Mkuu usishangae ukisikia watu wanatembea na vidumu vya tindikali kama silaha nafuu badala ya bastolaLeo nimegundua watanzania wengi wameingiwa na roho ya kikatili sana,tuna hatari ya kuwa na society ambayo ni fragile.
Huu ufedhuli wa Conc. H2SO4 umekua so popular.
Watu wanashangilia na kuhalalisha kwa kumjengea victim taswira hasi
Nilijua tu, issue Kariakoo haiishi kirahisi.
Media zimenunuliwa, 'redio flani' ikatumika kuonyesha kuwa tatizo ni TRA wakati ukweli unajulikana.
Magazeti mengine yakamezea. Tunashangaa haya?
Njia iliyobakia ilikuwa ni wazi watu hawa ambao biashara zao zimevurugika ghafla wataanza kutafuta mbadala. Tatizo ni kujua mbadala wake ni upi.
#NawazaTu
Ukicheka sana ipo siku utalia sana
Ukilia sana ipo siku utakuja cheka sana
Ukiwa mgovi sana kuna siku utakuwa mpole sana
Ukiwa malaya sana kuna siku utakipa kilichopo kwenye huo umalaya(ukimwi)
Ukiwa mchimbaji wa madini na ukavumilia ipo siku utatoka na chochote kama sio kuishia humo humo na shimo lako kuwa kaburi lako
Ukiwa muongeaji sana ipo siku utakuwa mc wa harusi ama mlopokaji
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Maisha hayawi maisha bila kuishi
Ikiwamwagia sana wenzako ipo siku na wewe utamwagiwa, iwe maji, soda, bia, mafuta ya taa, petroli,acid etc...
Pole sana bro, kama ni kweli wakuwaishe tu india kabla hujadhurika sana, wanadamu kuna mda wanakosa damu wanabakia wana tu
Hili suala lina siasa ndani yake
Kwa kuwa wao halijawakuta, hivyo haliwahusu. Siku likiwakuta, kelele utakazozisikia.. Inabidi tuheshimu misingi ya sheria hata kama tuna tofauti zetu, tunavyoendelea kushabikia ndivyo tunavyoyapa nguvu haya magenge hatari kuendelea kumea.. Tufike mahali tukatae huu unyama.wanadamu wa ajabu sana, yaani wanafurahia kuona mwenzao anadhurika?
Nitoke kidogo kwenye Mada.....Ramadan Mubarak!!Kama hukuwahi kujua,au vile sikukiri hadharani...Niliipenda sana JF by then sababu ya michango yako,ukichagizwa na Marwa na Malaria Sugu!!..Mke wangu aliikupenda sana,mpaka leo namuita FaizaFoxy as utani,lakini umepotea sana Mama...LOVE youuuuuuuu!!
Wamemheshimu sana kwa kumwagia hiyo tindikali. Walipaswa WAMWOGESHE kabisa, Laana tululaiy yule!
katika hali isiyo ya kawaida, polisi wanahaha kutafuta wahusika kwa nguvu kubwa tofauti na usiku tulipokua Muhimbili alipoumizwa Kibanda, na huenda hadi kesho akakamatwa mhusika.
Conc.H2SO4 na Conc. HCL Zinapatikana kiholela sana!!!
Mnajaribu kuhalalisha ujinga; hata adui yako ana haki zake. Vinginevyo kila mtu na mbaya wake eh? Sheria ya msituni.