Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,604
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same, but not done the same, I would have done something worthwhile but not maandamano!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm, tena usikute yeye kwa intellect yake, japo ndie aliyeongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha miswada hiyo lazima ukakuta yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi una ubatili ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote mule akiwemo AG, aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!, hivyo mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria kwenye vipengele vya miswada mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, ya Rais Samia, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa sio yeye, bali waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect yake Rais Samia kumsokomezea ubatili tena, ikapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo kwa vile iko kwenye katiba yetu!, then ni batili halali!. Kisheria, batili ni batili, hata ikichomekewa kwenye katiba kiubatili, bado inabaki ni batili, na badala ya kuihalalisha haramu kwa kuichomekea kwenye katiba, haramu hiyo inaiharimisha katiba na kuibatilisha katiba kwa kuifanya kuwa na unajisi!.

Mimi naamini kabisa kwa haya yanayofanyika kuhusu Muswada huu, huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada wenye ubatili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT na kuathiri ibara ya 5, ibara ya 21, ibara ya 39 na ibara ya 67.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ina ubatili, uliochomekewa kiubatili na awamu zilizopita na Bunge lilolopita unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5, ibara 21, ibara ya 39 na ibara ya 67 za Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasishaji na uelimishaji umma wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, 2021, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili la katiba, sheria na haki zaidi ya mara 100!,
  1. Samia tumaini jipya Tanzania: The Economist baada ya kumsakama sana Magufuli, sasa angalau lina matumaini na Samia, laanza naye vizuri
  2. Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!
  3. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?
  4. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
  5. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
  6. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  7. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  8. Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
  9. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...
  10. TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?
  11. Usiyoyajua Kuhusu Samia UN: Kumbe alitaka kuhutubia Kiswahili! Baada ya Kiswahili kuwa Lugha ya Afrika, Rais Samia kukipaisha kuwa Lugha ya Dunia
  12. Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
  13. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
  14. Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere?
  15. Mwaka 2021 ulikuwa ni Mwaka wa Majanga kwa Tanzania. Mwaka 2022 uwe Mwaka wa Mabadiliko, Watanzania tubadilike! Happy New Year!
  16. Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
  17. Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
  18. Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?
  19. https://www.jamiiforums.com/threads...ight-the-boss-is-right-prof-is-right.1935511/
  20. Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
  21. Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
  22. Serikali inapokosolewa kwa Constructive Criticism, je, Ifuate Ushauri? Hongera Bunge letu tukufu kufuata ushauri na kutuondolea ubatili huu
  23. Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!
  24. Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
  25. Kutotambua Matokeo ni Kutomtambua Rais, Serikali na Bunge. Rais Akiishaapishwa ni Rais! Tutaendelea kuruhusu hali hii Mpaka Lini?
  26. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
  27. Kauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!.
  28. Uhuru wa Habari Tanzania: Kati ya Waparaji na Wakunaji Wazuri, Nani Watamsaidia Zaidi Rais Samia?. Tunakuomba Mama, Usiwaparure Waparaji!.
  29. Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!
  30. Haki Huinua Taifa! Rais Samia kwa Kauli na Matendo ameonesha ni mtu wa Haki. Akitekeleza hili kama alivyosema, atabarikiwa, Tanzania itabarikiwa
  31. Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!
  32. Mgombea Kudhaminiwa na Chama ni Ubatili Uliochomekwa Kiubatili na Bunge Letu Ndani ya Katiba Yetu!. Tuache Ubatili Huu Uendelee Ndani ya Katiba Yetu?
  33. Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?
  34. Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.
  35. Kwa Kauli Hii, Rais Samia atabarikiwa sana kuliko Rais mwingine yeyote! Huu ni wema mkubwa kabisa kuwahi kuwa Rais yeyote ukimuondoa Nyerere
  36. Je, jicho la Rais Samia litauangazia Ubatili huu ndani ya Katiba yetu unaopora Haki ya Msingi, uliochomekewa kibatili ili kuuhalalisha?
  37. Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
  38. "Tusitumie Kunyenyeza na Kutetema", Ila "Kama Kunyenyeza na Kutetema Kunasaidia, Tutumie...
  39. Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP!
  40. Lile "jicho ona", limeona si vema Jeshi la Polisi kuwa sponsored! Sponsors wakifanya makosa, polisi atapat kigugumizi! Vipi sisi media na sponsors?
  41. Wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni Mungu pekee!
  42. Just Imagine Umepokea SMS hii "Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha ...."- Ungemjibu nini?
  43. "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
  44. Reading in between the lines & listening in between the words. Ikitokea kuna kitu amekinoti lakini hakukisema, ukikijua kuna ubaya tumseme?
  45. Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
  46. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
  47. Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
  48. Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...
  49. Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa!
  50. Japo Uchaguzi wa 2020 ni Uchaguzi halali, Ushindi wa Kishindo wa CCM ni halali? Wapinzani ni Wameshindwa Kihalali au Wamedhulumiwa kwa Figisu?
  51. Kumuenzi Baba wa Taifa: CCM, Serikali, Viongozi na Watanzania kwa Ujumla. Je, tunamuenzi kwa Mawazo, Maneno na kwa Vitendo? Tunamuishi?
  52. Mke kuomba ruhusa kwa mume ili kusafiri, hata safari za kikazi - imekaaje? Mama Salma Kikwete huwa anaomba ruhusa! Je, Boss Ladies wanaomba ruhusa?
  53. Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
  54. Je, tutumie Msiba wa Malkia kama darasa somo la Organization, Simplicity, Humility na Humbleness au tukomae na misafara yetu na ubosi wetu?
  55. Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?
  56. Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
  57. Ajabu Hii ya Haki Iliyotolewa na Ibara Moja ya Katiba, Kuporwa na Ibara Nyingine, Ilifanyika Vipi Huku Tuna Washeria Manguli, Wabobezi na Wabobevu?
  58. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
  59. Amri Kuu Kuliko Zote ni Upendo! Mpende Mungu, Ipende Nchi, Wapende Viongozi, Mpende Jirani Yako Kama Nafsi Yako!. Jirani yako ni Nani?, Unampenda?
  60. Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa
  61. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?
  62. Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
  63. Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
  64. Miaka 61 ya Uhuru: Japo Tumefanikiwa sana kielimu, shule, vyuo na wasomi (Madaktari na Maprofesa kibao), mbona bado adui ujinga yupo? Tunakwama wapi?
  65. Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!
  66. Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?
  67. Baada ya Marais 5 Wanaume, Samia ndiye 'Kifungua Mimba' cha Rais Mwanamke! Mnaonaje Akifuatiwa na Marais Wanawake 5 Ndipo Aje Tena Rais Mwanaume?
  68. Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
  69. Wanawake Wana Akili Kuliko Wanaume? Hata kwenye Siasa na Uongozi, Wanawake Wameonyesha Uwezo Kuliko Wanaume
  70. Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake
  71. Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
  72. Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ...
  73. Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?
  74. Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi?
  75. Je, Wajua? Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa? Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi
  76. Je, Wajua, kuna 2 Types of Leaders. Born Leaders na Manmade Leaders. Je, Wajua tutamfaidi zaidi Rais Samia 2025-30 kuliko sasa?
  77. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!I
  78. Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.
  79. DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?
  80. Katiba mbovu, sheria mbovu, mikataba mibovu. Leo tumetozwa zaidi ya Tsh. Bilioni 260. Kufanywa kichwa cha Mwendawazimu hadi lini?
  81. Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do
  82. Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!
  83. Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
  84. Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya?
  85. https://www.jamiiforums.com/threads/watanzania-ni-watu-wa-ajabu-wanapigiaje-kelele-jambo-dogo-la-bandari-lakini-mambo-muhimu-ya-msingi-kama-katiba-na-uhuru-wao-wapo-kimya.2111266/
  86. Wosia wa Le Mutuz: CCM/Serikali Imejisahau Haisikilizi, Ikosolewe. Wabunge Wasisifu Viongozi kwa Kutimiza Wajibu Wao. Upinzani Sio Uadui, JF Keep Up!
  87. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?
  88. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.
  89. Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!
  90. Juma Duni "Babu Duni" Mwenyekiti, ACT Wazalendo; ACT Tumefarijika Sana na Rais Samia Kubadili Sheria, Tunaomba Ratiba ya Utekelezaji
  91. Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"
  92. JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini
  93. Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?
  94. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama?
  95. Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo
  96. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!
  97. Wajua japo Rais ni sehemu ya Bunge, bado hana mamlaka ya kuliingilia Bunge? Ili kufuta IGA ya DPW, Rais anapaswa kulivunja Bunge?
  98. Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja?
  99. Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1
  100. Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.
  101. Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.
  102. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.
  103. Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii
  104. Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?
  105. Licha ya Mapungufu, Sheria Mpya ya Uchaguzi Pia ina Mazuri Yake!, Imerejesha Mamlaka ya Uchaguzi kwa Wananchi, Hakuna Kupita Bila Kupingwa!.
  106. Ili kuisaidia nchi na kumsaidia Rais Samia, je tumfanyie an honest MTR based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo to determine tunapokwenda?
  107. Tuombe Mwaka 2024 Uwe ni Mwaka wa Mageuzi ya Kweli ya Kidemokrasia ya Kweli Tanzania!, Tume Huru, Uchaguzi Huru na wa Haki!. Happy New Year!
  108. Kufanya Kosa, Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa!. Sheria ya Uchaguzi ni Kosa!, Kwanini Tunarudia Kosa?!. Haki Sii Hisani ni Stahiki!. Bunge Tutendeeni Haki!
  109. Rais Samia Japo Si Mwanasheria, Lakini Anaijua Katiba ni Sheria Mama Yenye Haki Zote Ndani ya JMT. Je Aruhusu Haki Hizi Ziporwe Tena? Au, Azirejeshe?.
Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.
 
Mbowe ana shinikizo kubwa kutoka ndani ya chama kwa baadhi ya wahafidhina kuonyesha kumpuuza na kutaka kumpa nguvu mropokaji hivyo ,mbowe ameyasema aliyo yasema si kwa utashi wake ,nafsi yake haitaki kabisa. wacha tuone mwisho wa maandamano je wataitwa ikulu ndicho wanacho subiri!
 
Mimi nadhani Rais ndio anajuta kumwamini Mbowe

Mbowe alimtoa Dr Slaa bungeni Ili agombee Urais na Kikwete Katikati ya misimu miwili ya JK na ulipofika wakati sahihi wa Dr Slaa kugombea na Mgombea mpya wa CCM 2015 Mbowe akamleta mzee mwenzake wa Kanisa Edward na kumtupa Kule Dr Slaa
Sasa Ndio Rais wa JMT amuamini Kinyonga wa aina hii?!!

Mlale Unono 😄
 
Samia asingekuwa na ndimi mbili asingeshindwa kufanya haya.

1. Angerudisha pesa za plea bargain alizokiri zilifichwa uchina.

2. Waliotajwa walichezesha invoice ya malipo kwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL kwa madai ya kuchelewa vifaa sabab ya covid 19 angewachukulia hatua.

3.Samia alikubali kuendelea na ex-DPP Biswalo Mganga huyu mtu ni very corrupt madili aliyocheza enzi za Magufuli yalipaswa awe mtu wa kwanza kuburuzwa kortini ila akaishia kupewa ujaji.

4.Wezi wote na watu waliofilisiwa mali zao japo walilipwa ila sio wote kuna waliobaki na maumivu ya utawala ambao Samia alikuwa sehemu yake.
 
Mbowe kaingia kwenye mtego WA maadui wa Samia halafu anakuja kumlaumu Samia?

Sio yeye aliepewa "agenda ya bandari za watanganyika" akaibeba Kwa mikono miwili?

Yeye alifikiri waliompa hiyo agenda Wana plan gani?..hajui plan ilikuwa kumuweka mbali kabisa na Rais Samia na wamefanikiwa?..

Yeye Mbowe aliposema eti usalama wa Taifa wamemuelekeza apiganie "bandari za watanganyika" hakujiuliza hao usalama wa Taifa walikuwa wapi wakati Ben Saanane anapotea?walimueleza hata alipozikwa?...

Sasa why maandamano? Why asisubiri maelekezo mengine ya hao alio claim ni "usalama wa Taifa"...?
Binafsi nilishasema humu wameacha agenda Yao ya Kariba mpya na maridhiano...wakadaka agenda za "kundi lenye agenda zake"...wakakubali kugeuzwa "pressure group""...

Mbowe alikaa kimya hata wakati Tundu Lissu anamtukana hadharani Samia.....kumbe yote hiyo ni agenda za watu....wametumika now hakuna wa kuwasililiza...wanataka kujaribu maandamano knowingly very well hakuna watakachopata.....siasa za kuwa pressure group zilishafeli....
 
Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.
Rais wa nchi hapaswi kujua kila kitu, anapaswa kujua akitaka kujua afanye nini. Rais ana nguvu za kuteua Washauri , maafisa na Watendaji wa kumsaidia. Kazi ya Rais ni kuratibu (organization) na ujumuishi (harmonization) ya shughuli ili kutoa majibu. Hatuwezi kumpa 'pass' kwa 'flimsy excuse'

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure
Nakubaliana nawe kwamba ni kumuonea Rais SSH kwasababu hizi .
Mbowe alijua CCM hawajawahi kuwa na ni njema hata kwa bahati mbaya.

Mbowe akatoa 'turufu' ya negotiation bure kwa SSS, kumpa nafasi ya kupoteza muda, ambayo SSH ameitumia.

Mbowe hakusikiliza Jamii inamwambia nini na kukaidi 'vox populi vox dei'

Mbowe akaingia katika maridhiano na ' ku-ignore history' ambayo leo inamuonyesha ukweli

Mbowe akaingia katika maridhiano bila ''bargaining chip' wakati akiwa na upper hand. ''Akauza ghala la silaha''

Kumalumu SSH kwa ujinga ni kosa, siasa ni kama mchezo wa soccer.
Mpinzania ana score ukifanya kosa. Kawaulize Simba SC walipocheza na Singida.

Mbowe alicheza fyongo SSH akatumia mwanya! asilaumiwe.
Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.Hili ni jambo lenye chembe za siasa lakini si issue ya kisiasa. Tupo Wananchi tunaojali nchi kuliko vyama vya siasa.
Katiba ni mwongozo wetu sote, Wazalendo, Raia wema, majambazi, panya road, Dada Poa, Mama Ntilie, Vigagula , watoa majini, wauza maji , Nagariba, Wakeketaji n.k. Kulifanya jambo hili ni la kisiasa si kuwatende haki Wananchi.

Kwa nchi za wenzetu mbona vumbi lingeshatimka kuanzia siku Warioba amefikisha maoni yetu?

Rais SSH atumie 'ujinga' wa Watanzania kuwasikiliza maana ipo siku wakiamua hatakuwa na nafasi.

Hili la Maandamano lilikuwa lifanyike miaka mingi iliyopjta. Haki haiombwi, inadaiwa.

Kama kuna anayedhani Katiba haimhusu, basi asubiri maumivu kwa miaka mingi.
 
Baada ya kusikiliza michango yako na ibara za katiba unazodai zimepokwa haki na sheria ya uchaguzi kwa wagombea huru sio lazima wawe na chama.

F6C28F27-F351-485B-B492-501668CCB511.jpeg

Ibara ya 5 unayo refer aina literal ambiguity zozote, hakuna mahala inaongelea wagombea isipokuwa haki za kupiga kura tu. Moreover imeacha nafasi ya hizo haki hizo kanuni zake kutungiwa sheria na bunge.

Kwa hivyo hata kama ibara ya 5 ingekuwa inaongelea haki za kugombea (kitu ambacho sio sahihi kama unavyodai) bado katiba imetaja tu mtu huyo awe na miaka 18, lakini bunge limepewa rungu la kutunga kanuni za ushiriki wake likisema mtu ili agombee lazima apitie chama cha siasa hakuna katiba iliyovunjwa hapo.

FD7F2E6D-0A95-444B-8E97-E5B4B29A1633.jpeg


Ibara ya 21 inaongelea uhuru wa kushiriki shughuli za umma, either kwa kuchaguliwa na wapiga kura, kuteuliwa au kwa ku support mtu (hapo kwenye ku support mtu ndio ibara ya 5 inapoingia) lakini hii ibara aisemi haki ya kuwa na mgombea independent. Imeenda mbele zaidi hata hizo haki zinazotelewa kwenye ibara hazipo juu ya ibara 5, 39 na 67.

32B52182-831F-458F-833C-058A0325DB32.jpeg


Ibara ya 67 ipo wazi ili ugombe nafasi ya ubunge lazima uwe na miaka 21 na kupitia chama cha siasa, hakuna mgombea huru na wala hii ibara aijikanganyi na ibara nyingine yeyote.
Ibara ya 5 inaelezea haki za kupiga kura
Ibara ya 21 inaelezea haki ya kushiriki shughuli za umma bila ya kuathiri ibara 5, 39 na 67 (ambayo inaelezea sifa za mgombea).

Sasa basi hypothetically ingekuwa kweli ibara ya 5 imeelezea haki za kugombea (kitu ambacho sio kweli) wewe kusema waandishi wakatiba walikusudia nini ili kuonyesha ambiguous ndani ya katiba mahakamani ungeombwa upeleke ushahidi wa hansards za michango ya bunge kuonyesha kweli lengo la ibara ya 5 lilikuwa kutoa haki kwa wagombea huru.

Uwezi kutoa tu kichwani kwako kwa sababu umesoma sheria na kudhani hiyo ndio sheria.

Haya ndio mambo Magufuli hakutaka ya kuchekeana na upinzani wao mradi wapinge tu, na kupotezeana muda na hela kwenye kujenga nchi. Hata ukisikiliza hizo za CDM, ACT na wengineo for the most part ni nonsense tupu, ambazo Magufuli hakuwa na muda wa ku-entertain.

Ukiwasikiliza wanasheria wa Tanzania hakuna kesi ya kushinda ulaya, labda yule jamaa au sijui taasisi iliyokuwa na website ya ‘Jaba-Shadrack’ waliobaki hamna kitu.
 
Rais wa nchi hapaswi kujua kila kitu, anapaswa kujua akitaka kujua afanye nini. Rais ana nguvu za kuteua Washauri , maafisa na Watendaji wa kumsaidia. Kazi ya Rais ni kuratibu (organization) na ujumuishi (harmonization) ya shughuli ili kutoa majibu. Hatuwezi kumpa 'pass' kwa 'flimsy excuse'


Nakubaliana nawe kwamba ni kumuonea Rais SSH kwasababu hizi .
Mbowe alijua CCM hawajawahi kuwa na ni njema hata kwa bahati mbaya.

Mbowe akatoa 'turufu' ya negotiation bure kwa SSS, kumpa nafasi ya kupoteza muda, ambayo SSH ameitumia.

Mbowe hakusikiliza Jamii inamwambia nini na kukaidi 'vox populi vox dei'

Mbowe akaingia katika maridhiano na ' ku-ignore history' ambayo leo inamuonyesha ukweli

Mbowe akaingia katika maridhiano bila ''bargaining chip' wakati akiwa na upper hand. ''Akauza ghala la silaha''

Kumalumu SSH kwa ujinga ni kosa, siasa ni kama mchezo wa soccer.
Mpinzania ana score ukifanya kosa. Kawaulize Simba SC walipocheza na Singida.

Mbowe alicheza fyongo SSH akatumia mwanya! asilaumiwe.

Katiba ni mwongozo wetu sote, Wazalendo, Raia wema, majambazi, panya road, Dada Poa, Mama Ntilie, Vigagula , watoa majini, wauza maji , Nagariba, Wakeketaji n.k. Kulifanya jambo hili ni la kisiasa si kuwatende haki Wananchi.

Kwa nchi za wenzetu mbona vumbi lingeshatimka kuanzia siku Warioba amefikisha maoni yetu?

Rais SSH atumie 'ujinga' wa Watanzania kuwasikiliza maana ipo siku wakiamua hatakuwa na nafasi.

Hili la Maandamano lilikuwa lifanyike miaka mingi iliyopjta. Haki haiombwi, inadaiwa.

Kama kuna anayedhani Katiba haimhusu, basi asubiri maumivu kwa miaka mingi.
Is it fair to call Mbowe ‘naive’?

Iweje mbeba maboksi kama mimi ambaye sina elimu yoyote ile niyaone yote haya tangu awali kabisa walipotangaza hayo mazungumzo ya maridhiano halafu yeye Mbowe asiyaone? Yeye ni career politician. Mimi ni mbeba maboksi tu.

I think I have better discernment than he does.

MaCCM wameitawala nchi hii kwa zaidi ya miaka 60! Nadhani kwa mtu yeyote mwenye common sense nzuri, hatopata shida kuwajua hao jamaa jinsi walivyo.
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya sio Rais Samia, naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
-

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Heading yako tu imekaa kipuuzi. Uko upande wa Serikali kupinga maandamano ya amani. No wonder huoni tatizo wanajeshi kutumiwa kwenye siasa za ndani ya Nchi. Ningekuheshimu kama usingekuwa mnafiki.
 
Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.
Utasongaje mbele wakati Samia 4R hazitekelezi ila ni gheresha tu? Think deep, you shuld no think while anticipating to please samia for a nomination!...... unatafuta uteuzi tu. Mtu anakudanganya na wewe unakuwa zuzu eti kuna R4 ambazo ni cosmetic tu na mwenye kuzipendekeza hazitekelezi. Unaona kabisa kuwa huyu anataka kuwatoa kwenye reli..
SWALI: SAMIA ANAONA UGUMU GANI KULETA KATIBA MPYA? KUANDIKA MISWADA KAMA WADAU WALIVYOSHAURI? ANAOGOPA NINI? KUNA MADHARA GANI? Mpelekee maswali hayo akupe majibu utuletee hapa Pascal Mayalla
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya sio Rais Samia, naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
-

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Ninyi watanzania wenyewe kwa ujinga wenu, njaa au unafiki ndio kikwazo cha maendeleo yenu!
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya sio Rais Samia, naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
-

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Mimi mnanishanagaza watu wa Tanzania hii. Sifa nzuri nzuri anayepongezwa ni rais. Mfano utasikia, TRA imevuka lengo la makusanyo. Rais Samia apewe sifa. Mara sijui umeme wa uhakika, rais apewe sifa.
Ila zikika sifa mbaya za serikali mnataka kumtenganisha na sifa hizo. Kwangu ukisema yeye si mwanasheria anaweza kuwa hajui ubatili wa katiba si utetezi maana rais hatutegemei ajue kila kitu ila kazungukwa na wataa ambao inapaswa awatumie.
Mbowe kavuna alichopanda taingia mwanzo yale maridhiano yalikuwa ni janja janja tu.
Maridhiano ilikuwa ni marekebisho ya katiba si kuitwa ikulu upewe fadhila.
Mtu akikupa fadhila kesho anaweza zichukua kama ambavyo wana ccm mnadai kuruhusu mikutano ya kisiasa ni huruma ya rais Samia kwa wapinzani
 
Is it fair to call Mbowe ‘naive’?
No question about it!
Iweje mbeba maboksi kama mimi ambaye sina elimu yoyote ile niyaone yote haya tangu awali kabisa walipotangaza hayo mazungumzo ya maridhiano halafu yeye Mbowe asiyaone? Yeye ni career politician. Mimi ni mbeba maboksi tu.

I think I have better discernment than he does.

MaCCM wameitawala nchi hii kwa zaidi ya miaka 60! Nadhani kwa mtu yeyote mwenye common sense nzuri, hatopata shida kuwajua hao jamaa jinsi walivyo.
Ilikuwa ni ' naivety' wala haikuhitaji 'political savvy'

Mbowe hatumia 'turufu' ku-force CCM badala yake akawa Submissive.

CCM haijawahi kuwa na nia njema, kuna historia ya kutosha nchini ikiwemo ya 'maridhiano' Zanzibar.
Mbowe alishaingia maridhiano 'Mwanza kwa Magufuli' kilichofuata historia.

Kufungwa ilikuwa siasa kwasababu ya nguvu iliyokuwa nyuma ya Mbowe kudai Katiba mpya.

Kikosi kazi kiliundwa ili kupoteza Rasimu ya Warioba na kupoteza habari za CDM.

SSH akajua ili kufanikisha lengo la Kikosi kazi lazima lazima amwachie Mbowe, akamwachia.
Hii ilikuwa turufu ya kwanza kwamba Mbowe na Chadema walikuwa na 'upper hand'

Kitendo cha kumtoa Magereza na kumwita Ikulu ilikuwa kumnyamazisha na kumfanya 'sehemu' ya mchakato.

Mbowe bila kujiuliza akaenda akiwa na kila sababu za kukutana na watu wake kwanza ili kumarisha nguvu.
Mbowe alipaswa kuonyesha ni 'force to reckon with'' hakutumia fursa hiyo, akaamua kuwa submissive

Hakuna mtu aliyekubali kitendo kile, Mbowe akamwaga 'cold water' katika harakati na siasa za nchi.

Haikuhitaji elimu , ujuzi au uzoefu , ilikuwa ni busara tu kuona CCM ni laghai, historia ipo wazi maktaba

Mbowe alipaswa kuweka 'bargaining chip' mezani, hakuweka akaamini 'mama ana nia njema.

Kwanza, ' COVID-19' waondolewe. Pili, mazungumzo kwa 'vipindi vya miezi 3' na utakalezaji wa kila hatua ukamilike kabla ya hatua nyingine.

Mwenyekiti wa CDM hakufanya akaamini nia njema, leo nikimsikia anasema 'hana imani na SSH na CCM' namshangaa, wao wamefanya walichokusudia na kufanikiwa, hawahitaji Imani ya Mbowe.

Cry wolf
 
Back
Top Bottom