Hicho nacho ni kipaumbele cha maendeleo ya nchi "Kugawana Samaki"
Hii ni taswira kuwa hata mambo makubwa yanahitaji majadiliano maadam ni ya wote, huwezi juwa mtu anaamuwa kufunga badala ya kula mchana>
Hicho nacho ni kipaumbele cha maendeleo ya nchi "Kugawana Samaki"
,,,,Kama serikali kamilifu,basi ni wajibu wa SMZ kuchukua jukumu lake hilo la kulipia pia GHARAMA za kuwatunza hao samaki kwa mgawano huohuo wa 40%, tatizo hata wakipewa percent hiyo ambayo inatambuliwa kisheria katika jumla ya tani 260 huko za hao samaki,ni mgao mkubwa kwelikweli,hivi na tatizo hili la umeme tutawatunza vipi hao,huyo waziri aache kutuhamishia "goal posts" sasa,tuna tatizo la msingi la umeme zanzibar,Serikali ya SMZ inatusaidia vipi kutoka hapa???
Una mawazo mgando, kwani hao watu/taasisi waliogawiwa samaki si ni sehemu ya Muungano?
Huyu naye kituko tu! Sasa kwani kama aliliona hilo kwa nini asingemwambia kabla ya kutoa maamuzi! Au alikuwa anamtegea akishasema tu na yeye aranduke na maneno yake ili watu wamuone na yeye yupo Khaaaaa aende zake bana
Huu Muungano una kero kweli kweli, ningekuwa na uwezo ningeuvunjilia mbali ili nchi ile cha kwao. Naanza kuona kama vile Mtikila alikuwa sahihi kudai kuwepo kwa taifa la Tanganyika ambayo ingekuwa ni njia nzuri ya kuelekea kuvunja muungano huu.
Baadaye hata Tabora nao watasema ilikuwaje samaki hao waishie Dar tu wakati Tabora nayo ni saehemu ya Tanzania? Hili dai la kutaka mtu atoke Zanzibar aje Dar kujadili swala la matumizi ya samaki wale, kitu ambacho kinaweza kutolewa maamuzi na mtu mmoja kama ilivyotokea ni kuonyesha jinsi gani tunavyopenda kutumia muda na raslimali za serikali vibaya.
NB:
..naona huu Muungano uvunjwe tu, na mashirikiano ya Zenj na Tanganyika yawe kupitia jumuiya ya Afrika Mashariki.
..Tanganyika inabeba mizigo na lawama isizostahili.
..hebu tujiulize gharama za kuhifadhi samaki hao, Zenj imechangia kiasi gani?
Froasty said:Ukivunjwa mie mmoja wa wazanzibari ambae nitapiga bonge la party kusherehekea!
Kumbukeni Tanganyika kuwa wazanzibari hawakutaka muungano from the first place!Ni nyie na Nyerere wenu ndio mulilazimisha na munaoendeleza kutukumbatia, jiulize ni mara ngapi Zanzibar imeshafanya majaribio ya kutaka kujitoa na muungano huu?
Ukizijua ni mara ngapi then utaweza kusema kama Tanganyika inabeba mzigo au Zenji ndio inabeba mizigo...
Mr.Froasty,
..walioushabikia Muungano ni Nyerere na Karume kwasababu ambazo zilikuwa relevant zama hizo. leo hii hakuna sababu zozote zile za msingi za Muungano huu kuendelea kuwepo.
..kwa upande mwingine Wazenj mnatunyonya Watanganyika. hebu chukulia hili suala la hawa samaki. waliokamata hao samaki ni Watanganyika. waliowahifadhi kwa gharama kubwa tu ni Watanganyika. wanaohangaika na kesi mahakamani ni Watanganyika. nyinyi Wazenj mnatokea siku ya mgao tu. tena hata hao samaki wa mgao mnaodai, mnaomba msaidiwe kuwahifadhi.
..hakuna juhudi zozote zilizofanywa na Wazenj kuvunja muungano. sana sana kinachofanyika ni juhudi za kutaka kutunyonya zaidi Watanganyika. juhudi ninazoziona mimi ni za Wazenj ni kupata share kubwa zaidi ktk mambo yetu Watanganyika.
..hata mapato ya dhahabu iliyopatikana Tanganyika mnataka mgaiwe!! lini mmesikia Watanganyika tukiwadai mabungo, mihogo,na karafuu, iliyoko Zenj??
Mr.Froasty,
..kwa upande mwingine, kama mafuta au gesi yakipatikana Kigoma au Mwanza sioni ulazima wa kugawana mafuta hayo baina ya Zenj na Tanganyika. ni kama vile ambavyo karafuu inapatikana Pemba na hakuna Mtanganyika mwenye haki nayo.
..ukweli kwamba hakuna Mzenj anayependa au kuona fahari ya kuwa Mtanzania ni moja ya sababu zinazonisukuma mimi kuamini ni bora Muungano huu uvunjwe. I understand that majority of Zanzibaris would rather be associated with the Arabs. nimeshuhudia kwa macho yangu, Mzenj mweusi kama Jaluo, lakini anausema vibaya Uafrika na Waafrika, na wakati huohuo akiutukuza Uarabu!!
Law of the Sea said:In 1982 a United Nations treaty known as "The Law of the Sea" was presented. It addressed navigational rights, territorial waters limits, exclusive economic zones, fishing, pollution, drilling, mining, conservation and many other aspects of maritime activity. With over 150 nations participating it was the first attempt by the international community to establish a formal agreement on how the seas can be used. It also proposes a logical allocation of ocean resources.
Under the Law of the Sea, each country receives exclusive economic rights to any natural resource that is present on or beneath the sea floor out to a distance of 200 nautical miles (230 miles / 371 kilometers) beyond their natural shorelines.
Yoweri Museveni said:Mwalimu Nyerere and late Mzee Karume, together with the Tanganyika National Union (TANU) and Afro-Shirazi Party (ASP), created Tanzania in 1964. Both of them are now dead. Who is benefiting from the union? It is the Tanzanians of this generation. If Tanganyika and Zanzibar had remained separate, there would be a lot of complications which sometimes we do not think about. Take the example of the exclusive economic zones in the ocean according to the Law of the Sea which is supposed to be 200 Nautical miles. How would Tanganyika and Zanzibar handle that as separate states being so entertwined? The Union of Tanganyika and Zanzibar in 1964 obviated those problems.
..Zanzibar walipewa tani 80 kati ya tani 296 zilizokamatwa. sasa wakadai hiyo siyo asilimia 40 wanayopaswa kugawiwa kama ilivyoelekezwa ktk makubaliano ya muungano.
..sasa hivi serikali ya Muungano imeelekeza kwamba Zanzibar watapewa tani 120 kama walivyodai. hatua za kutekeleza uamuzi huo zimeanza.
..pamoja na kudai hiyo asilimia 40, Zanzibar pia wameomba MSAADA wa kuhifadhi samaki hao kwasababu hawana UMEME.
NB:
..naona huu Muungano uvunjwe tu, na mashirikiano ya Zenj na Tanganyika yawe kupitia jumuiya ya Afrika Mashariki.
..Tanganyika inabeba mizigo na lawama isizostahili.
..hebu tujiulize gharama za kuhifadhi samaki hao, Zenj imechangia kiasi gani?
..Zanzibar walipewa tani 80 kati ya tani 296 zilizokamatwa. sasa wakadai hiyo siyo asilimia 40 wanayopaswa kugawiwa kama ilivyoelekezwa ktk makubaliano ya muungano.
..sasa hivi serikali ya Muungano imeelekeza kwamba Zanzibar watapewa tani 120 kama walivyodai. hatua za kutekeleza uamuzi huo zimeanza.
..pamoja na kudai hiyo asilimia 40, Zanzibar pia wameomba MSAADA wa kuhifadhi samaki hao kwasababu hawana UMEME.
NB:
..naona huu Muungano uvunjwe tu, na mashirikiano ya Zenj na Tanganyika yawe kupitia jumuiya ya Afrika Mashariki.
..Tanganyika inabeba mizigo na lawama isizostahili.
..hebu tujiulize gharama za kuhifadhi samaki hao, Zenj imechangia kiasi gani?
Mr.Froasty,
..walioushabikia Muungano ni Nyerere na Karume kwasababu ambazo zilikuwa relevant zama hizo. leo hii hakuna sababu zozote zile za msingi za Muungano huu kuendelea kuwepo.
..kwa upande mwingine Wazenj mnatunyonya Watanganyika. hebu chukulia hili suala la hawa samaki. waliokamata hao samaki ni Watanganyika. waliowahifadhi kwa gharama kubwa tu ni Watanganyika. wanaohangaika na kesi mahakamani ni Watanganyika. nyinyi Wazenj mnatokea siku ya mgao tu. tena hata hao samaki wa mgao mnaodai, mnaomba msaidiwe kuwahifadhi.
..hakuna juhudi zozote zilizofanywa na Wazenj kuvunja muungano. sana sana kinachofanyika ni juhudi za kutaka kutunyonya zaidi Watanganyika. juhudi ninazoziona mimi ni za Wazenj ni kupata share kubwa zaidi ktk mambo yetu Watanganyika.
..hata mapato ya dhahabu iliyopatikana Tanganyika mnataka mgaiwe!! lini mmesikia Watanganyika tukiwadai mabungo, mihogo,na karafuu, iliyoko Zenj??
Mr.Froasty,
..kuna eneo la bahari ambalo rasilimali zake zinapaswa kugawanywa kwa Zenj na Tanganyika. ukipitia sheria za kimataifa za bahari unaweza kupata ufafanuzi mzuri. kama mafuta, gesi,..yakipatikana ktk eneo hilo basi kuna ulazima wa kugawana.
..kwa upande mwingine, kama mafuta au gesi yakipatikana Kigoma au Mwanza sioni ulazima wa kugawana mafuta hayo baina ya Zenj na Tanganyika. ni kama vile ambavyo karafuu inapatikana Pemba na hakuna Mtanganyika mwenye haki nayo.
..ukweli kwamba hakuna Mzenj anayependa au kuona fahari ya kuwa Mtanzania ni moja ya sababu zinazonisukuma mimi kuamini ni bora Muungano huu uvunjwe. I understand that majority of Zanzibaris would rather be associated with the Arabs. nimeshuhudia kwa macho yangu, Mzenj mweusi kama Jaluo, lakini anausema vibaya Uafrika na Waafrika, na wakati huohuo akiutukuza Uarabu!!
..kuhusu kubakia na jina Tanzania hilo pia siyo wazo baya. Watanganyika kutokana na ukarimu wetu tumewekeza sana ktk jina hili Tanzania. tumemwaga damu chini ya bendera ya Tanzania.
NB:
..hakuna haja ya Jeshi kuhusika ktk kuuvunja Muungano huu. kwa mtizamo wangu Bunge na Baraza la Wawakilishi ndiyo vyombo muafaka vya kushughulikia tatizo hili.