Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.
Aliposhambuliwa Kubenea na Ndimara, nilisema, "Taifa limeingia katika utamaduni mpya na ya hatari na sasa hakuna aliye salama tena, si waandishi, si polisi, si madaktari, si wanasiasa, si wanafunzi,si wakulima, si madereva, si wafanyabiashara, si raia wema na si wahalifu nao; Binadamu wote hatuko salama tena hapa Tanzania.
Sote tusikubali huu upuuzi hata kama anayefanyiwa Ana makosa yake." Bahati mbaya sana mmoja wa rafiki niliyemwambia maneno haya na yakamuingia naye amepatwa na janga la kushambuliwa. Nasema kama Taifa tumeharibikiwa na lazima sote tuseme HAPANA. Kama mtu Ana makosa Dola ifanye kazi kurudisha imani.
Nitaandika mahali maalumu kwa undani.
Nchi yetu pendwa ina amani, tunailinda na kuitukuza kw njia mbalmbal.
Next to the police station!
Punguza tabia ya kupenda kukalia VITU aunti, this aint no politics.. serukamba you
Hadhani bali amethibitisha dada. Nadhani alichokosea ni kutojua kuwa wanyonge anaowaonea wamethibitisha hilo pia na hivyo wametafuta option wanayoiamini itatenda haki kuliko akina Said Mwema.Ukweli ni kuwa jinsi Said Mahonda alivyo na kibri na dharau, amejijengea maadui wengi sana katika maisha yake.
Kuna malalamiko mengi kutoka wafanya kazi wake, wafanya biashara wenzake na hata wateja wake. Tatizo lake kubwa ni kuwa kaweka pesa mbele, na hudhani kuwa pesa ndio kila kitu.
Ukicheka sana ipo siku utalia sana
Ukilia sana ipo siku utakuja cheka sana
Ukiwa mgovi sana kuna siku utakuwa mpole sana
Ukiwa malaya sana kuna siku utakipa kilichopo kwenye huo umalaya(ukimwi)
Ukiwa mchimbaji wa madini na ukavumilia ipo siku utatoka na chochote kama sio kuishia humo humo na shimo lako kuwa kaburi lako
Ukiwa muongeaji sana ipo siku utakuwa mc wa harusi ama mlopokaji
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Maisha hayawi maisha bila kuishi
........Kuna memba mmoja humu alikuwa anauliza ni wapi anaweza kununua TINDIKALI, anaweza kutuambia alkuwa anataka ya nini?
Allah Ikrimak wa Ikrim jamii'a l'muslimin.
Thanks a lot.
Aisee! Ile 'mall' ya jirani na ubalozi wa Marekani imefunguliwa? Au ni yake?
...Unafahamiana na Mwigulu? -hebu jaribu kuwasiliana naye. hata ukitaka bomu la kurusha kwa mkono utapata.Wakuu,
Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.