ndugu zanguni
hakuna aneunga mkono kupigwa na kuteswa kwa Dr ulimboka! lkn aliefanya hivyo hajulikani. suala la madaktari limekua la kisiasa. siasa ni mchezo mchafu
NIMEJIFUNZA JAMBO MOJA
Nimejifunza kuwa DAKTARI HARUHUSIWI KUGOMA KUTOKANA NA KAZI YAKE INAYOHUSU UHAI. mbona huyu dr ulimboka amekimbizwa mhimbili!!! kwa nini? jibu ni rahisi, KUOKOA MAISHA YAKE. sasa kwa nini wanagoma!? ina maana wantaka watanzania wafe? mboa serikali imetatua maombi yao kwa 70% bado TC SCan pekee na mambo madogo madogo. WANATAKA NIN HAWA MADAKTARI? WANATUMWA NA IFRITI (JINI) YUPI? waziri mkuu amesema bungeni kuwa serikali kesho itatoa msimamo wake.
USHAURI WANGU
Nashauri waziri wa utumishi awafukuze wote ambao HAWATARIPOTI KESHO ASUBUHI KAZINI. tuache kuvuruga nchi yetu yenye amani kwa MAMBO YA UCHU WA MADARAKA
hakuna aneunga mkono kupigwa na kuteswa kwa Dr ulimboka! lkn aliefanya hivyo hajulikani. suala la madaktari limekua la kisiasa. siasa ni mchezo mchafu
NIMEJIFUNZA JAMBO MOJA
Nimejifunza kuwa DAKTARI HARUHUSIWI KUGOMA KUTOKANA NA KAZI YAKE INAYOHUSU UHAI. mbona huyu dr ulimboka amekimbizwa mhimbili!!! kwa nini? jibu ni rahisi, KUOKOA MAISHA YAKE. sasa kwa nini wanagoma!? ina maana wantaka watanzania wafe? mboa serikali imetatua maombi yao kwa 70% bado TC SCan pekee na mambo madogo madogo. WANATAKA NIN HAWA MADAKTARI? WANATUMWA NA IFRITI (JINI) YUPI? waziri mkuu amesema bungeni kuwa serikali kesho itatoa msimamo wake.
USHAURI WANGU
Nashauri waziri wa utumishi awafukuze wote ambao HAWATARIPOTI KESHO ASUBUHI KAZINI. tuache kuvuruga nchi yetu yenye amani kwa MAMBO YA UCHU WA MADARAKA