Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!

Kwani hajafunga Lamazani? India wameweka sheria ukitaka kununuwa acid lazima uwe na kitambulisho na useme unaenda kuitumia kufanyia titration au majaribio mengine ya Chemistry Paper II
 
poleni saba Lumumba buku 7 fc ..mfadhili wenu aliyewapa milioni 500 ilihali anakwepa kodi ya bilioni 40 kapatwa na masaibu...chunguzeni vizuri wanaweza wakawa Red Brigades
 
Swala la usalama kwa nchi yetu hii limekuwa kitendawili, tunaishi bora tuishi na wale wanaoptwa na majanga kupigwa na kuumizwa, wengine kuuawa ili hali ni vurugu, lakinimwisho wa siku tunahabarishwa na wahusika na mambo ya usalama, watuhumiwa wasakwe hata kwa gharama yeyote wakamtwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Ni msemo wa kutia moyo, lakini utekelezaji wake ni mangumashi. Usanii huu unaofanywa na vyombo vya dola, kwa kweli sijui utatufikisha wapi katika swala la ulinzi na usalama mi nashangaaaaaa najua majanga haya yatanikuta na sitegemei kusaidiwa nitajilinda mwenyewe na Mungu wangu.
 
Tanzania kila mtu anaruhusiwa kuuza acid..H2CO4 zipo madukani
kila gaidi anaweza kujinunulia
Sdhani kama ipo sheria ya kulinda haya makitu
serikali iweke sheria kali kuhusu uuzaji na ununuzi
mtu awe na kibali maalumu ndio auziwe kama mashule nk..
la sivo tutakwisha wengi....................................
nimesahu kusema utasikia CHADEMA wanahusika au green guard wanahusika
tunakimbilia kutaja watu bila kuangalia madhara yanayoendelea.

hata ukizuia conc sulphuric acid isiuzwe,,,bado nikichanganya nitric acid plus little amount of non correspondent acid napata aqua regia,ambayo ni worse zaidi ya conc sulphuric acid
 
Dawa yake ni Sodium Hydroxide labda - kwa mawazo yangu!! Naona mbinu hizi za tindi kali zinashika kasi sana nchini, kwa nini hawaweki udhibiti wa kutosha katika manununuzi - au zinahibiwa kwenye mahabara ya Sekondari.

Acid si mtu anatengeneza tu, material nyingi tu zinauzwa.
 
Josephine, tunajua uko karibu sana na Said na tunajua jinsi ulivyonufaika naye. Wewe ukiona hili halitufai wananchi kujadili kwenye Jukwaa la Siasa basi piga kimya, mahaba yako kwa Said yasikupelekee kuwapangia watanzania cha kufanya kwenye media. Wengine pamoja na upenzi juu ya CHADEMA tunakerwa na hii tabia ya kupangiana nini cha kuongea au kufanya. Badilika mama.

Kumbe huyu mtu ni habari ya siasa.
Poleni familia
 
Kwa nini hawajamuuwa tu jambazi mkubwa huyu.

halafu mkuu, hili lijamaa si ndo miongoni mwa watu wanaoliibia taifa? eti linaagiza magari kwenye container halafu documents linaandika ni shuka na net. bora lingekufa kabisa. halina faida kwa taifa hili
 
poleni saba lumumba buku 7
fc ..mfadhili wenu aliyewapa milioni 500 ilihali anakwepa kodi ya
bilioni 40 kapatwa na masaibu...chunguzeni vizuri wanaweza wakawa red
brigades

mkuu, kwa post za walio wengi, si wale wa lumumba wala wa kinondoni wote wamefurahia kitendo hicho na watu kama akina HAMY-D wameenda mbali na kusema kuwa bora wangemuua kabisa mafya mkubwa. tafakari kabla hujapost utumbo wako humu
 
Josephine, tunajua uko karibu sana na Said na tunajua jinsi ulivyonufaika naye. Wewe ukiona hili halitufai wananchi kujadili kwenye Jukwaa la Siasa basi piga kimya, mahaba yako kwa Said yasikupelekee kuwapangia watanzania cha kufanya kwenye media. Wengine pamoja na upenzi juu ya CDM tunakerwa na hii tabia ya kupangiana nini cha kuongea au kufanya. Badilika mama.

Mhuu.!!!!
JF bwana.........!!
 
Mnamwagia tindikal watu gan? Kuna maraia yanapandisha mikod mnayaacha ila yaachen tuyang'oe kwa tindikal mpya iitwayo 2014/5
 
hivi tindikali ndo nini wakuu,mi nasikiaga tu chumvi miiingi maji kidogo ndo mixa yake,eti kweli eeeh?

inaitwa conc sulphuric acid inamaanisha mchanganyo wake unakuwa na sulphuric acid asilimia 98 na maji asilimia 2,,ukimmwagia mtu yenye asimia 100 sulphuric acid haifanyi kazi
 
Hawa watu wa asia wameiweka serikali ya CCM mfukoni, wanakwepa sana kodi.. Na bado serikali hii dhaifu inawachekea! Yani wao wanakuja hapa na kuhakikisha wanavuna vya kutosha....
 
Swala la usalama kwa
nchi yetu hii limekuwa kitendawili, tunaishi bora tuishi na wale
wanaoptwa na majanga kupigwa na kuumizwa, wengine kuuawa ili hali ni
vurugu, lakinimwisho wa siku tunahabarishwa na wahusika na mambo ya
usalama, watuhumiwa wasakwe hata kwa gharama yeyote wakamtwe na
kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Ni msemo wa kutia moyo, lakini
utekelezaji wake ni mangumashi. Usanii huu unaofanywa na vyombo vya
dola, kwa kweli sijui utatufikisha wapi katika swala la ulinzi na
usalama mi nashangaaaaaa najua majanga haya yatanikuta na sitegemei
kusaidiwa nitajilinda mwenyewe na Mungu wangu.

mkuu, mlinzi wa kwanza wa usalama wako ni wewe mwenyewe. ishi kadri inavyopaswa na hakuna mtu atakufuata. ila ukiwa na mambo ya chinichini kibao hata ukiwa na walinzi lukuki utaondoka tu. si unakumbuka yaliyomkuta Mobutu Sessesseko wa Zaire ya wakati ule?
 
Wakuu,

Kwa muona wangu nadhani huyo kijana aliyemfanyia huyo mfanyabiasha hicho kitendo bila shaka atakuwa ameagizwa kufanya hivyo aidha na mahasimu wa Said Mohamad au wafanyabiashara wenzake.

Katika hali kama hiyo, bwana Said akipata nafuu na kuruhusiwa kutoka hospitali, kwa historia yake ya kuwa mafia daraja la kwanza nchini, naamini lazima atalipiza kisasi kwa hao atakao wahisi kuwa wenda ndio wamemfanyia hilo tukio la kumwagiwa tindikali.

Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.

Hiyo sheria ya wapi au fikra zako una uhakika gani na unachokisema hakuna anayejua tuwe na subira tutasikia mengi.

Umetaja mtu kupigwa risasi kwa sababu tu unamchukia kama una ushahidi wowote kuhusu huyu jamaa basi visaidie vyombo vya dola.

Kwa hiyo wewe mtu akiwa mkorofi apigwe risasi ndiyo dawa.
 
Sasa hivi hali ya usalama wetu siyo nzuri jana tumemzika jamaa yetu kauawa kwa kupigwa risasi Magomeni akitokea benki na waendesha pikipiki wakachukuwa milioni 8.
 
Back
Top Bottom