Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kwani hajafunga Lamazani? India wameweka sheria ukitaka kununuwa acid lazima uwe na kitambulisho na useme unaenda kuitumia kufanyia titration au majaribio mengine ya Chemistry Paper II
duuuuu,kitambo sana,karibu
Kwa nini hawajamuuwa tu jambazi mkubwa huyu.
Tanzania kila mtu anaruhusiwa kuuza acid..H2CO4 zipo madukani
kila gaidi anaweza kujinunulia
Sdhani kama ipo sheria ya kulinda haya makitu
serikali iweke sheria kali kuhusu uuzaji na ununuzi
mtu awe na kibali maalumu ndio auziwe kama mashule nk..
la sivo tutakwisha wengi....................................
nimesahu kusema utasikia CHADEMA wanahusika au green guard wanahusika
tunakimbilia kutaja watu bila kuangalia madhara yanayoendelea.
Dawa yake ni Sodium Hydroxide labda - kwa mawazo yangu!! Naona mbinu hizi za tindi kali zinashika kasi sana nchini, kwa nini hawaweki udhibiti wa kutosha katika manununuzi - au zinahibiwa kwenye mahabara ya Sekondari.
Kumbe huyu mtu ni habari ya siasa.
Poleni familia
Kwa nini hawajamuuwa tu jambazi mkubwa huyu.
Hizi biashara zina mambo mengi sana.
poleni saba lumumba buku 7
fc ..mfadhili wenu aliyewapa milioni 500 ilihali anakwepa kodi ya
bilioni 40 kapatwa na masaibu...chunguzeni vizuri wanaweza wakawa red
brigades
Josephine, tunajua uko karibu sana na Said na tunajua jinsi ulivyonufaika naye. Wewe ukiona hili halitufai wananchi kujadili kwenye Jukwaa la Siasa basi piga kimya, mahaba yako kwa Said yasikupelekee kuwapangia watanzania cha kufanya kwenye media. Wengine pamoja na upenzi juu ya CDM tunakerwa na hii tabia ya kupangiana nini cha kuongea au kufanya. Badilika mama.
hivi tindikali ndo nini wakuu,mi nasikiaga tu chumvi miiingi maji kidogo ndo mixa yake,eti kweli eeeh?
wekeni picha jamani wengine hatumfaham huyu Kamanda.
Swala la usalama kwa
nchi yetu hii limekuwa kitendawili, tunaishi bora tuishi na wale
wanaoptwa na majanga kupigwa na kuumizwa, wengine kuuawa ili hali ni
vurugu, lakinimwisho wa siku tunahabarishwa na wahusika na mambo ya
usalama, watuhumiwa wasakwe hata kwa gharama yeyote wakamtwe na
kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Ni msemo wa kutia moyo, lakini
utekelezaji wake ni mangumashi. Usanii huu unaofanywa na vyombo vya
dola, kwa kweli sijui utatufikisha wapi katika swala la ulinzi na
usalama mi nashangaaaaaa najua majanga haya yatanikuta na sitegemei
kusaidiwa nitajilinda mwenyewe na Mungu wangu.
Wakuu,
Kwa muona wangu nadhani huyo kijana aliyemfanyia huyo mfanyabiasha hicho kitendo bila shaka atakuwa ameagizwa kufanya hivyo aidha na mahasimu wa Said Mohamad au wafanyabiashara wenzake.
Katika hali kama hiyo, bwana Said akipata nafuu na kuruhusiwa kutoka hospitali, kwa historia yake ya kuwa mafia daraja la kwanza nchini, naamini lazima atalipiza kisasi kwa hao atakao wahisi kuwa wenda ndio wamemfanyia hilo tukio la kumwagiwa tindikali.
Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.