Samaki wa Magufuli wafufua mgogoro wa muungano?

hapana sio utoto wala njaa. kutokana na kumsikiliza bwana hamza waziri wa zanzibar kuna sheria inayozungumzia kuhusu masuali ya bahari kuu ambayo inasema kuwa mgawo wowote wa mali za bahari kuu uwe 40 to 60.

na masuali hayo kwa vile sio mambo ya muungano kwanza ilipaswa mawaziri wawili wa Tanzania yaani Tanganyika na zanzibar wakae waongee ni jinsi gani ya kufanya na sio waziri mmoja ajifanye kuwa ana nguvu za maamuzi dhidi ya mwengine.


nnachokiona ni zanzibar sasa wanatafuta bifu, na hapa wamekamata kipengele cha sheria inayohusiana na bahari kuu.

huu moto naona umeanza kuwaka tena

Nafikiri ingekuwa busara zaidi kama na kwenye utendaji iwe Z:T=40:60, yaani kwenye kuwawinda maharamia na kuwakamata, kwenye kulipia gharama za kuhifadhi yaani $800 kwa tani kwa mwezi yaani Z:T=$320:$480 mara tani 296 mara miezi kumi.
 
Nafikiri ingekuwa busara zaidi kama na kwenye utendaji iwe Z:T=40:60, yaani kwenye kuwawinda maharamia na kuwakamata, kwenye kulipia gharama za kuhifadhi yaani $800 kwa tani kwa mwezi yaani Z:T=$320:$480 mara tani 296 mara miezi kumi.


Tumekuwa tukisema kila siku kuwa huu Muungano ni janja ya kuizuga Zanzibar.
Naomba kujuwa hii Z ni nini? (labda ni Zanzibar) na hii T ni nini? (labda ni Tanzania au ni Tanganyika) Sasa T kama ni Tanzania jee Zanzibar si sehemu ya Tanzania? na T kama ni Tanganyika jee Tanzania iko wapi?
SAsa hayo malipo ya kuhifadhi zimelipwa na nani na aliekamata na kuhifadhi kamtumikia nani, Tanganyika au Tanzania?
 
Nafikiri ingekuwa busara zaidi kama na kwenye utendaji iwe Z:T=40:60, yaani kwenye kuwawinda maharamia na kuwakamata, kwenye kulipia gharama za kuhifadhi yaani $800 kwa tani kwa mwezi yaani Z:T=$320:$480 mara tani 296 mara miezi kumi.

If T is Tanganyika (pure, no contamination of any kind with Zanzibar), then you should make 50:50 for all Union issues that concerns Zanzibar as well.

BUT if its T is Tanzania (contaminated with Zanzibar efforts), then it should be even lower than 40 in terms of costs.Otherwise its double the effort for us in the union matters.Which is probably the case...

All in all, I stand by the union but with heavy updates of its formation.

I want a union that will make it clear on every single ground, what we have united for?Who is dealing with union matters?How all parties of the union contributes towards it?

There is no question, that Tanganyika is bigger than Zanzibar this should have big impact on security costs.We are not interested to make sure that Kagera is not taken by another Iddi Amin, so you have to pay more for the union security forces!!!

But I mean no disrespect for you guys, but Tanganyikans are cowards.Nobody will stand, and face the union problems...I mean nobody including JK.The union should be protected by the constitution of the country.This is not a subject to be included as a political party policy!!!

Can you guys even imagine how its gonna be if every 5 years Tanzania have different formation following a political party policy??

Thats all for today, but you guys should wake up and put smart people in power and not JK who will die protecting those Fisad guys...no question he is also one of them!
 
Mr.Froasty,

..masuala ya 50:50 hayawezekani ktk Muungano wetu. Zanzibar is too small kulinganisha na Tanganyika. wewe mwenyewe umeona ugumu uliopo kama ulivyobainisha ktk suala muhimu kama bajeti ya ulinzi.

..pia si kweli kwamba Watanganyika ni waoga na ndiyo maana hawaupingi muungano huu. the fact ni kwamba Zanzibar ni ndogo mno kiasi kwamba hawana impact kwa maisha ya Mtanganyika wa kawaida.

..Watanganyika tumewahi ku-host wakimbizi ambao idadi yao ni karibu kabisa na population yote ya Wazenj. kwa mtizamo wangu, hata Wazenj wote milioni na ushee wakiamua kuhamia Tanganyika wanaweza kuwa assimilated ktk maeneo mbalimbali bila Watanganyika kujisikia kuwa wako-pressured.

..binafsi nadhani Muungano uvunjwe tu, na kama kuna masuala ambayo tunaingiliana kama hizo rasilimali za baharini, basi sheria za kimataifa zitoe mwongozo. pia tunaweza kuwa na mahusiano na mikataba ya mashirikiano ktk masuala kama biashara etc.
 
..binafsi nadhani Muungano uvunjwe tu, na kama kuna masuala ambayo tunaingiliana kama hizo rasilimali za baharini, basi sheria za kimataifa zitoe mwongozo. pia tunaweza kuwa na mahusiano na mikataba ya mashirikiano ktk masuala kama biashara etc.

Si tatizo kuvunjwa, nashukuru hapo hukutia story ya kuwa ukivunjwa Zenji itasaga mawe kama waziri wako Pinda.

Zanzibar ukivunjwa muungano, ni sawa tuu.The matter of facts from the bottom of my heart will be more than happy to celebrate that dead end of this creepy union.

Kwa upande wenu mukitaka kuvunja ni kuachia demokrasia ikafanya kazi tuu huko visiwani, mukawacha hao CUF wakaingia madarani.Maalim Seif kwa hilo namuamini, ni muda mchache tuu mjadala wa muungano utaanza akiwa rais.

Mjadala ukikwama kwenye meza, watu watagawana mbawa kila mtu aende kivyake vyake.Raia waliovuka mipaka kuenda visiwani au kuja bara, wapewe nafasi ya kuomba uraia mpya na kufanya maamuzi wapi wanataka kuishi.

Happy ending...
 
Mr.Froasty,

..masuala ya 50:50 hayawezekani ktk Muungano wetu. Zanzibar is too small kulinganisha na Tanganyika. wewe mwenyewe umeona ugumu uliopo kama ulivyobainisha ktk suala muhimu kama bajeti ya ulinzi.

..pia si kweli kwamba Watanganyika ni waoga na ndiyo maana hawaupingi muungano huu. the fact ni kwamba Zanzibar ni ndogo mno kiasi kwamba hawana impact kwa maisha ya Mtanganyika wa kawaida.

..Watanganyika tumewahi ku-host wakimbizi ambao idadi yao ni karibu kabisa na population yote ya Wazenj. kwa mtizamo wangu, hata Wazenj wote milioni na ushee wakiamua kuhamia Tanganyika wanaweza kuwa assimilated ktk maeneo mbalimbali bila Watanganyika kujisikia kuwa wako-pressured.

..binafsi nadhani Muungano uvunjwe tu, na kama kuna masuala ambayo tunaingiliana kama hizo rasilimali za baharini, basi sheria za kimataifa zitoe mwongozo. pia tunaweza kuwa na mahusiano na mikataba ya mashirikiano ktk masuala kama biashara etc.


Mimi nakubaliana nawe juu ya mambo mawili. Kwanza Muungano na uvunjwe iwapo lengo la Muungano ni kutowa impact ya population ya sehemu moja kwa nyengine kwa sababu usawa na haki hautopatikana kwa hilo. Millioni ya Zanzibar haina impact kwa Tangamyika lakini robo millioni ya Tanganyika ina impact kwa Zanzibar. Sasa kama Muungano una lengo hilo basi ni mgogoro tu.
La pili hili la kutogawana 50-50 kwa kila kitu pia ni tatizo. Lazima tukubali kuwa huu uwezekano lazima uwe kwa pande zote na wala sio kwa Zanzibar tu. Kwa mfano kwenye madini ni 100-0 na Zanzibar wanyamaze kimya kwa vile madini ni ya Tanganyika. Ama hili la Samaki ambao wamevuliwa sehemu ya Zanzibar na kuna makubaliano basi kwanini kusigawiwe kwa utaratibu uliokubaliwa na kama 50-50 basi iwe hivyo.
 
huge.0.293.JPG


Shoka la kukata na kung'oa muungano lipo?

 
Ninakubaliana nao kuwa walikuwa na haki ya kupewa 40% ya samaki hao lakini hakuna haki isiyokuwa na wajibu na ili wastahili haki hiyo wanapaswa kuchangia 40% ya storage cost na gharama ya kesi. UJUMBE NDIYO HUO SMALL BRO
 
Amueni tuu lakini msikarike tukiwakejeli mtakapo taka kuja tena tgka maana itakuwa kama eac hautokuwa muungano kama sasa.wazee wa busara wameshatangulia mbele ya haki tumebakia sisi 'mwaga ugali nami namwaga mboga'
 
Amueni tuu lakini msikarike tukiwakejeli mtakapo taka kuja tena tgka maana itakuwa kama eac hautokuwa muungano kama sasa.wazee wa busara wameshatangulia mbele ya haki tumebakia sisi 'mwaga ugali nami namwaga mboga'
Kwani aliekwenda kwa mwenzake?Na nani anaendeleza faulu ili kulinda maslahi yak?

Jawabu langu ni Tanganyika, ndio inaendeleza ukoloni na kushindwa kuachia wazanzibari wakafanya maamuzi yao.Bila ya JWTZ, Polisi na Usalama wa Taifa CCM haiwezi kushinda uchaguzi wala kukaa madarakani visiwani humo.

Hao samaki mie nilishauri mukaachiwa mukala tuu....maana kuna habari tayari Tanganyika wameanza kula samaki wasiofaa kuliwa kutoka Yemen.Kwa hiyo bora tukuachieni kama ni sadaka tul jaariya :D
 
Wazanzibari bwana, chao kinakuwa chao wenyewe wala hawatushirikishi, lakini chetu wanataka asilimia 40? Zanzibar kuna watu wasiozidi milioni moja, bara tuna watu milioni 40 halafu watake asilimia 40? Hivi hawa siyo wachawi kweli?
Ninachojua mimi ni kwamba watanzania wote walitangaziwa kuomba hao samaki iwapo wanawahitaji, sasa wenyewe hawakuomba, wanataka wapelekewe? Wao ni akina nani hadi tuwabembeleze hivyo? Sometimes huu muungano ni kero tupu. Uvunjike tu wala hautusaidii. Nichagueni mimi niwe Rais ili niuvunjilie mbali huo muungano.

i am veri impresid na hayo maneno
 
kwa ujumla sheria za bahari(laws of the sea) inaeleza kinagaubaga suala la mgawanyo wa raslimali zinazopatikana katika eneo la exclusive economic zone la mchi husika.
 
Ninakubaliana nao kuwa walikuwa na haki ya kupewa 40% ya samaki hao lakini hakuna haki isiyokuwa na wajibu na ili wastahili haki hiyo wanapaswa kuchangia 40% ya storage cost na gharama ya kesi. UJUMBE NDIYO HUO SMALL BRO


Halafu aslimia 60 ya storage analipa nani? Just simple Asilimia 60 ilikuwa ya bara na wakawapa wanajeshi na mashule na storage yake ililipwa na Serikali ya Muungano ma asilimia 40 ni ya Zanzibar na wao wanajuwa wawape nani na storage yake imelipwa na yule yule serikali ya Muungano.
Kuna tabu ya kuelewa hapo jamani?
 
kwa ujumla sheria za bahari(laws of the sea) inaeleza kinagaubaga suala la mgawanyo wa raslimali zinazopatikana katika eneo la exclusive economic zone la mchi husika.

And so what? Je unafikiri hao samaki walipatikana hilo eneo la Exclusive? Na ni ni sheria inasema kuhusu makuibaliuano kati ya nchi mbili?
 
Back
Top Bottom