Na hii ndo njia nzuri ya kutatua mgogoro huu!!!! Siyo kusikiliza serikali hii tata ambayo kila kukicha wanatoka na empty promises. Waje na open debate kati wa Madaktari na hiyo serikali!!!Mnyika kaomba kwanini tunasikiliza upande mmoja tu wa serikali mbona kamati ya bunge na madaktari hawasikilizwi?
Umenena haswamimi sio mtabiri ila nasema kwamba kauli iliyotolewa na waziri mkuu wa serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya mgoma wa madaktari katika chombo kikubwa cha nchi yaani Bunge itapelekea hitimisho la kuanguka kwa serikali serikari ya CCM. Nasema asante Pinda kwa kutusaidia kuiondoa hii serikali mapema.