida.

Just imagine that, wananchi wameiweka serikali ili iwatumikie, mwisho wa siku ni wananchi ndio wanaitumikia serikali. Unakamuliwa kodi kibao ili kufadhili anasa za viongozi wa nchi!!

Tungekuwa serious nchi hii mapinduzi yangeshafanyika awamu ya pili kisha tungeanza upya na Jamhuri ambayo wananchi wana sauti.

Lakini mambo haya yanaendelea kuwepo kwakuwa watz hawajali na wamaridhika na hali waliyonayo.
Haiti
 
Mkuu Mzalendo Uchwara kufanya uchaguzi sio anasa, kulipa madeni sio anasa.
Uchaguzi ni anasa na hauna maana yoyote kwa Tz bali ni kutimiza wajibu tu.pesa za uchaguzi ni za kuwahonga wapiga kura mkuu au hukumsikia mzee wa mapesa?kasema kama huna pesa usiende kwenye siasa na ukiona mwanasiasa anaukwasi ujue huyo ni mwizi.
 
No rahisi kupanga kwa asilimia, lakin jua kuna vitu havipangiki hivyo,
Mfano mishahara inakula karibia 40% ya bajet yetu, na hii mishahara ni kitu ambacho ni constant huwez punguza unless ushushe mishahara ya raia,

Hata kwenye familia maskini, % kubwa ya kipato hutumika kufanyia basic mahitaji kama chakula na mavazi, same kwa taifa masikin
Mara ya mwisho kutumia akili ilikuwa lini....jibu lako linaonyesha uwezo mdogo wa kutumia akili ...kitu kinacho tskiwa kufanyika ni bidii ya kazi ili hiyo asilimia 20 iwe powerful kama una ajiri wafanyakazi wasipo kuwa na uwiano wa tija matokeo yake ndiyo hayo...mtajikuta mnakamua wananchi kulipa kodi ili zitumike kulipana mishahara badala ya kuleta maendeleo....
Jifunze maana ya asilimia ni nini? Asilimia 20 inaweza kuwa ni pesa nyingi kuliko asilimia 40 tumia akili akili akili akili
 
Kabla ya kuhoji hivyo, uliza kwamba walipa kodi ni wangapi na wasiolipa ni wangapi, na hao wasiolipa nani anagharamia maisha yao, walipa kodi hawazidi asilimia 20, wale themanini?
 
Kabla ya kuhoji hivyo, uliza kwamba walipa kodi ni wangapi na wasiolipa ni wangapi, na hao wasiolipa nani anagharamia maisha yao, walipa kodi hawazidi asilimia 20, wale themanini?
Tumia akili hakuna asiye lipa kodi hata ukinunua soda au bia au maji au chakula ndani yake kuna kodi
 
No rahisi kupanga kwa asilimia, lakin jua kuna vitu havipangiki hivyo,
Mfano mishahara inakula karibia 40% ya bajet yetu, na hii mishahara ni kitu ambacho ni constant huwez punguza unless ushushe mishahara ya raia,

Hata kwenye familia maskini, % kubwa ya kipato hutumika kufanyia basic mahitaji kama chakula na mavazi, same kwa taifa masikin
Namba 5 alijaribu kwa kutokuajiri, kutoongeza mishahara na kwa kuondoa nyongeza ya mwaka kwa miaka mitano, ili matumizi ya mishahara yapungue.
 
Back
Top Bottom